Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama mtume yupiHakuna Ubaya kwa maana kuna mitume walifanya pia
Rudi juu uko nadhani atakuwa ameandika.How did you do it I want to try
Wewe kama umetupanga.....Hofu ,uoga ndio sumu ya hii kitu kiukweli jambo hili Lina faida kama alizo ainisha inaitaji umahiri wa kuhimili mabadiliko hakuna nachokipinga ktk hii thread mi ni miongoni mwa 25% ya waliofanikiwa lkn Mimi msimamizi mkuu wa jambo hili ni MUNGU Kwa kuhakikisha Sina matendo ya chukizo, Sina kisasi, Sina wivu, equal treatment in shot unakuwa binadamu huru ambaye Kwa tasimini hata ukifa Leo unajua familiar itakayokupokea
Binafsi si jambo nafanya mara Kwa mara ila Huwa na tour kutembelea wagonjwa , wapendwa wetu kuwaombea utulivu kuwa ombea watu niliopita ktk mikono Yao Toka nikiwa mtoto mpk Leo kuwasamehe walioniumiza na kuwatembelea kuwapa taarifa kuwa awe huru nimemsamehe kama wezi, wazurumaji, wadaiwa sugu, n.k
ufumbuzi wa malengo yangu kupata picha kamili ya kile naitaji na kile ni mpango was Mungu kwangu mara kadhaa nimefanikiwa
na hats nilipokuwa karibu zaidi nilipata kuona vile natakiwa kuishi Kwa miaka Saba ijayo Niko huru Sina mpango mpya najua Kila kitu mfano lini naacha kazi lini naendakujiendeleza kielimu Nini kitaziba gap la mshahara wangu unaonisaidia Leo baada ya masomo nakuja kuanzia wap yote roadmap ipo na naenda nayo ila MUNGU NA MALAIKA ZAKE NDIO WASIMAMIZI KUNA MDA MARAFIKI WA ROHONI WANANIMISS MAANA HAKUNA KULIA FULL HAPPY FUN
Fuatilia https://youtube.com/@rakimsspiritualHow did you do it I want to try
Watajie na kanisa lako lipo wapi. Humu utapata wateja wengi wa Mwamposa watahamia kwako.Hofu ,uoga ndio sumu ya hii kitu kiukweli jambo hili Lina faida kama alizo ainisha inaitaji umahiri wa kuhimili mabadiliko hakuna nachokipinga ktk hii thread mi ni miongoni mwa 25% ya waliofanikiwa lkn Mimi msimamizi mkuu wa jambo hili ni MUNGU Kwa kuhakikisha Sina matendo ya chukizo, Sina kisasi, Sina wivu, equal treatment in shot unakuwa binadamu huru ambaye Kwa tasimini hata ukifa Leo unajua familiar itakayokupokea
Binafsi si jambo nafanya mara Kwa mara ila Huwa na tour kutembelea wagonjwa , wapendwa wetu kuwaombea utulivu kuwa ombea watu niliopita ktk mikono Yao Toka nikiwa mtoto mpk Leo kuwasamehe walioniumiza na kuwatembelea kuwapa taarifa kuwa awe huru nimemsamehe kama wezi, wazurumaji, wadaiwa sugu, n.k
ufumbuzi wa malengo yangu kupata picha kamili ya kile naitaji na kile ni mpango was Mungu kwangu mara kadhaa nimefanikiwa
na hats nilipokuwa karibu zaidi nilipata kuona vile natakiwa kuishi Kwa miaka Saba ijayo Niko huru Sina mpango mpya najua Kila kitu mfano lini naacha kazi lini naendakujiendeleza kielimu Nini kitaziba gap la mshahara wangu unaonisaidia Leo baada ya masomo nakuja kuanzia wap yote roadmap ipo na naenda nayo ila MUNGU NA MALAIKA ZAKE NDIO WASIMAMIZI KUNA MDA MARAFIKI WA ROHONI WANANIMISS MAANA HAKUNA KULIA FULL HAPPY FUN
mimi ni muislamWewe ni dini gani tuanzie hapo.
mkuu hujanitajia badoWewe ni dini gani tuanzie hapo.
Uliwahi kukisoma kisa cha Israa na Miiraj vizuri kabisa na akili ikiwa imetulia?mimi ni muislam
Rakim ashawahi elezeaIvi na ile hali kuna nyakat unakuwa unaona kama tukio linalotokea kwa wakat huo lilishawahi kutokea kabla, kuanzia eneo,watu mpk stty mnazoongea zinakua ni zile zile hyo inatokana na nini??
Pia kwa kuongezea .Kuwa hai dunian ni zawadi adimu ambayo ulimwengu huo wanatuonea wivu sana na wanajua sisi ni daraja la juu.huko kuna viumbe wakutisha na wa ajabu wanaweza kukuteka roho utaporudi duniani unarudi nao hivo nao wanapata nafasi kujua dunian kukoje unaweza rudi mwehu (possessed)Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenu, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.
Masharti ni haya.
Wito wangu mimi wa wafuatiliaji wa haya makitu, kama hujui unataka nini, au utoke out of body ili kuachieve nini, please don't try this or do it!. Mtu asikudanganye kuwa its very fun to go out of body, is not fun!. Too much knowledge on anything is harmful, please don't try unless you are sure of what you are trying to do and what to achieve and not doing it for fun!.
- Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa funguo, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha kwa kukutingisha kwa nguvu na kuchange ile position yako hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
- Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ya astra plane ndio bora zaidi kuliko real world, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, wewe ni safari jumla!.
- Hizi ni highest stages za meditation ambazo haziruhusiwi kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised bila supervisor na supervision, vinginevyo ni safari jumla!.
- Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening up the "third eye!"
- Hizi ndizo the first stages za wachawi!.
Paskali