Aaah, Huku JF ni no mans Land.Tuekee na bandiko lingine kama unataka kutongoza wa huku jf mkuu
Mapenzi yanavyotesa vijana wacha waweke screenshot kama references😆😆😆mtaani kugumu😂😂Hilo bandiko watu watarescreenshot Kwa matumiz😂
Nije nikutongoze nini😆Umbea tuu😛
Sasa points ni zile zile tatizo maelezo mkuu tukremu kabisaaa tusije tukajikanyaga huko piemuniAaah, Huku JF ni no mans Land.
ila kwakua hakuna kuonana direct inamaana hamna mambo ya muonekano na body language.
Kwahyo hapo unaruka hii stage ya kwanza nliyojikita hapa unaanzia stage ya 2.Intrigue/Intrest
3.Rapport
4.Attract
Hizi stage ntazishusha sku nyingine😁
Nije nikutongoze nini😆
😂😂Wanateseka mno wakija hapa ooh wanawake wa kuwala sijui na kufanyaje hizo mbinu zote Kwa ajili ya haohao 😂😂Mapenzi yanavyotesa vijana wacha waweke screenshot kama references😆😆😆mtaani kugumu
Usinitie dhambi nikacheka bure😆😆We nivamie Kama alivovamiwa Mhindi leo..
ila ujipange Mana nna kituUsinitie dhambi nikacheka bure😆😆
Acha wajifariji bana maisha yenywe haya. Wapigike mtaani hadi jf hapana bana😆😆😆😆utaskia unamwaga halafu unasepa😂😂Wanateseka mno wakija hapa ooh wanawake wa kuwala sijui na kufanyaje hizo mbinu zote Kwa ajili ya haohao 😂😂