Jinsi ya kutongoza mwanamke msiyejuana (Barabarani, kwenye daladala au popote)

Jinsi ya kutongoza mwanamke msiyejuana (Barabarani, kwenye daladala au popote)

Shogun Method n Fractionation zilifeligi kwa mtu fulani niliporudi delete vitabu vyote ... Sheenzi type. No formula just free style.
 
Maneno mengi ilikua zamani.
Mdalimie binti mpe 50 elfu ya vocha Kisha omba namba yake ya simu.
Kesho yake mtumie Tena elfu hamsini. Baada ya siku tatu mtumie laki ya vocha. Siku ya nne akipiga usipokee.
Kesho yake m command popote unapotaka atakuja baada ya kumtumia nauli ya taxi.
Wewe unatafuta mpenzi au unatafuta tobo?
Muonekano, sankisti za kutosha na confidence bas umeua mchezo😆😆
Aaah mabingwa wa summerization au sio😂😂...Nlikuwaga nawapenda watu kama nyie ile asubuhi ya pepa hujasoma halafu unakuta watu wanataja summary tu unakariri unaingia...afu unakuta mulemule😂😂
 
Madini haya yafanana na kitabu cha jamaa mmoja hivi giusepe
 
Watu musio na hela mnapitia tabu nyingi sana 🤣🤣🤣🤣🤣. Wanawake hawa hawa?

Mwalimu: "Chacha, nyie mbu kwa kwenu munawaitaje?"
Chacha: "Sisi hatuwaiti, huwa zinakuja tu zenyewe"
Tatizo mnawatreat wanawake kama Bidhaa...
Halafu baadae mnarudi humu kulalamika kuwa wanawake wanawaona kama ATM😂
 
Shogun Method n Fractionation zilifeligi kwa mtu fulani niliporudi delete vitabu vyote ... Sheenzi type. No formula just free style.
Mim mkuu sijaweka maneno ya kusema...Kwenye maneno ni freestyle tu.
ila ishu ya Muonekano na Body Language hiyo unatakiwa uzingatie
 
Kwani kilichoandikwa ni maneno au ni ma words?!
Wewe unachukulia kutongoza simple eti? Au unahisi majamaa wanaokutongoza kwao ni easy tu?
Au hujawahi kukutana na jamaa anakusimamisha halafu anapuyanga tu mpaka unamtolea nje?
 
Wewe unachukulia kutongoza simple eti? Au unahisi majamaa wanaokutongoza kwao ni easy tu?
Au hujawahi kukutana na jamaa anakusimamisha halafu anapuyanga tu mpaka unamtolea nje?
🤣🤣🤣🤣Ila jamani kutongoza sio kazi mzabzab
 
Back
Top Bottom