Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam naam Kelly walitaka ?[emoji134][emoji23] hehee
😂😂Wote tuna hekaheka[emoji1787] viumbe wenye hekaheka kuwahi tokea duniani.
Aiiiiiiiiii😎
Mnasemaga kula afu sepa thread hii inayofata ni machozi tu. Huko whatsapp status ndio vilio mwanzo mwisho😆umejuaje mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Tumia bas maujuzi ya mtoa mada unishushie tongozo hilo. NB: hela ziwepo😎Hi sis nimekupenda ghafla
Vaa TU hiyo miwaniAiiiiiiiiii😎
Ndio hapo sasa kunukia kwingi lakin msisahau😆Aaah mabingwa wa summerization au sio😂😂...Nlikuwaga nawapenda watu kama nyie ile asubuhi ya pepa hujasoma halafu unakuta watu wanataja summary tu unakariri unaingia...afu unakuta mulemule😂😂
Thawaaa😎Vaa TU hiyo miwani
😂😂Sijui kama wanalala Hawa viumbe[emoji1787] viumbe wenye hekaheka kuwahi tokea duniani.
KengeThawaaa😎
😂😂 Afu hawa ndio wamejaa,nakutana nao mara kibao wenye hizi swagaMwandishi Mfano wako mmoja unamuuliza mwanamke saloni ya mama kimbo iko wapi? Bro what the fvck
Wanahangaika wenzangu, mie sina hata kimoja hapo hahaa😂😂Wote tuna hekaheka
nyie mnashinda saluni kubandika kucha zinawatesa kula, kuweka nywele hauogi kichwa, kuvaa viatu unatembea kama unapaa(mchuchumio), kujichubua, lipstick hadi huwezi kula icecream njiani nk. Nk.
nyie mnahangaika ili tuwatongoze...Sisi tunahangaika kuwatongoza😂..ngoma droo
😎😎Naam naam Kelly walitaka ?
Hy miwani Kama kamanda Siro