National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Nakutaka hela nitakopaTumia bas maujuzi ya mtoa mada unishushie tongozo hilo. NB: hela ziwepo😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakutaka hela nitakopaTumia bas maujuzi ya mtoa mada unishushie tongozo hilo. NB: hela ziwepo😎
Ndoa hata sina ajira, sina mahari sina chanzo cha fedha cha kueleweka mkuu..😒😒😒Be careful though, kuna possibility hajakupenda wewe ila amependa ndoa.
Uliwaona hao wenye uwezo financially aliowakataaa mbona hatunaga skepticism, mwanamke akiweza forsake wazazi wake waliomlea kwanini asikuache wewe uliekutana nae, considering alikukataa mwanzo hata kwa zile text she’s too good to be trueNdoa hata sina ajira, sina mahari sina chanzo cha fedha cha kueleweka mkuu..😒😒😒
Yote hayo nilimweleza yeye na wazazi wake ili nimkatishe tamaa lakini bado akaja kwa Gharama zake.
Walishakuja wachumba wenye uwezo financially... mahari Cash, akawakataa.
Mpaka leo najiuliza imewezekanaje
Yeeebah😂 Au sio
Fact, brother afikirie hii pointUliwaona hao wenye uwezo financially aliowakataaa mbona hatunaga skepticism, mwanamke akiweza forsake wazazi wake waliomlea kwanini asikuache wewe uliekutana nae, considering alikukataa mwanzo hata kwa zile text she’s too good to be true
binafsi I don’t trust a whore ambae anakataa familia yake, mtu anamktaa mama yake kwanini asikukatae wewe...think
Inategemeana na the way ulivo;Maneno mengi ilikua zamani.
Mdalimie binti mpe 50 elfu ya vocha Kisha omba namba yake ya simu.
Kesho yake mtumie Tena elfu hamsini. Baada ya siku tatu mtumie laki ya vocha. Siku ya nne akipiga usipokee.
Kesho yake m command popote unapotaka atakuja baada ya kumtumia nauli ya taxi.
Kopa uje nazo kabisa 😒Nakutaka hela nitakopa
Nije na million ngapiKopa uje nazo kabisa 😒
Kumi my wanguNije na million ngapi
Haya nyonga mkalia ini naja nazo 😃😃😃Kumi my wangu
Laaziz😎
Nilitaka nkupe dada angu lkn mhhh haiwezekan tena basi tenaMie siwezi tongoza kabisaaa....nachojua mie ni timder badoo hi5 na jf
Dada tako analo? 🤣🤣🤣🤣🤣Nilitaka nkupe dada angu lkn mhhh haiwezekan tena basi tena
Weeeeeeh wacha kabisaDada tako analo? 🤣🤣🤣🤣🤣
Akitembea lina vibrate tuu au sioWeeeeeeh wacha kabisa
Yani niruhusu ww uingie kweny ukoo wangu hapana Ntafunga na kusaliAkitembea lina vibrate tuu au sio
Mie wala sina baya...mawazo yako tuuYani niruhusu ww uingie kweny ukoo wangu hapana Ntafunga na kusali
Eeh Mungu mtu huyu akigusa namba ya yoyote kweny familia yangu tafadhali fanya jambo amen
Kwamba wasiwasi wangu maradhi yanguMie wala sina baya...mawazo yako tuu
Mbona mimi nasumbuliwa sana na hawa watoto na wanafunguka shida ni nini ?, Kuna mda naichukia sana hii hali maana ni too muchYeah inahusu wanaume...kwa bahat mbaya wanawake hamtongozi.
Alafu kwa nini unipe dada yako kwani wee huna mbususu na tako?🤔🤔Kwamba wasiwasi wangu maradhi yangu
Nmepigwa kufuliAlafu kwa nini unipe dada yako kwani wee huna mbususu na tako?🤔🤔