Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Tako Sina, nyonyo SinaAlafu kwa nini unipe dada yako kwani wee huna mbususu na tako?🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tako Sina, nyonyo SinaAlafu kwa nini unipe dada yako kwani wee huna mbususu na tako?🤔🤔
Uliwaona hao wenye uwezo financially aliowakataaa mbona hatunaga skepticism, mwanamke akiweza forsake wazazi wake waliomlea kwanini asikuache wewe uliekutana nae, considering alikukataa mwanzo hata kwa zile text she’s too good to be true
binafsi I don’t trust a whore ambae anakataa familia yake, mtu anamktaa mama yake kwanini asikukatae wewe...think
Miaka ya 90 utoe buku 20?? We boya acha kutupanga, yaan mchele gunia moja??Kuna jamaa yangu alikua anakaa zile nyumba za uswazi za room 6. Choo,jiko na bafu uani na Kuna vyumba vya uani 2.
Jamaa alikua anakaa chumba Cha mbele, enzi hizo miaka ya 90. Wanawake wa wapangaji wanafanya usafi kwa zamu. Mjinga yule kila akienda kuoga alfajiri mwanamke atakaye mkuta uani anafanya usafi anampa 20 buku. Wanawake wakawa wanagombania kufanya usafi. Alitembea nao wote.
Unashangaa buku 20 wenzio wanahonga magorofa kariakoo. Ndio maana na baridi yote hiyo ya njombe umelala peke yako.Miaka ya 90 utoe buku 20?? We boya acha kutupanga, yaan mchele gunia moja??
Huu msemo tafuta hela umewapoteza sana vijanaNdo
Ndo maana kalynda Mnapigwa iyo Tafuta Hela Tafuta Hela [emoji23] mnatafuta Hela Kwa nguvu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa mkuu wanafikiri kilakitu ni hela wamuulize billgate 😂kwann ndoa ilimshinda na Hela zipo za kutoshaHuu msemo tafuta hela umewapoteza sana vijana
Ona sasa wanatafuta hela hadi kwenye shimo la tewa (kalynda) wana lia lia sasa hivi oooh mama tusaidie oooh mama tusaidie
Huyo mama aliwatuma??
Je mnge win game mngamkumbuka huyo mama??
Wajinga hawataisha eti hadi na wasomi maprofesa kabsaa
Kusoma sio kuelimika wasomi uchwara ni wengi Sana acha mpigwe tuu na wajanja
Unashangaa buku 20 wenzio wanahonga magorofa kariakoo. Ndio maana na baridi yote hiyo ya njombe umelala peke yako.
Jiongeze kabla hujapewa uenyekiti CHAPUTA.
Muwe mnatuonea huruma sasa, maana hapo ukikosea ukaskip step, imekula kwako.
Kula kimasihara ni branch ya kutongoza bila kutongoza 😁Kwaiyo hakuna tena kimasihara saiv ni mitongozo
Wacha ninywe chai yangu hapa.Miaka ya 90 utoe buku 20?? We boya acha kutupanga, yaan mchele gunia moja??
Shushia ata summary kwa apa mkuu.kipata muda ntaanzisha uzi wa jinsi ya kumaliza mchezo ndani ya sekunde 5 tu.
Sababu? Watu mnapitia magumu duh! Why hukurudisha hata mtama?Nilipigwa kibao barabarani na demu sitasahau
Wewe ni mwehu, sasa yote ya nn? Mbinu zako ni kwa kina Mwajuma ndala ndefu tuManeno mengi ilikua zamani.
Mdalimie binti mpe 50 elfu ya vocha Kisha omba namba yake ya simu.
Kesho yake mtumie Tena elfu hamsini. Baada ya siku tatu mtumie laki ya vocha. Siku ya nne akipiga usipokee.
Kesho yake m command popote unapotaka atakuja baada ya kumtumia nauli ya taxi.