[emoji2956][emoji519]Yote hayo ya nini, si utume vi emoji tu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2956][emoji519]Yote hayo ya nini, si utume vi emoji tu....
Aliyeacha ni Bill gate siyo mkewe. Mkewe hakuwa tayari kuachana na BillKabisa mkuu wanafikiri kilakitu ni hela wamuulize billgate [emoji23]kwann ndoa ilimshinda na Hela zipo za kutosha
Hao ndio ninao kaa nao mtaani kwetu.Wewe ni mwehu, sasa yote ya nn? Mbinu zako ni kwa kina Mwajuma ndala ndefu tu
[emoji16][emoji23] dahHao ndio ninao kaa nao mtaani kwetu.
Hivi kwa akili yako nyembamba ulitegemea nitoke Kiwalani nikawatongoze watoto wa kishua Masaki?
Pesa bila Game we ni bill gates tu.We tafuta pesa mengine ni mbembwe tu
Kuteseka ndio maisha ya wanaume, hata aspect zingine za maisha sio wanawake tu, iwe biashara/ siasa/ etc unahitaji kudemonstrate value, kuApproach, kuunda rapport, body language etc[emoji23][emoji23]Wanateseka mno wakija hapa ooh wanawake wa kuwala sijui na kufanyaje hizo mbinu zote Kwa ajili ya haohao [emoji23][emoji23]
Hakika hii ni kizungu zaid ndo maana Mungu ananinyima pesa nyingi maan ningekufa na ngoma mapema sana kaamua kunitwist apo alafu anaendelea na shughuli zakeMademu wa kibongo naenda nao Kwa natural instincts, mfano wapo ambao kama huna gari au aina ya gari, not handsome au handsome, kimo chako, rangi, umbile, umri , rangi kama ipo ipo tu, mi demu akishakubali kunisikiliza ndio imeisha hio, nikitoka wallet kumpa business card lazima akutane na Dollar 300, na kinunda Cha laki4 na takataka zake,
Mimi maneno yangu kwa uchache, utaniwia radhi sikujui hunijui ila nimekuelewa au huwa nakuelewa, please let's link up, ukiwa ok and comfortable tupeane number next episode tutafahamiana zaidi, nataja jina langu Naitwa Mwai and you, wow nice to meet you. Take care bye nasepa sigeuki na hata tupo bar au kiwanja chochote sijisumbui kumwangalia tena, naagiza bucket ya bia na kuku nusu na viazi sina muda.
Hizo design za matozi
izo ishu zina kwenda na mood ya mlivyo kutana, mim sizidshag siku 3, zaid ya hapo labda kama kuna season unamsimulia, ukisema ufatishe hivyo mwendo umeumaliza muhimu kua wewKwann
WORD, if he's smart enough he'll take it.Uliwaona hao wenye uwezo financially aliowakataaa mbona hatunaga skepticism, mwanamke akiweza forsake wazazi wake waliomlea kwanini asikuache wewe uliekutana nae, considering alikukataa mwanzo hata kwa zile text she’s too good to be true
binafsi I don’t trust a whore ambae anakataa familia yake, mtu anamktaa mama yake kwanini asikukatae wewe...think
Candy sweetie nmeanzaYote Kama huna hela ni bure
😂😂wewe ni kakorofi unaonekanaCandy sweetie nmeanza