Jinsi ya kutongoza mwanamke msiyejuana (Barabarani, kwenye daladala au popote)

Jinsi ya kutongoza mwanamke msiyejuana (Barabarani, kwenye daladala au popote)

Basi jana nikakariri na nikaenda kutest kwa nesi mmoja hivi kanijibu ninamtu wangu
Niongezeeni point toka nilipoishia
 
Nimelikamata limama ivo ivo kwenye ndinga anamacho mazuri sana ndo yalimponza macho anakuangalia huku dushe inasisimka kweli ahata kama ni mtu mzima sana lazima nikutongoze tu mi nilimchana wazi, macho yako mazuri mno haki ya mungu vile ,

Siwezi endlea sana asijekuwa yupo humu ila nilivyomwomba namba aliniuliza ya nini nikajinga'ata ila alitaka kujuwa sana ya nini ,ila niliongea ile style flani ya kuongelea kooni kama unaomba kitu kwa huruma ndo akanipa age kama 42+ hivi ila nkamwambia naomba namba yako mshkaji wangu, yqni tumekutana kibahati kweli pengine ukishuka hapa sitokuona tena we mwanamke ,dar yenyewe hii tupo zaid ya ml10 akacheka nikadakia apo apo eee rafiki yangu type hapa
 
Mademu wa kibongo naenda nao Kwa natural instincts, mfano wapo ambao kama huna gari au aina ya gari, not handsome au handsome, kimo chako, rangi, umbile, umri , rangi kama ipo ipo tu, mi demu akishakubali kunisikiliza ndio imeisha hio, nikitoka wallet kumpa business card lazima akutane na Dollar 300, na kinunda Cha laki4 na takataka zake,

Mimi maneno yangu kwa uchache, utaniwia radhi sikujui hunijui ila nimekuelewa au huwa nakuelewa, please let's link up, ukiwa ok and comfortable tupeane number next episode tutafahamiana zaidi, nataja jina langu Naitwa Mwai and you, wow nice to meet you. Take care bye nasepa sigeuki na hata tupo bar au kiwanja chochote sijisumbui kumwangalia tena, naagiza bucket ya bia na kuku nusu na viazi sina muda.

Hizo design za matozi
 
[emoji23][emoji23]Wanateseka mno wakija hapa ooh wanawake wa kuwala sijui na kufanyaje hizo mbinu zote Kwa ajili ya haohao [emoji23][emoji23]
Kuteseka ndio maisha ya wanaume, hata aspect zingine za maisha sio wanawake tu, iwe biashara/ siasa/ etc unahitaji kudemonstrate value, kuApproach, kuunda rapport, body language etc
 
Mademu wa kibongo naenda nao Kwa natural instincts, mfano wapo ambao kama huna gari au aina ya gari, not handsome au handsome, kimo chako, rangi, umbile, umri , rangi kama ipo ipo tu, mi demu akishakubali kunisikiliza ndio imeisha hio, nikitoka wallet kumpa business card lazima akutane na Dollar 300, na kinunda Cha laki4 na takataka zake,

Mimi maneno yangu kwa uchache, utaniwia radhi sikujui hunijui ila nimekuelewa au huwa nakuelewa, please let's link up, ukiwa ok and comfortable tupeane number next episode tutafahamiana zaidi, nataja jina langu Naitwa Mwai and you, wow nice to meet you. Take care bye nasepa sigeuki na hata tupo bar au kiwanja chochote sijisumbui kumwangalia tena, naagiza bucket ya bia na kuku nusu na viazi sina muda.

Hizo design za matozi
Hakika hii ni kizungu zaid ndo maana Mungu ananinyima pesa nyingi maan ningekufa na ngoma mapema sana kaamua kunitwist apo alafu anaendelea na shughuli zake
 
aya mambo haya ndo mnajikuta mnatongoza demu wiki mbili utazani unatongoza nyangumi 🚮
 
Uliwaona hao wenye uwezo financially aliowakataaa mbona hatunaga skepticism, mwanamke akiweza forsake wazazi wake waliomlea kwanini asikuache wewe uliekutana nae, considering alikukataa mwanzo hata kwa zile text she’s too good to be true

binafsi I don’t trust a whore ambae anakataa familia yake, mtu anamktaa mama yake kwanini asikukatae wewe...think
WORD, if he's smart enough he'll take it.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Alaf madem wa kibongo mbona slope tu, issue ni hivi wapate to the idea kua una hela (being smart and the likes...) watakuweka class flani hivi na utawala for free bila kutoa pesa yoyote, nashangaaga watu wanaohangaika kuhonga.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20221017_210206.jpg
    Screenshot_20221017_210206.jpg
    39.3 KB · Views: 65
Back
Top Bottom