Jinsi ya kuzitoa pesa NSSF

Jinsi ya kuzitoa pesa NSSF

Mimi Nilikuwa private sector…
Nilipopata ajira serikalini nikaambiwa mfuko wAngu kwa sasa ni Pssf…

Nikaamua kuwafuata NSSF wa nipe mwongozo wa pesa zangu nilizochamgia kwao….
Wakaniambia kwamba nisubiriiiii hadiiiii ninapostaafuu….….[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]…
Huu wizi, usipostaafu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
inabidi Mei mosi wafanyakazi wakinukishe ,wao wakimaliza muda wao wanapata stahiki zao zote,na wengine watalipwa mpaka kufa kwao ,familia zao kuishi maisha mazuri.
Mtu unamnyima pesa zake kwa kigezo atapata kazi kisa tu anayo degree,kwanza nani amesema anataka kuendelea kufanya kazi mpeni mtu jasho lake watu wanavuja jasho na kuumia kazini wewe unatunga sheria kandamizi
 
inabidi Mei mosi wafanyakazi wakinukishe ,wao wakimaliza muda wao wanapata stahiki zao zote,na wengine watalipwa mpaka kufa kwao ,familia zao kuishi maisha mazuri.
Mtu unamnyima pesa zake kwa kigezo atapata kazi kisa tu anayo degree,kwanza nani amesema anataka kuendelea kufanya kazi mpeni mtu jasho lake watu wanavuja jasho na kuumia kazini wewe unatunga sheria kandamizi
Alafu unakuta wana bania pesa yenyewe 2mil
Sasa wakti mtu ana fikisha 55yrs na hana nguvu tena ya kuhangaika sijui ita msaidia nn
 
Alafu unakuta wana bania pesa yenyewe 2mil
Sasa wakti mtu ana fikisha 55yrs na hana nguvu tena ya kuhangaika sijui ita msaidia nn
Ni bora mpaka kufikia hapo uwe hai,ukifa kabla ya 55 hela yako hesabia imepotea
 
Wakuu habari zenu. Poleni na majukumu ndugu zangu

Mimi nilikuwa nafanya kazi katika kampuni ya ujenzi ya Waturuki inaitwa Yapi Merkezi inayojenga reli ya SGR ambayo kwa sasa iko lot 3. Kwa sasa kazi imesimama na hakuna kinachoendelea.

Sasa sisi tulipumzishwa kuanzia mwezi wa kwanza kutokana na kampuni kupunguza matumizi na sababu nyingine. Mimi niliajiriwa kama kibaria tu upande wa survey baada ya kupambana kutumia elimu niliyonayo kupata kazi basi niliamua kujichanganya Ili nifanye kazi yoyote nipate mtaji.

Sasa baada ya kufika pale NSSF nikapewa form nikajaza; sasa nikajaza na elimu niliyokuwa nayo yani degree Baada ya mda kufika nikapewa laki 2 wakati nilikuwa nategemea zaidi ya milioni 4. Kuwafata wakasema mimi ni professional kwahiyo nalipwa kwa kikokotoo yaani kwa jinsi walipiga hesabu zao basi nalipwa laki 2 kwa mwezi paka iiishe miezi 6 baada ya hapo kama hujapata kazi tena unasubiri miezi 18 na kama bado haujapata tena kazi unaenda kuwaomba uwe unajichangia paka ufikishe miaka yao wanayotaka.

Sasa wakuu mimi nimeshakaa miezi 6 imeisha na kazi sijapata na njaa inazidi kila nikicheki maisha yamekuwa magumu sana na nilitaka nipate mafao Ili nianzishe biashara vidogo vidogo. Sasa ombi langu kwa wale wazee wa michongo mimi nataka kuzitoa zile pesa kwa njia yoyote mana haiwezekani wakae na pesa yangu halafu mimi sina mtaji wala pakushika sina.

Kama unajua njia ya kuzichomoa huko basi njoo PM aisee tuone tunafanyaje. Nitafurahi kama nitapata msaada wakuu kwa wale watu wa madili aisee nisaidieni wakuu mana hii serikali ya Maza siielewi.

Mimi nimefanya kama kibarua Ili nipate mtaji nianzishe maisha mengine halafu wanazishikilia pesa zangu kisa nimesoma yani sielewi aliyeleta kikokotoo alikuwa na maana gani.

Kama unaweza michongo njoo PM tuyajenge waungwana.

Shukrani
Hawa wkuda sina hamu nao. Kipindi hicho nategemea nipokee vi milion kadhaa mara paap napokea laki 3 kuuliza mara oooh hadi miezi 18 ipite, ukizingatia mtu uko arosto ile mbaya unaweza ukufanya maamuzi ya ajabu sana usipokuwa mvumilivu.
 
Wakuu habari zenu. Poleni na majukumu ndugu zangu

Mimi nilikuwa nafanya kazi katika kampuni ya ujenzi ya Waturuki inaitwa Yapi Merkezi inayojenga reli ya SGR ambayo kwa sasa iko lot 3. Kwa sasa kazi imesimama na hakuna kinachoendelea.

Sasa sisi tulipumzishwa kuanzia mwezi wa kwanza kutokana na kampuni kupunguza matumizi na sababu nyingine. Mimi niliajiriwa kama kibaria tu upande wa survey baada ya kupambana kutumia elimu niliyonayo kupata kazi basi niliamua kujichanganya Ili nifanye kazi yoyote nipate mtaji.

Sasa baada ya kufika pale NSSF nikapewa form nikajaza; sasa nikajaza na elimu niliyokuwa nayo yani degree Baada ya mda kufika nikapewa laki 2 wakati nilikuwa nategemea zaidi ya milioni 4. Kuwafata wakasema mimi ni professional kwahiyo nalipwa kwa kikokotoo yaani kwa jinsi walipiga hesabu zao basi nalipwa laki 2 kwa mwezi paka iiishe miezi 6 baada ya hapo kama hujapata kazi tena unasubiri miezi 18 na kama bado haujapata tena kazi unaenda kuwaomba uwe unajichangia paka ufikishe miaka yao wanayotaka.

Sasa wakuu mimi nimeshakaa miezi 6 imeisha na kazi sijapata na njaa inazidi kila nikicheki maisha yamekuwa magumu sana na nilitaka nipate mafao Ili nianzishe biashara vidogo vidogo. Sasa ombi langu kwa wale wazee wa michongo mimi nataka kuzitoa zile pesa kwa njia yoyote mana haiwezekani wakae na pesa yangu halafu mimi sina mtaji wala pakushika sina.

Kama unajua njia ya kuzichomoa huko basi njoo PM aisee tuone tunafanyaje. Nitafurahi kama nitapata msaada wakuu kwa wale watu wa madili aisee nisaidieni wakuu mana hii serikali ya Maza siielewi.

Mimi nimefanya kama kibarua Ili nipate mtaji nianzishe maisha mengine halafu wanazishikilia pesa zangu kisa nimesoma yani sielewi aliyeleta kikokotoo alikuwa na maana gani.

Kama unaweza michongo njoo PM tuyajenge waungwana.

Shukrani
Nikusaidie tu Ndugu,kupata hiyo pesa ni ngumu kwelikweli,kuwa makini sana na staff yoyote wa NSSF atakayekudanganya kwamba umpe pesa Ili akusaidie upate pesa yako,ataishia kukutapeli tu!!!jamaa yangu mmoja alitoa mpaka Rushwa ya 2ml Ili apate ml.54 yake NSSF lakini hakupata mwisho wa siku ikabidi ubabe utumike NDIPO yule NSSF staff akarudisha ile Rushwa ya ml.2,mchawi ni wewe kuandika una Degree(nilikuwaga mpaka na namba ya Mkurugenzi Mkuu Mushomba na nikampigia kumuomba msaada jamaa yangu apewe ml.54 yake lakini alikataa katakata,hivyo angalia usije ukalia zaidi kwa kutapeliwa
 
Nikusaidie tu Ndugu,kupata hiyo pesa ni ngumu kwelikweli,kuwa makini sana na staff yoyote wa NSSF atakayekudanganya kwamba umpe pesa Ili akusaidie upate pesa yako,ataishia kukutapeli tu!!!jamaa yangu mmoja alitoa mpaka Rushwa ya 2ml Ili apate ml.54 yake NSSF lakini hakupata mwisho wa siku ikabidi ubabe utumike NDIPO yule NSSF staff akarudisha ile Rushwa ya ml.2,mchawi ni wewe kuandika una Degree(nilikuwaga mpaka na namba ya Mkurugenzi Mkuu Mushomba na nikampigia kumuomba msaada jamaa yangu apewe ml.54 yake lakini alikataa katakata,hivyo angalia usije ukalia zaidi kwa kutapeliwa
Mkuu ukidanganya elimu hawawez jua?
 
Nikusaidie tu Ndugu,kupata hiyo pesa ni ngumu kwelikweli,kuwa makini sana na staff yoyote wa NSSF atakayekudanganya kwamba umpe pesa Ili akusaidie upate pesa yako,ataishia kukutapeli tu!!!jamaa yangu mmoja alitoa mpaka Rushwa ya 2ml Ili apate ml.54 yake NSSF lakini hakupata mwisho wa siku ikabidi ubabe utumike NDIPO yule NSSF staff akarudisha ile Rushwa ya ml.2,mchawi ni wewe kuandika una Degree(nilikuwaga mpaka na namba ya Mkurugenzi Mkuu Mushomba na nikampigia kumuomba msaada jamaa yangu apewe ml.54 yake lakini alikataa katakata,hivyo angalia usije ukalia zaidi kwa kutapeliwa
Elimu gani ambayo ukiwanayo unapewa pesa yote?
 
Siku ulipojaza taarifa kwa mara ya kwanza ku-join NSSF taarifa zako ziliingizwa kwenye system yao,so kama ulijaza una Degree basi System inasoma hivyo kwamba wewe Professional,leo huwezi kwenda kudai ukisema ni Fomu 4,shida ndio hiyo,Fomu 4 kushuka chini ndio unachukuliwa kama Kibarua(Non Professional)
 
Ulifanya makosa kukubali hiyo laki mbili kwa miezi SITA, kwasabb sasaiv umeshaingizwa kwenye mfumo huo. Isingekua hvo ningekuconnect kwa maneja mmoja wa hapo nssf akusaidie
 
Back
Top Bottom