Jinsi ya kuzitoa pesa NSSF

Jinsi ya kuzitoa pesa NSSF

Ulifanya makosa kukubali hiyo laki mbili kwa miezi SITA, kwasabb sasaiv umeshaingizwa kwenye mfumo huo. Isingekua hvo ningekuconnect kwa maneja mmoja wa hapo nssf akusaidie
Boss unaanzaje kukataa wakati pesa inaingia bank? Baada ya pesa kuingia niliwafat ndio wakanipa hizo Sheri zao lakini nikawakomalia San kwamba wnipe hel zangu Mimi nikakomae na biashara zangu nikaandika hadi baraua makao makuu kuwaambia Mimi nilikua nafanya kazi kama kibarua tu lakini mwezi ulivofika mwisho wakweka Tena Hela na barua hawakujinu
Baada ya kuisha miezi 6 week kadhaa zimeoita wanenipigia simu niupeleke chetu ya degree yani wamepiga simu kabisa 😄
Sasa saizi mi Nataka kuzitoa kwa njia ya kinyemela nasikia wahuni wapo wanaojua njia hizo ndio Nataka huo msaada wai na tutachekian vizuri na uaminifu upo
Kwaio kama meneja anaweza kunisaidia mkuu naomba msaada wako tu Mimi mahitaji connect tu pesa itoke
 
Boss unaanzaje kukataa wakati pesa inaingia bank? Baada ya pesa kuingia niliwafat ndio wakanipa hizo Sheri zao lakini nikawakomalia San kwamba wnipe hel zangu Mimi nikakomae na biashara zangu nikaandika hadi baraua makao makuu kuwaambia Mimi nilikua nafanya kazi kama kibarua tu lakini mwezi ulivofika mwisho wakweka Tena Hela na barua hawakujinu
Baada ya kuisha miezi 6 week kadhaa zimeoita wanenipigia simu niupeleke chetu ya degree yani wamepiga simu kabisa 😄
Sasa saizi mi Nataka kuzitoa kwa njia ya kinyemela nasikia wahuni wapo wanaojua njia hizo ndio Nataka huo msaada wai na tutachekian vizuri na uaminifu upo
Kwaio kama meneja anaweza kunisaidia mkuu naomba msaada wako tu Mimi mahitaji connect tu pesa itoke
Hukufuatilia, Kuna jamaa alifanyiwa hvo akazikata na akaandika barua na hawakuingiza tena wakamrekebishia, nadhani ulienda kwa hasira na ukakosea maelezo yako zaid
 
Hukufuatilia, Kuna jamaa alifanyiwa hvo akazikata na akaandika barua na hawakuingiza tena wakamrekebishia, nadhani ulienda kwa hasira na ukakosea maelezo yako zaid
Labda ilikua bahati yake mkuu au labda wenyewe ndio wakijichanganya Mimi pia nimeandika barua Tena mapema kabisa baada ya kuingiziwa pesa kwa mwezi wa kwanza
Hauwezi kwenda na hasira wakati kwenye sheria wapi sahihi na wamenupa maelezo ya kutosha na Sheria injieleza wakanipa na nyaraka tatizo hapa ni iyo Sheria ni kandamizi ila Iko sahihi
Barua wamekuja kunijibu imeshaipita miezi 6 na wanenipigia simu kabisa ila maelezo Yao ni kwamba lazima niingie kwenye kikokotooo kwaio Sina jinsi ndo mana natafuta mtu anaeweza kuzitoa kwa Dili tu ndio solution
 
Wakuu paka saizi pm kuko kimya inamaana hakuna wapiga Dili? Daah basi ngoja tuenndelee kupambana kupata mitaji kwa njia ingine
Ila alieanzisha kikokotoo ametuzingua Sana has vijana na wale wanaokomalia kikokotoo nadhani hayajawakuta au wana masrahi nacho
Pia nimefatilia nasiki kuna ngazi wenyewe hakiwahusu mfano wabunge hawapitiwi na kikokotoo na hii ndio sababu hawapingi kelele kukikataa ila kinaumiza Sana watu
Mimi nimefanya kazi mwenyewe na pesa zangu nna shida zangu saizi Nataka kuzitatua wewe unanimbia paka nifikishe miaka 57 sijui huu uhuni nani alifikiria aisee?
Sio sawa kabisa
 
Hivi kumbe kuipata hii ela kwa rushwa inawezekana ee, kuna m3 yangu nilikuwa nimeikatia tamaa ngoja nianze upya tena kuiomba, mwenye kumjua wa kufanya mchongo huu nssf ilala au ubungo nijulishe pls
 
Hii sheria ni ya kipumbavu ndio mana unaona hao wabunge haiwahusu. Wao wakimaliza miaka yao mitano wanachukua zote hawaachi hata mia na wao walikua na mishahara mikubwa iweje sisi wenye vimishahara vidusko hata kusave shida wanang'ang'ania vipesa vyetu. Huu ni utaperi tu.
 
mimi niliachaga kazi sehem sikuandika barua ya kuacha niliwaambia tu kwa mdomo wabwanga eh kazi mm basi nikaandika barua ya kukabidhi tu vitu vyao vya ofisi hii kazi ilikua changamoto kwangu sasa nna hela zangu huko nazipataje?
 
mimi niliachaga kazi sehem sikuandika barua ya kuacha niliwaambia tu kwa mdomo wabwanga eh kazi mm basi nikaandika barua ya kukabidhi tu vitu vyao vya ofisi hii kazi ilikua changamoto kwangu sasa nna hela zangu huko nazipataje?
Kwa njia hii hutoboi paka wakupe termination ndio unapewa pesa
 
Back
Top Bottom