Mwanambugulu
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 683
- 851
- Thread starter
- #81
Boss unaanzaje kukataa wakati pesa inaingia bank? Baada ya pesa kuingia niliwafat ndio wakanipa hizo Sheri zao lakini nikawakomalia San kwamba wnipe hel zangu Mimi nikakomae na biashara zangu nikaandika hadi baraua makao makuu kuwaambia Mimi nilikua nafanya kazi kama kibarua tu lakini mwezi ulivofika mwisho wakweka Tena Hela na barua hawakujinuUlifanya makosa kukubali hiyo laki mbili kwa miezi SITA, kwasabb sasaiv umeshaingizwa kwenye mfumo huo. Isingekua hvo ningekuconnect kwa maneja mmoja wa hapo nssf akusaidie
Baada ya kuisha miezi 6 week kadhaa zimeoita wanenipigia simu niupeleke chetu ya degree yani wamepiga simu kabisa 😄
Sasa saizi mi Nataka kuzitoa kwa njia ya kinyemela nasikia wahuni wapo wanaojua njia hizo ndio Nataka huo msaada wai na tutachekian vizuri na uaminifu upo
Kwaio kama meneja anaweza kunisaidia mkuu naomba msaada wako tu Mimi mahitaji connect tu pesa itoke