wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Wale watu sijui Wana faida gani hata mkuu.Nadhani hua Wana target wenye ma Viwanda nadhani kule Kuna fines nzuri nzuri mkuu.Ni kweli wameshindwa. Ila wakiambiwa kuna Mgodi fulani unatiririsha maji machafu utamuona Waziri, Mkurugenzi wanakimbizana!!!
Faida ipo kama wakitekeleza majukumu yao ipasavyo kwa kusimamia sheria, tatizo ni hilo la kuchagua kushughulikia yale tu yenye fine hizo nzuri nzuri. (Double standard)Wale watu sijui Wana faida gani hata mkuu.Nadhani hua Wana target wenye ma Viwanda nadhani kule Kuna fines nzuri nzuri mkuu.
Huu mziki unaleta Sana fujo. Ila uzuri wanaomiliki nnaowajua ni wastaarabu, hata hawaitumiiUndava undava.View attachment 2111242
Duuuh, hahaaaaaa. Hebu mpasie clip ya msomali kufia fiatini!Ikifika usiku MDA wa kulala.
Chukua clip za EX,(zenye miguno na kelele nyingi)
Kisha play kwenye kwenye sabufa kwa sauti kubwa.
Afu weka repeat mode.
Afu funga chumba chako,
Kisha Nenda zako kalale LODGE utarudi kesho yake asbh kushakucha[emoji4]
Fanya hivyo kwa wiki nzima, TATIZO LITAISHA[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Saut ya miguno ya kugegedana inatembea balaa.
Watu hawalali kabisa wiki lote.
Wataitisha wenywe kikao Cha maridhiano uache kugegedana kwa sauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiwa anataka kuwasha redio yake umuwahi na ww unawsha Bluetooth kwny simu yako afu una pair kwa sabufa lake. Afu fungulia porn afu uweke sauti ya juu kabisa.
Angalau wewe jibu lako linatia matumaini..nimejaribu ila hawajagi kabisa hawa watu
kuna baharia kasema hafu we unaenda kulala gesti mbali tena wao wanawasha weekend wewe unapiga j3-alhamis.Kiboko ya hayo makelele ni zile spika za Kwenye mashughuli ya kislamu(makawa) zile kukodisha pamoja na amplifier yake ni buku 8 tu,Sasa ile unaiunganisha na deki,au pc Kisha unaweka zile sauti za ving'ora Mara ambulance hapo lazima wasande.
Mimi nimeandika uswahilini wewe unaweza kuongezea kama kuna kwengine...Na wewe umeandika nini!!!!
Sio uswahilini tu...
Hii alifanya Bwana mmoja, maana ilikuwa kila akiwaonya wapunguze sauti wanamwambia wapo kwao kama anataka nae afungulie.Hizo kero ndo nazipendaga mm sema saivi niko kwa wastarabu.
Kanunue kinu kiwashe mda ambao wamepumzika tia sauti mwisho, harafu tokomea kesho wakikuliza unasema hata nyie huwa mnafungulia kwa sauti kubwa.
Watakuambia tuma nauliPiga hizi namba za mamlaka inayohusika na Kelele na mitetemo waje washughulike nae
0800 110 115
0800 110 116
0800 110 117
Hao ndio hasa wanahusika na uchafuzi mazingira kupitia kelele na wana vipimo kujua kama viwango vimezidi.
NB:Ulete mrejesho
Hii ni nomaKuna jamaa chuoni alikuwa na Spika kubwa ndefu zile,sasa alikuwa anachukua video za X anaunganisha halafu anaweka sauti mpaka mwisho anailekeza dirishani mchana kweupe halafu anafunga chumba anatokomea kusikojulikana,hizo sauti za kulalamika mademu ni balaa[emoji3]
Aisee, pale palikuwa hapakaliki wala hapasomeki hosteli karibu tatu zinazokaribiana[emoji3],kama unaweza vumilia kama huwezi nenda darasani kasome huko.
Ila mleta mada simshauri hii njia,maana hapo atachokoza majirani mtaa mzima[emoji16],
Kama huupiga mziki usiku wewe wakomoe kwa kuazima maspoka makubwa piga mchana ili wasilale hawata rudia tenaUkipiga wanasemaje?kama hawaji nenda kwa mwenyekiti wa mtaa au mamlaka zingine za serikali eneo lenu
Umeona ushauri anaopewa ni konkiJirani nimekuelewa walah nitaacha
Ila wanapokea simu?Angalau wewe jibu lako linatia matumaini..nimejaribu ila hawajagi kabisa hawa watu