Jinsi ya kuzuia makelele ya muziki wa juu kutoka kwa majirani...

Jinsi ya kuzuia makelele ya muziki wa juu kutoka kwa majirani...

Dawa ya moto ni kuwacha moto mkali zaidi.
Hapo tafuta zile horn speaker (kama zile za msikitini) halafu hakikisha unazielekeza usawa wa huyo jirani yako, kisha ile mida wametulia unazifungulia mpaka mwisho ili wajue tabu zote na ule muda wanapiga muziki wao wenye swaga wewe washa muziki usiokuwa na swaga (kama makelele ya wanyama, vinora) ili kuwakata stimu.

Hapo lazima heshima irudi.
 
Katu usidili na watu primitives kwa njia za kistaarabu
 
Kiboko ya hayo makelele ni zile spika za Kwenye mashughuli ya kislamu(makawa) zile kukodisha pamoja na amplifier yake ni buku 8 tu,Sasa ile unaiunganisha na deki,au pc Kisha unaweka zile sauti za ving'ora Mara ambulance hapo lazima wasande.
Kama vipi lipigwe azana tu.
 
Fanya hivi tafuta mziki wako wa wastani tu, chukua flash yako Kisha ingiza milio ya wanyama mbwa, nyau hata ng'ombe na punda usimsahau Kisha washa bufa yako chomeka flash yako ndani ya siku mbili tu,
Utakuja kunishukuru
🥱🤣🤣🤣
 
Kiboko ya hayo makelele ni zile spika za Kwenye mashughuli ya kislamu(makawa) zile kukodisha pamoja na amplifier yake ni buku 8 tu,Sasa ile unaiunganisha na deki,au pc Kisha unaweka zile sauti za ving'ora Mara ambulance hapo lazima wasande.
Duh! Si mchezo
 
Wanakera kinyama na Kuna wale wanaofungulia maombi kwa sauti kubwa kwenye redio usiku kucha
 
Wakati nipo mdogo kuna jamaa alikua anafanya kazi kiwanda cha tumbaku moro.. Jirani yetu, akirudi job kelele za miziki, huyu taarabu, huyu mchriku, fujo tu.. Akiwaomba alale wapunguze kelele wanamwambia akaushe umeme kila mtu anachangia,, alichofanya muhuni siku anayoingia Job usiku,, akaweka CD ya Ngono, sauti juuuuu... Kafunga getto kaenda job.. Watoto walisikia milio ya kila rangi.. Haha wakazima umeme kabisa... Asubuhi jamaa karudi nyumba kimyaa kama Makka...
 
Azima pikpiki kubwa (BAJA itafaa)
Itoboe kdg exhaust,
Kisha iingize chumban,Tia stendi kubwa.

Afu ipige RESI ZA KUTOSHA MDA uke majiran zao wamezima mxmziki wao ndo wanapumzika.

Kisha
Utanishukuru baadae[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio afanyie kazi uani wakiwa wamepumzika wenzake?
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom