Jinsia haijawahi kuwa kigezo cha uongozi. Kigezo kikuu ni uwezo wa mtu, waacheni wananchi waamue wenyewe

Jinsia haijawahi kuwa kigezo cha uongozi. Kigezo kikuu ni uwezo wa mtu, waacheni wananchi waamue wenyewe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Nimeona ni vema jambo hili liwekwe wazi ili kuondoa upotoshaji maana tayari kuna wapotoshaji wameanza kazi yao.

Uongozi na hasa uongozi wa Juu kama Urais, unaendeshwa kwa utaratibu uliowekwa ndani ya Katiba ya nchi, hauendeshwi kwa kutumia jinsia, kigezo hicho hakuna, Suruali au dela la mtu havina mchango wowote kwenye uongozi Mtu yeyote atabebwa na uwezo wake na jinsi anavyoweza kufuata misingi iliyo ndani ya Katiba.

Ikiwa kama wanawake wanao uwezo basi watapewa uongozi kwa uwezo wao waliouonyesha, hawatapewa uongozi kwa sketi zao, na wakishindwa hatutawaonea huruma kwa vile wamevaa hijab, watapigwa chini mchana kweupe bila huruma yoyote ile, hivyo ndivyo tutakavyofanya hata kwa wanaume, uongozi si sawa na kubeba Matofali kwamba ni lazima pande la mtu ndio lituongoze.

Natoa onyo kwa yeyote yule anayetaka kugawa uongozi kwa misingi ya jinsia, kwamba akifanya hivyo tutampinga na atajizolea dharau bila sababu ya msingi, waacheni wenye uwezo wagombee uongozi na tutawatathmini kwa uwezo wao na wala si kwa jinsia zao.

Enzi za kuburuzwa kwa hoja za uongo zimekwisha na hazina nafasi tena
 
Tumetoka ubaguzi wa kikanda sasa tumeingia ubaguzi wa kijinsia loh!

Kwakweli tunahitaji katiba mpya lasivyo tutajikuta pabaya na siasa zetu za kishamba.

Leo wanauliza na watatuwezaaaa....hawatuweziiii

Sijajua ninani hawawawezi lkn hili siosawa wanaume tusiojipendekeza lazma tukemee!

NO! NOO!! NOOO!!! NOOOO!!!! NOOO...
 
... kana kwamba viti maalum havitoshi!
1631731141526.png
 
Binadamu maarifa yakizidi mnajiangamiza wenyewe.
Mwanamke kuwa kiongozi sio vibaya ila kuwa kiongozi mkuu tena wa Nchi..hihiihii.. hapo tumepotea
 
Nimeona ni vema jambo hili liwekwe wazi ili kuondoa upotoshaji maana tayari kuna wapotoshaji wameanza kazi yao.

Uongozi na hasa uongozi wa Juu kama Urais, unaendeshwa kwa utaratibu uliowekwa ndani ya Katiba ya nchi, hauendeshwi kwa kutumia jinsia, kigezo hicho hakuna, Suruali au dela la mtu havina mchango wowote kwenye uongozi Mtu yeyote atabebwa na uwezo wake na jinsi anavyoweza kufuata misingi iliyo ndani ya Katiba.

Ikiwa kama wanawake wanao uwezo basi watapewa uongozi kwa uwezo wao waliouonyesha, hawatapewa uongozi kwa sketi zao, na wakishindwa hatutawaonea huruma kwa vile wamevaa hijab, watapigwa chini mchana kweupe bila huruma yoyote ile, hivyo ndivyo tutakavyofanya hata kwa wanaume, uongozi si sawa na kubeba Matofali kwamba ni lazima pande la mtu ndio lituongoze.

Natoa onyo kwa yeyote yule anayetaka kugawa uongozi kwa misingi ya jinsia, kwamba akifanya hivyo tutampinga na atajizolea dharau bila sababu ya msingi, waacheni wenye uwezo wagombee uongozi na tutawatathmini kwa uwezo wao na wala si kwa jinsia zao.

Enzi za kuburuzwa kwa hoja za uongo zimekwisha na hazina nafasi tena
You are 100% right irrespective of your gender status
 
Nimeona ni vema jambo hili liwekwe wazi ili kuondoa upotoshaji maana tayari kuna wapotoshaji wameanza kazi yao.

Uongozi na hasa uongozi wa Juu kama Urais, unaendeshwa kwa utaratibu uliowekwa ndani ya Katiba ya nchi, hauendeshwi kwa kutumia jinsia, kigezo hicho hakuna, Suruali au dela la mtu havina mchango wowote kwenye uongozi Mtu yeyote atabebwa na uwezo wake na jinsi anavyoweza kufuata misingi iliyo ndani ya Katiba.

Ikiwa kama wanawake wanao uwezo basi watapewa uongozi kwa uwezo wao waliouonyesha, hawatapewa uongozi kwa sketi zao, na wakishindwa hatutawaonea huruma kwa vile wamevaa hijab, watapigwa chini mchana kweupe bila huruma yoyote ile, hivyo ndivyo tutakavyofanya hata kwa wanaume, uongozi si sawa na kubeba Matofali kwamba ni lazima pande la mtu ndio lituongoze.

Natoa onyo kwa yeyote yule anayetaka kugawa uongozi kwa misingi ya jinsia, kwamba akifanya hivyo tutampinga na atajizolea dharau bila sababu ya msingi, waacheni wenye uwezo wagombee uongozi na tutawatathmini kwa uwezo wao na wala si kwa jinsia zao.

Enzi za kuburuzwa kwa hoja za uongo zimekwisha na hazina nafasi tena
On point.
 
Si tuliambiwa akina mama mnamchagua mwana mama mwenzenu, imekuwaje tena!
 
Back
Top Bottom