Jionee mwenyewe jinsi teknolojia inayotumika Israel kuzuia makombora ilivyoboreshwa, akili iliyotumika kubuni huu mtambo si ya kawaida

Jionee mwenyewe jinsi teknolojia inayotumika Israel kuzuia makombora ilivyoboreshwa, akili iliyotumika kubuni huu mtambo si ya kawaida

Sipo hapa kutetea waarabu wala Israel, vyovyote vile ni sawa, lakini hekaya za kunambia Israel wamekamata mifumo ya fedha sio kweli.

Nikakuambia kuna nchi zina pesa kama hizo za uarabuni, haimaanishi natetea no, lakini nazunumza ukweli, Israel haina uchumi wowote wa kupambana na nchi kama Iran, Russia, China au India. Ni ile mnawapamba sana.

Hii vita tu ya Hamas wameomba msaada dola bilioni 14, Tamir intercepto 1 ya iron dome ni Tshs milioni 125.

Wakai huo Hezbollah wana makombora 150,000 ukijumuisha advanced precision-guided missiles, rockets kiasi hiko hata iron dome haiwezi hilo battle. Thats too much.
Hivi unajua kwamba pamoja na udogo wa Israel, Pato lake la taifa kwa mwaka huu pekee ni dola za kimarekani bilioni 560 sawa na trilioni elf 1,400 ?
 
, hizo ni hekaya, nchi zenye pesa chafu ni arabuni huko, israel inapokea msaada wa dola bilioni 3 kila mwaka kutoka US, na juzi hapa wameomba wasaidiwe dola bilioni 14 kupambana na Hamas.

Vita ni gharama mzee, wangekuwa wameshikilia mifumo ya pesa wasingeomba msaada.
sw waarabu wanasubir nn kuwasaidia palestina?
 
Kuhusu matumizi mi sifahamu , lakini ukitembea Qatar, UAE au Saudia na ukaenda Israel utaona tofauti kubwa ya kimiundombinu, utaona hao arabs walivyoendelea kuliko Israel.

Lakini ukae ukijua tu kuna nchi tajiri na nchi yenye uchumi, Qatar inaizidi utajiri US, lakini US wanaizidi uchumi Qatar.
Jiulize hao Saudia wangekuwa kwny vita kama ya Israel leo si wangekuwa sw Libyia ? Israel miaka yote yupo kwenye mtanange ila bado anajenga nchi yake , na kazungukwa na maadui , Israel wapewe maua yao , siku wakiachiwa miaka 30 bila chokochoko zozote utaona atakavyowaacha hao Saudia kimiundo mbinu , taifa la juzi 1948 kipind hiko Saudia wapo hatua kadhaa ila leo hii Israel wapo juu kiuchumi
 
Waisrael ndio wanashikilia mifumo ya fedha, suala la pesa sio tatizo kwao ila hawasemi hadharani, missle moja ya iron dome kuwa dola elf 50 kwao ni kama kununua mawe ya manati.

Mambo ya fedha hayawaumizi vichwa.
Wasingukuwa wanaomba misaada basi
 
Waisrael ndio wanashikilia mifumo ya fedha, suala la pesa sio tatizo kwao ila hawasemi hadharani, missle moja ya iron dome kuwa dola elf 50 kwao ni kama kununua mawe ya manati.

Mambo ya fedha hayawaumizi vichwa.
Nimekuelewa kuna mtu mzima na akili zake aliwahi kuniambia, Israel matajiri wakubwa duniani ni mayahudi na wanamiliki mifumo mingi na hata kanuni nyingi za kuandalia mivinyo wanayo wao, na wanakodisha tu sio kwamba wanauza na mataifa makubwa tunayoyaona yenye nguvu yanamtegemea Israel kwa Tech nyingi tu.
 
Sipo hapa kutetea waarabu wala Israel, vyovyote vile ni sawa, lakini hekaya za kunambia Israel wamekamata mifumo ya fedha sio kweli.

Nikakuambia kuna nchi zina pesa kama hizo za uarabuni, haimaanishi natetea no, lakini nazunumza ukweli, Israel haina uchumi wowote wa kupambana na nchi kama Iran, Russia, China au India. Ni ile mnawapamba sana.

Hii vita tu ya Hamas wameomba msaada dola bilioni 14, Tamir intercepto 1 ya iron dome ni Tshs milioni 125.

Wakai huo Hezbollah wana makombora 150,000 ukijumuisha advanced precision-guided missiles, rockets kiasi hiko hata iron dome haiwezi hilo battle. Thats too much.
Matajiri wengi wa Kiyahudi hawaishi Israeli.Ulaya na America ndiko kuliko na Wayahudi wengi kwenye mfumo wa pesa wa kidunia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Sipo hapa kutetea waarabu wala Israel, vyovyote vile ni sawa, lakini hekaya za kunambia Israel wamekamata mifumo ya fedha sio kweli.

Nikakuambia kuna nchi zina pesa kama hizo za uarabuni, haimaanishi natetea no, lakini nazunumza ukweli, Israel haina uchumi wowote wa kupambana na nchi kama Iran, Russia, China au India. Ni ile mnawapamba sana.

Hii vita tu ya Hamas wameomba msaada dola bilioni 14, Tamir intercepto 1 ya iron dome ni Tshs milioni 125.

Wakai huo Hezbollah wana makombora 150,000 ukijumuisha advanced precision-guided missiles, rockets kiasi hiko hata iron dome haiwezi hilo battle. Thats too much.
akili zako zimekaa kiafrik , ndio maana ukipokea mshahara laki 7 , ww ni kunywa bar mpk ibakie buku hukumbuki kuwa kuna kesho , unahisi ndan ya Israel hakuna maisha baada ya hii vita ? Akili za mwafrika huonekana kwenye maandish yake , hata India leo akiingia vitan lzm ataomba msaada , ni nchi zinazoongozwa na wehu kama Urusi ndo zinaishi kutafuta ubabe sio kujali hali za wananchi wao sabab wamewaziba midomo
 
Kuhusu matumizi mi sifahamu , lakini ukitembea Qatar, UAE au Saudia na ukaenda Israel utaona tofauti kubwa ya kimiundombinu, utaona hao arabs walivyoendelea kuliko Israel.

Lakini ukae ukijua tu kuna nchi tajiri na nchi yenye uchumi, Qatar inaizidi utajiri US, lakini US wanaizidi uchumi Qatar.
Utajiri ni mifumo na mipango.
 
Missile 1 ya iron dome ina cost $50000.
Roketi moja likizuiwa lililotengenezwa kienyeji, almost Tshs milioni 125 imetembea, vita ni gharama sana.
kwa hesabu za haraka hapo ni kama bilioni 5 Tshs zinafika kuzuia hayo maroketi.

Kwa Tech ya Iron Dome Israel ipewe maua yake, nisiwe mnafiki.
Tumia akili braza hakuna kombora la Tsh 125M, ingekuwa hivo hata sisi TZ tungekuwa tunavimiliki ok so punguza shobo yakheee!!

Alafu punguza pia ujinga, hakuna kombora lililotengenezwa kienyeji ok, so unamanisa Iran inatengeneza vitu kienyeji?

Iron Dome ni level nyingine, tukubali tu yaishe, coz kazi yake imeonekana Duniani hata Ayatollah anajiuliza hii akili Muisrael kaitoa wapi.
 
Tumia akili braza hakuna kombora la Tsh 125M, ingekuwa hivo hata sisi TZ tungekuwa tunavimiliki ok so punguza shobo yakheee!!

Alafu punguza pia ujinga, hakuna kombora lililotengenezwa kienyeji ok, so unamanisa Iran inatengeneza vitu kienyeji?

Iron Dome ni level nyingine, tukubali tu yaishe, coz kazi yake imeonekana Duniani hata Ayatollah anajiuliza hii akili Muisrael kaitoa wapi.
Kwani lazima unitukane ndio nikuelewe.
Iron Dome ni kwa ajili ya kuzuia short range rockets ile ni short-range interception system, ni best katika class yake.

Air Defense Systems zipo nyingi duniani, zipo za long range lakini huwezi kuweka class moja na Iron Dome, ndio maana nakuambia ni bora katika aina yake ya systems katika short range.

Iron Dome inasaidia kupunguza namba ya vifo vya wananchi wa Israel, Iron Dome interceptor inauzwa dola 50K sasa kama unabisha siwezi bishana na wewe,kupunguza gharama ndio maana ina intercept rockets ambazo zina uelekeo unao kwenda kupiga kwenye population ya watu, rockets kutoka Gaza zinazoelekea sehemu za wazi iron dome hai intercept.

Njoo na facts sio matusi.
 
akili zako zimekaa kiafrik , ndio maana ukipokea mshahara laki 7 , ww ni kunywa bar mpk ibakie buku hukumbuki kuwa kuna kesho , unahisi ndan ya Israel hakuna maisha baada ya hii vita ? Akili za mwafrika huonekana kwenye maandish yake , hata India leo akiingia vitan lzm ataomba msaada , ni nchi zinazoongozwa na wehu kama Urusi ndo zinaishi kutafuta ubabe sio kujali hali za wananchi wao sabab wamewaziba midomo
Sijibu kama hoja huna, mambo ya mshahara na pombe yanaingiaje?
Lete hoja sio ngonjera.
 
Back
Top Bottom