Jionee mwenyewe jinsi teknolojia inayotumika Israel kuzuia makombora ilivyoboreshwa, akili iliyotumika kubuni huu mtambo si ya kawaida

Jionee mwenyewe jinsi teknolojia inayotumika Israel kuzuia makombora ilivyoboreshwa, akili iliyotumika kubuni huu mtambo si ya kawaida

Uwe unasoma vitabu, Japan alitawala baadhi ya majimbo nchini China kama Manchuria n.k, sawa unasema 1945 China walikuwa nyuma, je hao jews ambao ni matajiri, wenye akili za hatari na wenye nguvu kijeshi walikuwa wapi? si walikuwa wametapakaa kama panya, wengine hadi East Africa huku walikuwepo, hizo IQ zao zilikuwa wapi?

China inapata uhuru kutoka kwa UK 1949, Israel 1948, tazama utofauti wa kimaendeleo kati ya hao magenius wao na Chinese, Tazama uchumi kati ya hao magenius wako na Chinese.

Leo hii China iko wapi? ndio akili zenyewe hizo, kutawaliwa hata US alitawaliwa na UK.

Duniani nchi zenye uchumi mkubwa ni zipi, tunaanza.
1-USA.
2-China.
3-Japan.
4-Germany na kuendelea kwenye top 10 hao magenius wako wa mchongo hawapo. 🤣 🤣 🤣 Sasa watumie hizo akili kubuni tech wapate uchumi mkubwa. Hapo ndipo utajua kwa nini wataalamu wa mambo wanatambua uwezo wa nchi kama Japan na China, leo hii China ina uchumi kuliko UK aliyekuwa anaitawala.
mwaka 1945 jews walikuwepo ndio wewe point yako hapa ni IQ au kutapakaa kama panya mbona hueleweki ebu nyoosha maelezo kwani kama walikua wametapakaa au hawajatapakaa point yako hapa ni nini hasa, walikuwepo wana hela na hadi sasa wana hela
 
We mjinga, South Korea na kampuni yake ya Samsung wanatengeneza vitu vingi, unajua maana ya research and development, unajua gharama ya kufanya research and development? unafahamu Samsung wanatengeneza chip za iphone? unafahamu Samsung wanatengeneza engines za ndege? Unafahamu Samsung wanatengeneza CT scans?

Inventions zao kwenye simuna televisoon ulishafuatilia, unafahamu ubabe walio nao kwenye uvumbuzi wa tech za vioo vya simu na televisions, sizungumzii hizi samsng fake za hapa bongo ambao wengi mnazo majumbani.

Unafahamu Samsung hao ndio wanatengeneza vioo vya iphone?

Unafahamu gari za KIA, ni SOuth Korea, hao Israel wenye akili, tajiri na nguvu kijeshi ziko wapi bidhaa zao?

Halafu usikariri atomic bomb ni deadly, kuna hydrogen bomb ambalo linaogopeka kuliko hio atomic, mgunduzi ni Edward Teller kazaliwa Hungary sio jew, ni Hungarian American, Hydrogen bomb ingepigwa Japan isingekuwa ina exist duniani, chukua hio utanishukuru siku nyingine, kwa maana umekariri Atomic sana ndipo uwezo wako ulipoishia.
point haikua huyogen bomb mzee point ilikua ni IQ za wayahudi na inovations zao ndo atomic bomb ikaja hapo acha kupoteza mwelekeo
 
mzee acha porojo nimekupa list za wanasayansi wa kiyahudi leta list za wanasayansi wa kichina na inovations zao acha kelele mingi, huo mwaka 1945 unauliza jews walikua wapi na wakati nimekuambia walikua wanatengeneza atomic bomb asee mbona kama unajitoa ufahamu?
Kwanza hao unaosema hata huyo Robert Oppenheimer alikuwa ni wale wajerumani wenye mchanganyiko na uyahudi kwa mbali, hakuwa ana practice dini ya kiyahudi, sasa habari za kunambia jews walikuwa wanatengeneza Atomic Bomb 🤣🤣🤣, Kwa hio jews wote walikuwa wanatengeneza bomb la atomic?🤣🤣🤣🤣
 
point haikua huyogen bomb mzee point ilikua ni IQ za wayahudi na inovations zao ndo atomic bomb ikaja hapo acha kupoteza mwelekeo
Nakuonyesha kwamba ukijifanya una kichwa kuna watu wenye vichwa kuliko wewe, na hawana matambala kujisifu, na wanafanya maajabu kuliko wewe, Atomic Bomb unayoipigia kelele, kuna vichwa walitoa hydrogen bomb toka Hungary huko, na ni noma na nusu, balaa lake hio atomic bomb yako inarudi tuition kusoma, we unacheza wewe...
 
Uwe unasoma vitabu, Japan alitawala baadhi ya majimbo nchini China kama Manchuria n.k, sawa unasema 1945 China walikuwa nyuma, je hao jews ambao ni matajiri, wenye akili za hatari na wenye nguvu kijeshi walikuwa wapi? si walikuwa wametapakaa kama panya, wengine hadi East Africa huku walikuwepo, hizo IQ zao zilikuwa wapi?

China inapata uhuru kutoka kwa UK 1949, Israel 1948, tazama utofauti wa kimaendeleo kati ya hao magenius wao na Chinese, Tazama uchumi kati ya hao magenius wako na Chinese.

Leo hii China iko wapi? ndio akili zenyewe hizo, kutawaliwa hata US alitawaliwa na UK.

Duniani nchi zenye uchumi mkubwa ni zipi, tunaanza.
1-USA.
2-China.
3-Japan.
4-Germany na kuendelea kwenye top 10 hao magenius wako wa mchongo hawapo. 🤣 🤣 🤣 Sasa watumie hizo akili kubuni tech wapate uchumi mkubwa. Hapo ndipo utajua kwa nini wataalamu wa mambo wanatambua uwezo wa nchi kama Japan na China, leo hii China ina uchumi kuliko UK aliyekuwa anaitawala.

Kwanza hao unaosema hata huyo Robert Oppenheimer alikuwa ni wale wajerumani wenye mchanganyiko na uyahudi kwa mbali, hakuwa ana practice dini ya kiyahudi, sasa habari za kunambia jews walikuwa wanatengeneza Atomic Bomb 🤣🤣🤣, Kwa hio jews wote walikuwa wanatengeneza bomb la atomic?🤣🤣🤣🤣
kwani hapa tunaongelea uyahudi dini mbona una kichwa kigumu sana ndugu?
 
Nakuonyesha kwamba ukijifanya una kichwa kuna watu wenye vichwa kuliko wewe, na hawana matambala kujisifu, na wanafanya maajabu kuliko wewe, Atomic Bomb unayoipigia kelele, kuna vichwa walitoa hydrogen bomb toka Hungary huko, na ni noma na nusu, balaa lake hio atomic bomb yako inarudi tuition kusoma, we unacheza wewe...
mzee atomic bomb ndo ilichangia vita ya pili kusimama baada ya japan kusurender, narudia kukukumbusha hapa hatukua tunaongelea hayo mabomu bali ni scientific inovations, halaf kama bado unabisha uhusika wa wayahudi kwenye atomic bomb project nenda kamsome einsten
 
, hizo ni hekaya, nchi zenye pesa chafu ni arabuni huko, israel inapokea msaada wa dola bilioni 3 kila mwaka kutoka US, na juzi hapa wameomba wasaidiwe dola bilioni 14 kupambana na Hamas.

Vita ni gharama mzee, wangekuwa wameshikilia mifumo ya pesa wasingeomba msaada.
Unaijua bajeti ya nchi yao? Fatilia alafu uniambie hiyo $3B ni kitu gani mbele ya bajeti yao ya mwaka mmoja tu.
 
Nakuonyesha kwamba ukijifanya una kichwa kuna watu wenye vichwa kuliko wewe, na hawana matambala kujisifu, na wanafanya maajabu kuliko wewe, Atomic Bomb unayoipigia kelele, kuna vichwa walitoa hydrogen bomb toka Hungary huko, na ni noma na nusu, balaa lake hio atomic bomb yako inarudi tuition kusoma, we unacheza wewe...
alafu hapa unapewa facts mzee vitu vyote unapewa na data sio porojo kama zako
 
unauliza bidhaa za israel mimi naongelea wayahudi ona utavotapatapa hujulielewi unauliza bidhaa za wayahudi na wakati unatumia facebook na google? kweli we bado ni panya kabisa
Sasa hao wayahudi wenye akili, matajiri sio ndio wapo kwa wingi huko Israel?, watumie utajiri, akili na uwezo wao kijeshi tuwaone duniani, kila kitu wamepitwa, kila kitu wamepigwa mbali sana.

Ipo hivi we jamaa, Google na facebook si kitu, ni trending za kibiashara, hata mimi natengeneza search engine, ipo hivi always haijalishi unafanya nini, lakini kuna wababe wapo wanakuangalia na wapo kimya...

TikTok hio hapo Chinese wametoa sasa hivi youtube hao google wamekuja na youtube shorts, instagram ambao ni hao facebook wamekuja na insta reels, kikubwa wanaiga kupambana na tiktok kitu ambacho hawawezi, shorts videos kaanzisha tiktok.

Hakuna maajabu ni vitu vya kawaida sana.
 
Sasa hao wayahudi wenye akili, matajiri sio ndio wapo kwa wingi huko Israel?, watumie utajiri, akili na uwezo wao kijeshi tuwaone duniani, kila kitu wamepitwa, kila kitu wamepigwa mbali sana.

Ipo hivi we jamaa, Google na facebook si kitu, ni trending za kibiashara, hata mimi natengeneza search engine, ipo hivi always haijalishi unafanya nini, lakini kuna wababe wapo wanakuangalia na wapo kimya...

TikTok hio hapo Chinese wametoa sasa hivi youtube hao google wamekuja na youtube shorts, instagram ambao ni hao facebook wamekuja na insta reels, kikubwa wanaiga kupambana na tiktok kitu ambacho hawawezi, shorts videos kaanzisha tiktok.

Hakuna maajabu ni vitu vya kawaida sana.
unachekesha sana unavosema google na facebook ni kitu cha kawaida, kaulize tawala za kiarabu zilivoangushwa kipindi cha arab spring kupitia vuguvugu ambazo social media zilichangia kwa kiasi kikubwa kusambaza taarifa na kuorganize maandamano, eti ata wewe unaweza kutengeneza search engine? duh kweli umeishiwa mawazo
 
alafu hapa unapewa facts mzee vitu vyote unapewa na data sio porojo kama zako
Huna fact yeyote, jews walishafanyiwa hadi tests na wakagundulika wana average IQ tena below kuliko nchi nyingi tu za Ulaya, wachambuzi na wasomi walichosema ni kwamba katika tamaduni zao inaanzia katika familia kuwajenga kupenda science. Na jews unaosema wapo kwenye inventions ni Ashkenazi ambao ni mchanganyiko wa Europeans na Jews, kuna Russian jews, kuna Italian, Germany n.k..

Jews hawana akili kama ulivyodanganywa kanisani kijana, kila kitu ni interests na kipaumbele hata hapa Tanzania tukitaka tuwe na kipaumbele katika masomo ya utengenezaji wa dawa na kilimo baada ya muda hakuna mtu anagusa, kuwa bora kwenye field flani sio wingi wa akili bali focus na kupenda unachofanya.

Wenye akili, majitu wapo ndio kama hao Japanese na Chinese, Germans n.k, hao ndio wanaogopwa uwezo wao kiakili ni mkubwa, na wapo kwenye field zote, Japanese unaona hizi toyota huku ni wao, hizi lexus ni wao, yani ni watu vitu vyao una shuhudia kwa macho, sasa hao jews wako wapi?

Kijana soma, acha kukaa vjiweni kudanganywa na wale wazee wanywa gahawa na kule kanisani, sometimes fikiri, sometimes tazama mazingira yanayokuzunguka na tumia akilizako, za kuambiwa changanya na zako....
 
Sasa hao wayahudi wenye akili, matajiri sio ndio wapo kwa wingi huko Israel?, watumie utajiri, akili na uwezo wao kijeshi tuwaone duniani, kila kitu wamepitwa, kila kitu wamepigwa mbali sana.

Ipo hivi we jamaa, Google na facebook si kitu, ni trending za kibiashara, hata mimi natengeneza search engine, ipo hivi always haijalishi unafanya nini, lakini kuna wababe wapo wanakuangalia na wapo kimya...

TikTok hio hapo Chinese wametoa sasa hivi youtube hao google wamekuja na youtube shorts, instagram ambao ni hao facebook wamekuja na insta reels, kikubwa wanaiga kupambana na tiktok kitu ambacho hawawezi, shorts videos kaanzisha tiktok.

Hakuna maajabu ni vitu vya kawaida sana.
ngoja nikuulize swali rahisi sana, unasema wayahudi watumie akili, utajiri wao na uwezo kijeshi tuwaone duniani, hivi unafikiri inch ya israel pale middle east inasurvive vipi kwenye ardhi ambayo imezungukwa na inchi maadui pande zote? we unafikiri ni neema za mungu au akili? mfano ingekua sisi tanzania ndo tumezungukwa na waarabu pande zote alaf waarabu ni maadui zetu hivi tungemaliza hata mwezi kweli? we si unaona waarabu walivo na roho ngumu??
 
Huna fact yeyote, jews walishafanyiwa hadi tests na wakagundulika wana average IQ tena below kuliko nchi nyingi tu za Ulaya, wachambuzi na wasomi walichosema ni kwamba katika tamaduni zao inaanzia katika familia kuwajenga kupenda science. Na jews unaosema wapo kwenye inventions ni Ashkenazi ambao ni mchanganyiko wa Europeans na Jews, kuna Russian jews, kuna Italian, Germany n.k..

Jews hawana akili kama ulivyodanganywa kanisani kijana, kila kitu ni interests na kipaumbele hata hapa Tanzania tukitaka tuwe na kipaumbele katika masomo ya utengenezaji wa dawa na kilimo baada ya muda hakuna mtu anagusa, kuwa bora kwenye field flani sio wingi wa akili bali focus na kupenda unachofanya.

Wenye akili, majitu wapo ndio kama hao Japanese na Chinese, Germans n.k, hao ndio wanaogopwa uwezo wao kiakili ni mkubwa, na wapo kwenye field zote, Japanese unaona hizi toyota huku ni wao, hizi lexus ni wao, yani ni watu vitu vyao una shuhudia kwa macho, sasa hao jews wako wapi?

Kijana soma, acha kukaa vjiweni kudanganywa na wale wazee wanywa gahawa na kule kanisani, sometimes fikiri, sometimes tazama mazingira yanayokuzunguka na tumia akilizako, za kuambiwa changanya na zako....
nimekupa facts mzee nimekuta hadi list zote za wanasayansi waliopata noble prize kwa kipindi cha zaidi ya miaka 100 na kati ya hao wayahudi ni wangapi, sasa wewe kuja kusema hizo nchi nyingine wana IQ kubwa bila kuleta list au ushahidi wa inventions walizofanya ni porojo, kwa hiyo wewe ndo uache porojo njoo na data mzeee
 
Huna fact yeyote, jews walishafanyiwa hadi tests na wakagundulika wana average IQ tena below kuliko nchi nyingi tu za Ulaya, wachambuzi na wasomi walichosema ni kwamba katika tamaduni zao inaanzia katika familia kuwajenga kupenda science. Na jews unaosema wapo kwenye inventions ni Ashkenazi ambao ni mchanganyiko wa Europeans na Jews, kuna Russian jews, kuna Italian, Germany n.k..

Jews hawana akili kama ulivyodanganywa kanisani kijana, kila kitu ni interests na kipaumbele hata hapa Tanzania tukitaka tuwe na kipaumbele katika masomo ya utengenezaji wa dawa na kilimo baada ya muda hakuna mtu anagusa, kuwa bora kwenye field flani sio wingi wa akili bali focus na kupenda unachofanya.

Wenye akili, majitu wapo ndio kama hao Japanese na Chinese, Germans n.k, hao ndio wanaogopwa uwezo wao kiakili ni mkubwa, na wapo kwenye field zote, Japanese unaona hizi toyota huku ni wao, hizi lexus ni wao, yani ni watu vitu vyao una shuhudia kwa macho, sasa hao jews wako wapi?

Kijana soma, acha kukaa vjiweni kudanganywa na wale wazee wanywa gahawa na kule kanisani, sometimes fikiri, sometimes tazama mazingira yanayokuzunguka na tumia akilizako, za kuambiwa changanya na zako..

Huna fact yeyote, jews walishafanyiwa hadi tests na wakagundulika wana average IQ tena below kuliko nchi nyingi tu za Ulaya, wachambuzi na wasomi walichosema ni kwamba katika tamaduni zao inaanzia katika familia kuwajenga kupenda science. Na jews unaosema wapo kwenye inventions ni Ashkenazi ambao ni mchanganyiko wa Europeans na Jews, kuna Russian jews, kuna Italian, Germany n.k..

Jews hawana akili kama ulivyodanganywa kanisani kijana, kila kitu ni interests na kipaumbele hata hapa Tanzania tukitaka tuwe na kipaumbele katika masomo ya utengenezaji wa dawa na kilimo baada ya muda hakuna mtu anagusa, kuwa bora kwenye field flani sio wingi wa akili bali focus na kupenda unachofanya.

Wenye akili, majitu wapo ndio kama hao Japanese na Chinese, Germans n.k, hao ndio wanaogopwa uwezo wao kiakili ni mkubwa, na wapo kwenye field zote, Japanese unaona hizi toyota huku ni wao, hizi lexus ni wao, yani ni watu vitu vyao una shuhudia kwa macho, sasa hao jews wako wapi?

Kijana soma, acha kukaa vjiweni kudanganywa na wale wazee wanywa gahawa na kule kanisani, sometimes fikiri, sometimes tazama mazingira yanayokuzunguka na tumia akilizako, za kuambiwa changanya na zako....
tanzania kuwasha umeme tu kunatushinda ije kua hayo madawa ebu acha ndoto za alinacha naona umeanza kuota asubuhi au hujalala usiku nini ndo unalala sa izi?

nguo tu zenyewe tunavaa mtumba hadi leo hayo madawa ndo utayawezea wapi mzee?
 
swali rahisi sana naomba unijibu, katika hizo nchi 7 unazosema zina IQ kubwa naomba unitajie vitu walivovumbua hapa duniani mfano belarus imevumbua nini? china ameshavumbua nini cha maana kwenye hii dunia zaidi ya kucopy na kuiba tech yote ya ulaya, ebu acha kuongea bangi bana just try to be serious, unaelewa mana ya IQ kweli au leo umepata bando ya bure, nikutajie techologia walizozigundua wayahudi? alafu na wewe nitajie technologia walizogundu hao wa belarus wako, eti singapore duh! south korea juzi tu hapa hadi miaka ya 70 walikua wanaishi nyumba za nyasi kama huku kwetu isingekua kubebwa na us south korea angekua na nini yule? mchina yenyewe adi mwaka 1945 anatawaliwa n japan anaenda kupigana na mjapan na mapanga wakati mwenzake ana bunduki je hizo IQ zao zilikua wapi?
Jamii za watu wenye high IQ ni kutoka Asia mashariki ambao ni hao wachina, wajapan, wakorea hii ni tafiti ya kimataifa yupo sahihi
 
ngoja nikuulize swali rahisi sana, unasema wayahudi watumie akili, utajiri wao na uwezo kijeshi tuwaone duniani, hivi unafikiri inch ya israel pale middle east inasurvive vipi kwenye ardhi ambayo imezungukwa na inchi maadui pande zote? we unafikiri ni neema za mungu au akili? mfano ingekua sisi tanzania ndo tumezungukwa na waarabu pande zote alaf waarabu ni maadui zetu hivi tungemaliza hata mwezi kweli? we si unaona waarabu walivo na roho ngumu??
Waonyeshe ubabe wao sasa, watu wenye akili nyingi duniani kote, matajiri na wenye ushawishi mkubwa sana katika serikali ya USA, wenye nguvu za kijeshi na hawawezi kupigwa na taifa lolote....🤣🤣🤣🤣

Sasa watumie uwezo wao kijeshi, watumie akili zao ku neutralize hao arabs wasiendelee kuwapiga sio lazima watumie nguvu, maana ya kuwa na akili nyingi ni unakuwa flexible unatumia akili ulizonazo kutatua chagamoto katika mazingira yanayo kuzunguka.

Israel hawana maajabu mzee.
Ngoja nikupe za chini kabisa ambazo niliingia mwenyewe kutafuta info. na huzipati kokote, nachokuambia ni email zilizovuja usiniulize nimetoa wapi..

Kuna kampuni ya Mexico ilikuwa inaitwa HYDRA, hawa jamaa walikuwa wanatengeneza drones, katika kipindi cha mapigano kati ya Georgia na Russia, Georgia walikuwa wananunua drones kutoka Israel.

Hio ni miaka ya 2006-2008 hapo.

Serikali ya Mexico waliweka pesa katika kampuni hio, Zile drones za Israel zilikuwa zinakuwa hacked na Russians na kutua juu ya ardhi, Russians walikuwa wanaingilia signal.

Baada ya Georgia kufanya majaribio katika drones za HYDRA waligundua kwamba zina uwezo mkubwa kiusalama na kiulinzi kuliko drones za Israel, ulipotaka kuzi hack zilikuwa zinarudi base zenyewe zinajiongoza, yaani zikihisi threat au kuwa hacked zinarudi zilipotoka hata kama signal zimekuwa jammed, can you imagine?

Georgia wakaomba wauziwe drones na Mexico, Mexico waka kataa kwa sababu wangeingia kwenye migogoro ya kisiasa na Israel. Kumbe Israel kuna wapiga deal baadhi waliuza codes za zile drones kwa Russians kwa makubaliono Russian atawapa codes za s300 zilizoko kule Syria, na ikawa hivyo, lakini zile drones za Hydra ni noma na nusu, hata kama angetokea mpiga deal ana codes, zilikuwa haziwezi kuwa hacked.

Hivyo Israel na Russia walikuwa wanapiga deal, Israel anamuuza Georgia na Russia anamuuza Syria, ndio lile shambulizi Israel walikwenda kupiga Syria wakasema wame jam s300 kumbe Russia kawapa codes, Iran ikatuma engineers kwenda kufanya maintenance baada ya hapo Israel hawakuweza ku hack.

Mexico ni top exporter wa high tech products katika nchi za Latin America, ndio maana kuna kipondi US walianza kufikiri kutoa viwanda China na kuviweka Mexico.

Nakuambia hivyo kwa sababu, kuna nchi zina tech za juu na wapo kimya, na wanafanya maajabu, yani kuna majitu yana akili duniani, mpaka uwe una chimba vitu, lakini wafuatiliaji wachache ndio wanajua hizi taarifa, wachache ambao ni werevu katika majority ndio wanajua ukweli. Ndio wana monitor hii dunia wakiwacheka wajinga wengi waliodanganywa na medias.

Mi nachimba vitu hadi kwenye vyanzo huvipati google.
 
Back
Top Bottom