Mtu...
Uzee mbona ninao siku nyingi tu.
Sasa nina miaka 68.
Jamani Subash nimekwenda kwake na kukutananae siku moja tu.
Siwezi kuwa na mengi.
Toshekeni na hayo ndugu zanguni.
Watoto wa uswahili wangesema una force undugu/urafiki.
Subash Patel nilimjua katika miaka ya mwishoni 1970 au mwanzoni 1980 kupitia rafiki yake Said Ibrahim ambaye mimi pia ni rafiki ndugu.
Said ndiye alinipeleka nyumbani kwake.
Miaka hiyo alikuwa anaishi nyuma ya Zanzibar Guest House Mtaa wa Zanaki na Libya Street sehemu za Kisutu. Siku hizo Subash hakuwa tajiri lakini mfanyabiashara kijana anaeinukia. Ninachokumbuka kila nilipokuwa nasoma jina la Subash katika magazeti au kumuona katika TV ni kuwa ilikuwa nyumbani kwake ndipo nilipoiona movie mashuhuri, "The Message," kwa mara ya kwanza.
Hii ilikuwa sinema maarufu sana kuhusu maisha ya Mtume Muhammad (SAW). Sinema hii tukiisoma sifa na "reviews," zake kwenye magazeti tu kwani enzi hizo Tanzania ilikuwa hoi na taaban kwa kila kitu.
Sinema za Holywood zilikuwa haziingii nchini. Waagizaji wa filamu Tanzania Film Company (TFC) kazi iliwashinda kabla hata hawajaianza. Kwangu Mimi kupata nafasi ya kuangalia sInema hii halikuwa jambo dogo.
Iko siku Subash alikuja ofisini kwetu alikuwa na miadi na Mkurugenzi wa Idara tukaonana na kusalimiana lakini hakunikumbuka. Ilikuwa miaka mingi imepita na ilikuwa tumeonana mara moja tu.
Wile,Watoto wa uswahili wangesema una force undugu/urafiki.
Umenikumbusha mbali sana Mzee Mwenzangu!"Word Perfect" na DOS Command
Al...Umenikumbusha mbali sana Mzee Mwenzangu!
Nshamalizana na mzee baba.Nasononeka sana nikiona kejeli na mzaha kwa mtu kmaa Mohamed Said.
Nimesoma kitabu chake cha Wakati na Maisha ya Abdulwahid Sykes na ni mtu anayejua anachokiandika.Kitabu kimeandikwa baada ya utafiti mkubwa (kupitia nyaraka katika maktaba za CCM/TANu,kuongea na watu mbalimbali )Si mwandishi wa hadithi.
Tafuta hicho kitabu kisome na utakuja kushangaa kuwa unafanya mzaha kwa mtu ambaye hata akiondoka ataacha kumbukumbu kubwa.
Mzee Mohamed amani iwe juu yako,Al...
Kijana kaniambia mimi smart phone nimeijua juzi tu hivyo inanipa shida.
Hahahaaaa mkuu....huijui JF challenging ni kubwa kuliko appreciations mimi mwenyewe namchallenging huyo mzee lakini hicho kitabu lazima ntakitafuta na nitakisoma tuuNasononeka sana nikiona kejeli na mzaha kwa mtu kmaa Mohamed Said.
Nimesoma kitabu chake cha Wakati na Maisha ya Abdulwahid Sykes na ni mtu anayejua anachokiandika.Kitabu kimeandikwa baada ya utafiti mkubwa (kupitia nyaraka katika maktaba za CCM/TANu,kuongea na watu mbalimbali )Si mwandishi wa hadithi.
Tafuta hicho kitabu kisome na utakuja kushangaa kuwa unafanya mzaha kwa mtu ambaye hata akiondoka ataacha kumbukumbu kubwa.
Mi naamini umekutana na watu wote mashuhuri wa dunia hiiMtu...
Uzee mbona ninao siku nyingi tu.
Sasa nina miaka 68.
Jamani Subash nimekwenda kwake na kukutananae siku moja tu.
Siwezi kuwa na mengi.
Toshekeni na hayo ndugu zanguni.
Sasa mbona umeishia njiani au umeenda chooni kwanza tukusubiri urudi.
Subash Patel nilimjua katika miaka ya mwishoni 1970 au mwanzoni 1980 kupitia rafiki yake Said Ibrahim ambaye mimi pia ni rafiki ndugu.
Said ndiye alinipeleka nyumbani kwake.
Miaka hiyo alikuwa anaishi nyuma ya Zanzibar Guest House Mtaa wa Zanaki na Libya Street sehemu za Kisutu. Siku hizo Subash hakuwa tajiri lakini mfanyabiashara kijana anaeinukia. Ninachokumbuka kila nilipokuwa nasoma jina la Subash katika magazeti au kumuona katika TV ni kuwa ilikuwa nyumbani kwake ndipo nilipoiona movie mashuhuri, "The Message," kwa mara ya kwanza.
Hii ilikuwa sinema maarufu sana kuhusu maisha ya Mtume Muhammad (SAW). Sinema hii tukiisoma sifa na "reviews," zake kwenye magazeti tu kwani enzi hizo Tanzania ilikuwa hoi na taaban kwa kila kitu.
Sinema za Holywood zilikuwa haziingii nchini. Waagizaji wa filamu Tanzania Film Company (TFC) kazi iliwashinda kabla hata hawajaianza. Kwangu Mimi kupata nafasi ya kuangalia sInema hii halikuwa jambo dogo.
Iko siku Subash alikuja ofisini kwetu alikuwa na miadi na Mkurugenzi wa Idara tukaonana na kusalimiana lakini hakunikumbuka. Ilikuwa miaka mingi imepita na ilikuwa tumeonana mara moja tu.
Billie,Sasa mbona umeishia njiani au umeenda chooni kwanza tukusubiri urudi.
Mzee said heshima yako, vipi unauonaje mwenendo wa taifa letu hasa kwa kipindi hiki ambacho ni 2020-2025 katika nyanja ya uchumi, kijamii na kisiasa!??Billie,
Hicho ndicho kiasi nilichomfahamu Subash Patel.
Sina mengi.
Sio kawaida yake inaelekea alikuwa a nakimbilia mazishi I!!Ndio umemaliza hivi au?
Sasa umeandikaje hivi Mzee mzima?
R.I.P. SUBASH PATEL.
Subash Patel nilimjua katika miaka ya mwishoni 1970 au mwanzoni 1980 kupitia rafiki yake Said Ibrahim ambaye mimi pia ni rafiki ndugu.
Said ndiye alinipeleka nyumbani kwake.
Miaka hiyo alikuwa anaishi nyuma ya Zanzibar Guest House Mtaa wa Zanaki na Libya Street sehemu za Kisutu. Siku hizo Subash hakuwa tajiri lakini mfanyabiashara kijana anaeinukia. Ninachokumbuka kila nilipokuwa nasoma jina la Subash katika magazeti au kumuona katika TV ni kuwa ilikuwa nyumbani kwake ndipo nilipoiona movie mashuhuri, "The Message," kwa mara ya kwanza.
Hii ilikuwa sinema maarufu sana kuhusu maisha ya Mtume Muhammad (SAW). Sinema hii tukiisoma sifa na "reviews," zake kwenye magazeti tu kwani enzi hizo Tanzania ilikuwa hoi na taaban kwa kila kitu.
Sinema za Holywood zilikuwa haziingii nchini. Waagizaji wa filamu Tanzania Film Company (TFC) kazi iliwashinda kabla hata hawajaianza. Kwangu Mimi kupata nafasi ya kuangalia sInema hii halikuwa jambo dogo.
Iko siku Subash alikuja ofisini kwetu alikuwa na miadi na Mkurugenzi wa Idara tukaonana na kusalimiana lakini hakunikumbuka. Ilikuwa miaka mingi imepita na ilikuwa tumeonana mara moja tu.
Mzee wangu natumaini u bukheri wa afya.Billie,
Hicho ndicho kiasi nilichomfahamu Subash Patel.
Sina