Jioni moja miaka mingi iliyopita na Subhash Patel

Jioni moja miaka mingi iliyopita na Subhash Patel

Watu wameshazoea uandishi wako uliotulia na unaoeleweka. Sasa hii ya leo si kawaida yako kwani umetuacha njia panda hatuelewi ulitaka kuandika hiyo sinema ya message uliyoiona au marehemu Subhash. Ongezea ongezea nyama japo kidogo Mkuu.
Mtu...
Uzee mbona ninao siku nyingi tu.
Sasa nina miaka 68.

Jamani Subash nimekwenda kwake na kukutananae siku moja tu.

Siwezi kuwa na mengi.
Toshekeni na hayo ndugu zanguni.
 

Subash Patel nilimjua katika miaka ya mwishoni 1970 au mwanzoni 1980 kupitia rafiki yake Said Ibrahim ambaye mimi pia ni rafiki ndugu.

Said ndiye alinipeleka nyumbani kwake.

Miaka hiyo alikuwa anaishi nyuma ya Zanzibar Guest House Mtaa wa Zanaki na Libya Street sehemu za Kisutu. Siku hizo Subash hakuwa tajiri lakini mfanyabiashara kijana anaeinukia. Ninachokumbuka kila nilipokuwa nasoma jina la Subash katika magazeti au kumuona katika TV ni kuwa ilikuwa nyumbani kwake ndipo nilipoiona movie mashuhuri, "The Message," kwa mara ya kwanza.

Hii ilikuwa sinema maarufu sana kuhusu maisha ya Mtume Muhammad (SAW). Sinema hii tukiisoma sifa na "reviews," zake kwenye magazeti tu kwani enzi hizo Tanzania ilikuwa hoi na taaban kwa kila kitu.

Sinema za Holywood zilikuwa haziingii nchini. Waagizaji wa filamu Tanzania Film Company (TFC) kazi iliwashinda kabla hata hawajaianza. Kwangu Mimi kupata nafasi ya kuangalia sInema hii halikuwa jambo dogo.

Iko siku Subash alikuja ofisini kwetu alikuwa na miadi na Mkurugenzi wa Idara tukaonana na kusalimiana lakini hakunikumbuka. Ilikuwa miaka mingi imepita na ilikuwa tumeonana mara moja tu.
Watoto wa uswahili wangesema una force undugu/urafiki.
 
Huyu conspiracist vipi amekuwaje tena jameen aturejee wengine twapenda maandiko yanayotusafirisha mbali twajiona kama nasi tulikuwepo pale Tabora wakt Shekhe Suleman Takadin ....
 
Watoto wa uswahili wangesema una force undugu/urafiki.
Wile,
Subash hajapata kuwa mtu tuliyesuhubiana.
Rudia kusoma hili liko wazi.

Nami si mchache wa jamaa na marafiki.
 
Huu uzi wamekuheshimu kwasababu ya Muda uliojiunga JF wame calculate wamepata jibu

umewazidi umri wengi sana ndio mana kidogo wanakushambulia kistarabu,ila nakuhakikishia

mkuu huu uzi ningeuanzisha mimi au member id joining year inasoma 2020 hamna neno tungeacha ambiwa.

sometimes ID kongwe zikianzisha nyuzi kuna ka respect afu nakapendaga hako ka heshima namimi basi tu sijui nifanyeje.
 
Nasononeka sana nikiona kejeli na mzaha kwa mtu kmaa Mohamed Said.
Nimesoma kitabu chake cha Wakati na Maisha ya Abdulwahid Sykes na ni mtu anayejua anachokiandika.Kitabu kimeandikwa baada ya utafiti mkubwa (kupitia nyaraka katika maktaba za CCM/TANu,kuongea na watu mbalimbali )Si mwandishi wa hadithi.
Tafuta hicho kitabu kisome na utakuja kushangaa kuwa unafanya mzaha kwa mtu ambaye hata akiondoka ataacha kumbukumbu kubwa.
Nshamalizana na mzee baba.
 
Nasononeka sana nikiona kejeli na mzaha kwa mtu kmaa Mohamed Said.
Nimesoma kitabu chake cha Wakati na Maisha ya Abdulwahid Sykes na ni mtu anayejua anachokiandika.Kitabu kimeandikwa baada ya utafiti mkubwa (kupitia nyaraka katika maktaba za CCM/TANu,kuongea na watu mbalimbali )Si mwandishi wa hadithi.
Tafuta hicho kitabu kisome na utakuja kushangaa kuwa unafanya mzaha kwa mtu ambaye hata akiondoka ataacha kumbukumbu kubwa.
Hahahaaaa mkuu....huijui JF challenging ni kubwa kuliko appreciations mimi mwenyewe namchallenging huyo mzee lakini hicho kitabu lazima ntakitafuta na nitakisoma tuu
 
Mtu...
Uzee mbona ninao siku nyingi tu.
Sasa nina miaka 68.

Jamani Subash nimekwenda kwake na kukutananae siku moja tu.

Siwezi kuwa na mengi.
Toshekeni na hayo ndugu zanguni.
Mi naamini umekutana na watu wote mashuhuri wa dunia hii

Au nakosea?
 

Subash Patel nilimjua katika miaka ya mwishoni 1970 au mwanzoni 1980 kupitia rafiki yake Said Ibrahim ambaye mimi pia ni rafiki ndugu.

Said ndiye alinipeleka nyumbani kwake.

Miaka hiyo alikuwa anaishi nyuma ya Zanzibar Guest House Mtaa wa Zanaki na Libya Street sehemu za Kisutu. Siku hizo Subash hakuwa tajiri lakini mfanyabiashara kijana anaeinukia. Ninachokumbuka kila nilipokuwa nasoma jina la Subash katika magazeti au kumuona katika TV ni kuwa ilikuwa nyumbani kwake ndipo nilipoiona movie mashuhuri, "The Message," kwa mara ya kwanza.

Hii ilikuwa sinema maarufu sana kuhusu maisha ya Mtume Muhammad (SAW). Sinema hii tukiisoma sifa na "reviews," zake kwenye magazeti tu kwani enzi hizo Tanzania ilikuwa hoi na taaban kwa kila kitu.

Sinema za Holywood zilikuwa haziingii nchini. Waagizaji wa filamu Tanzania Film Company (TFC) kazi iliwashinda kabla hata hawajaianza. Kwangu Mimi kupata nafasi ya kuangalia sInema hii halikuwa jambo dogo.

Iko siku Subash alikuja ofisini kwetu alikuwa na miadi na Mkurugenzi wa Idara tukaonana na kusalimiana lakini hakunikumbuka. Ilikuwa miaka mingi imepita na ilikuwa tumeonana mara moja tu.
Sasa mbona umeishia njiani au umeenda chooni kwanza tukusubiri urudi.
 
Hivi hii movie ya The Messenger si ndo hii ilitaka kuwaamsha waislam duniani kuandamana? Au nimemix
 
Billie,
Hicho ndicho kiasi nilichomfahamu Subash Patel.

Sina mengi.
Mzee said heshima yako, vipi unauonaje mwenendo wa taifa letu hasa kwa kipindi hiki ambacho ni 2020-2025 katika nyanja ya uchumi, kijamii na kisiasa!??
 
R

Subash Patel nilimjua katika miaka ya mwishoni 1970 au mwanzoni 1980 kupitia rafiki yake Said Ibrahim ambaye mimi pia ni rafiki ndugu.

Said ndiye alinipeleka nyumbani kwake.

Miaka hiyo alikuwa anaishi nyuma ya Zanzibar Guest House Mtaa wa Zanaki na Libya Street sehemu za Kisutu. Siku hizo Subash hakuwa tajiri lakini mfanyabiashara kijana anaeinukia. Ninachokumbuka kila nilipokuwa nasoma jina la Subash katika magazeti au kumuona katika TV ni kuwa ilikuwa nyumbani kwake ndipo nilipoiona movie mashuhuri, "The Message," kwa mara ya kwanza.

Hii ilikuwa sinema maarufu sana kuhusu maisha ya Mtume Muhammad (SAW). Sinema hii tukiisoma sifa na "reviews," zake kwenye magazeti tu kwani enzi hizo Tanzania ilikuwa hoi na taaban kwa kila kitu.

Sinema za Holywood zilikuwa haziingii nchini. Waagizaji wa filamu Tanzania Film Company (TFC) kazi iliwashinda kabla hata hawajaianza. Kwangu Mimi kupata nafasi ya kuangalia sInema hii halikuwa jambo dogo.

Iko siku Subash alikuja ofisini kwetu alikuwa na miadi na Mkurugenzi wa Idara tukaonana na kusalimiana lakini hakunikumbuka. Ilikuwa miaka mingi imepita na ilikuwa tumeonana mara moja tu.
R.I.P. SUBASH PATEL.
 
Billie,
Hicho ndicho kiasi nilichomfahamu Subash Patel.

Sina
Mzee wangu natumaini u bukheri wa afya.

Katika historia yako uliwahi kufanya katika Bandari ya Dar es Salaam na kwenda Misri ambazo zilikuwa ni nafasi zinatolewa Kwa watanzania kujiendeleza katika sekta ya Bandari na masuala ya meli.

Kulikuwa na maneno kuwa nafasi hizo zilikuwa zikilenga watu wa dini moja,undugu,kupeana na watu wasio na vigezo kisha wakifika kule masomo yanawakimbiza na kurejea na mabegi nchini.

Pia utupe story ya kifo cha NASACO,TACOSHIL.

Pole Kwa msiba wa Patel.
 
Back
Top Bottom