Jioni ya leo tunakwenda kushuhudia yanga akicheza na tawi lake tusubirie mchezo mbovu na upangaji mbaya wa kikosi mechi isiyo na upinzani!

Jioni ya leo tunakwenda kushuhudia yanga akicheza na tawi lake tusubirie mchezo mbovu na upangaji mbaya wa kikosi mechi isiyo na upinzani!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Fouintain gate ni singida big stars ya mwigulu nchemba doto ya singida black stars hili nalo ni tawi jingine la yanga wala hawezi pata upinzani ni maelekezo na simu moja kutoka kwa mwenye timu hivyo ni yanga kijizolea point na kocha kupanga kikosi cha wachezaji wa akiba tutegemee magoli ya mchongo na mbeleko hivi kwanini VAR haifungwi tukashuhudia ule uhuni wa magoli ya mkono na penati za bila kuguswa.....
Hii mechi hatuwezi pata burudani kama mechi zenye ukweli pasi na chembe ya upangaji matokeo TFF tunaomba mseme na marefa kitendo cha bacca kufunga magoli ya mkono na penati ya utata ya dube ambayo hakuguswa sio nzuri kwa afya ya soka la bongo inarudisha nyuma simba,azam na tabora wanatumia gharama kufanya usajili wa gharama lakini leo hii watu wanafunga kwa mikono sasa hapo kuna ushindani au kubebana..........
Kama leo hakuna burudani ila kuna upuuzi tu!
 
Fouintain gate ni singida big stars ya mwigulu nchemba doto ya singida black stars hili nalo ni tawi jingine la yanga wala hawezi pata upinzani ni maelekezo na simu moja kutoka kwa mwenye timu hivyo ni yanga kijizolea point na kocha kupanga kikosi cha wachezaji wa akiba tutegemee magoli ya mchongo na mbeleko hivi kwanini VAR haifungwi tukashuhudia ule uhuni wa magoli ya mkono na penati za bila kuguswa.....
Hii mechi hatuwezi pata burudani kama mechi zenye ukweli pasi na chembe ya upangaji matokeo TFF tunaomba mseme na marefa kitendo cha bacca kufunga magoli ya mkono na penati ya utata ya dube ambayo hakuguswa sio nzuri kwa afya ya soka la bongo inarudisha nyuma simba,azam na tabora wanatumia gharama kufanya usajili wa gharama lakini leo hii watu wanafunga kwa mikono sasa hapo kuna ushindani au kubebana..........
Kama leo hakuna burudani ila kuna upuuzi tu!
Wewe Kila timu inayocheza na yanga ni tawi,,unatafuta kichaka cha kujifichia kwakuwa unajua kwa 100% kwamba yanga imerudi na vipigo vitaendelea kwa timu zote ikiwemo ya kwako,,najua unajua sio fountain gate Wala timu yeyote kwa sasa inayoweza kupata matokeo kwa yanga ivyo unajizima data tu,,na matawi yatakuwa mengi safari hii kichapo Kiko pale pale!
 
Wewe Kila timu inayocheza na yanga ni tawi,,unatafuta kichaka cha kujifichia kwakuwa unajua kwa 100% kwamba yanga imerudi na vipigo vitaendelea kwa timu zote ikiwemo ya kwako,,najua unajua sio fountain gate Wala timu yeyote kwa sasa inayoweza kupata matokeo kwa yanga ivyo unajizima data tu,,na matawi yatakuwa mengi safari hii kichapo Kiko pale pale!
Ukitaka kujua wewe uliza usione aibu sasa ukijifanya mjuaji hutojua!
 
Timu zote 16 za ligi kuu ni matawi ya yanga kama ni ivyo maana zote uwa zinapokea vichapo mpaka nyingine wazee wanaitisha press!
Azam,Tabora,Simba utakuwa muongo na unadanganya!
 
Fouintain gate ni singida big stars ya mwigulu nchemba doto ya singida black stars hili nalo ni tawi jingine la yanga wala hawezi pata upinzani ni maelekezo na simu moja kutoka kwa mwenye timu hivyo ni yanga kijizolea point na kocha kupanga kikosi cha wachezaji wa akiba tutegemee magoli ya mchongo na mbeleko hivi kwanini VAR haifungwi tukashuhudia ule uhuni wa magoli ya mkono na penati za bila kuguswa.....
Hii mechi hatuwezi pata burudani kama mechi zenye ukweli pasi na chembe ya upangaji matokeo TFF tunaomba mseme na marefa kitendo cha bacca kufunga magoli ya mkono na penati ya utata ya dube ambayo hakuguswa sio nzuri kwa afya ya soka la bongo inarudisha nyuma simba,azam na tabora wanatumia gharama kufanya usajili wa gharama lakini leo hii watu wanafunga kwa mikono sasa hapo kuna ushindani au kubebana..........
Kama leo hakuna burudani ila kuna upuuzi tu!
Unateseka sana dada angu
Fouintain gate ni singida big stars ya mwigulu nchemba doto ya singida black stars hili nalo ni tawi jingine la yanga wala hawezi pata upinzani ni maelekezo na simu moja kutoka kwa mwenye timu hivyo ni yanga kijizolea point na kocha kupanga kikosi cha wachezaji wa akiba tutegemee magoli ya mchongo na mbeleko hivi kwanini VAR haifungwi tukashuhudia ule uhuni wa magoli ya mkono na penati za bila kuguswa.....
Hii mechi hatuwezi pata burudani kama mechi zenye ukweli pasi na chembe ya upangaji matokeo TFF tunaomba mseme na marefa kitendo cha bacca kufunga magoli ya mkono na penati ya utata ya dube ambayo hakuguswa sio nzuri kwa afya ya soka la bongo inarudisha nyuma simba,azam na tabora wanatumia gharama kufanya usajili wa gharama lakini leo hii watu wanafunga kwa mikono sasa hapo kuna ushindani au kubebana..........
Kama leo hakuna burudani ila kuna upuuzi tu!
Unateseka sana dada angu
 
We kolo hebu tulia
Ww si unaongoza, woga wote wa nini
Kula upepo kileleni
 
Fouintain gate ni singida big stars ya mwigulu nchemba doto ya singida black stars hili nalo ni tawi jingine la yanga wala hawezi pata upinzani ni maelekezo na simu moja kutoka kwa mwenye timu hivyo ni yanga kijizolea point na kocha kupanga kikosi cha wachezaji wa akiba tutegemee magoli ya mchongo na mbeleko hivi kwanini VAR haifungwi tukashuhudia ule uhuni wa magoli ya mkono na penati za bila kuguswa.....
Hii mechi hatuwezi pata burudani kama mechi zenye ukweli pasi na chembe ya upangaji matokeo TFF tunaomba mseme na marefa kitendo cha bacca kufunga magoli ya mkono na penati ya utata ya dube ambayo hakuguswa sio nzuri kwa afya ya soka la bongo inarudisha nyuma simba,azam na tabora wanatumia gharama kufanya usajili wa gharama lakini leo hii watu wanafunga kwa mikono sasa hapo kuna ushindani au kubebana..........
Kama leo hakuna burudani ila kuna upuuzi tu!
Mwezi mchanga.
 
Kama VAR ingetumika kwa Sasa Simba ingekua nafasi ya 4.

Nawashauri Bodi ya Ligi wale marefa na ma line wao wanapo chezesha mechi za Simba wawe Wana vaa kabisa jezi za Simba.
Marefa wamekua waki ipambania timu kuliko wachezaji ambao ni waajiriwa.
 
Back
Top Bottom