Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

Hapa Bidhaa ziko wap!?
Screenshot_20210531-041947_Chrome.jpg
 
View attachment 1284881
Tuwekeze kwenye Uvuvi hii ni boat ya uvuvi ya kisasa ndani mzuri sana kuna vifa vya kisasa vya uvuvi ndani iko bomba ya kijanja sana kuwa wakwanza kuimiliki
1.Ina vifaa vyakuta samaki na ktambua walipojificha
2.Kutambua aina ya Samaki
3.Wingi wa samaki
4.Nyavu a kisasa za kunasa Samaki
5.Speed
6.Fulu kiyoyozi
Bei yake M 10
Pamoja na ushuru?
 
Habari boss
Nashida na hii camera pale kwenye mnada haina lens nilimtumia msg seller nakumwambia anitafutie Lens zake kisha anitumie bei kimya

Sijaelewa inakuwaje naomba kupitia page hii nijibu tayari nina balance kwenye wallet yangu nangoje Lens

0B110973-5A8A-49E2-8400-C386917E66A0.jpeg
 
Habari boss
Nashida na hii camera pale kwenye mnada haina lens nilimtumia msg seller nakumwambia anitafutie Lens zake kisha anitumie bei kimya

Sijaelewa inakuwaje naomba kupitia page hii nijibu tayari nina balance kwenye wallet yangu nangoje Lens

View attachment 1868585
Naona wamekuja kivingine nimefurahi sana nimeisha nunua bidhaa nyingi kupitia kwenye mnada wao, kwasasa nashida na Engine ya fuso
 
Habari boss
Nashida na hii camera pale kwenye mnada haina lens nilimtumia msg seller nakumwambia anitafutie Lens zake kisha anitumie bei kimya

Sijaelewa inakuwaje naomba kupitia page hii nijibu tayari nina balance kwenye wallet yangu nangoje Lens

View attachment 1868585
Pole sana boss wangu kwakuchelewa kujibu,swala lako nalifanyia kazi.
 
Brother ni wewe ulikuaga pale Mwalimu House ilala?
 
Habari bro Vipi kuhusu Lens bado sijajibibwa naomba unisaidie ndugu yako mimi ni mteja wenu tangu 2018 nimeisha agiza bidhaa nyingi kupitia kwenye website yenu nimeisha chukulia mzigo wangu kwenye yard ya Serekali Temeke naomba unisaidie
Habari bro Vipi kuhusu Lens bado sijajibibwa naomba unisaidie ndugu yako mimi ni mteja wenu tangu 2018 nimeisha agiza bidhaa nyingi kupitia kwenye website yenu nimeisha chukulia mzigo wangu kwenye yard ya Serekali Temeke naomba unisaidie
Habari bro Vipi kuhusu Lens bado sijajibibwa naomba unisaidie ndugu yako mimi ni mteja wenu tangu 2018 nimeisha agiza bidhaa nyingi kupitia kwenye website yenu nimeisha chukulia mzigo wangu kwenye yard ya Serekali Temeke naomba unisaidie
Habari bro Vipi kuhusu Lens bado sijajibibwa naomba unisaidie ndugu yako mimi ni mteja wenu tangu 2018 nimeisha agiza bidhaa nyingi kupitia kwenye website yenu nimeisha chukulia mzigo wangu kwenye yard ya Serekali Temeke naomba unisaidie
Habari za asubuhi!

1.Ulisema unata lens ya size gani na campuny gani.
2. Bajet yako ni bei gani ?
3.Ungependa tuisafirishe kwanjia gani kati ya container mzigo unachukua mwezi moja kufikia dar.
4. Ems mzigo unachukua siku tano hadi sita lakini ghalama ya usafiri iko juu kidogo.
 
Habari za asubuhi!

1.Ulisema unata lens ya size gani na campuny gani.
2. Bajet yako ni bei gani ?
3.Ungependa tuisafirishe kwanjia gani kati ya container mzigo unachukua mwezi moja kufikia dar.
4. Ems mzigo unachukua siku tano hadi sita lakini ghalama ya usafiri iko juu kidogo.
Canon 5D Mark IV

Lens 24 - 105

Nitumie bei
 
Habari bro Vipi kuhusu Lens bado sijajibibwa naomba unisaidie ndugu yako mimi ni mteja wenu tangu 2018 nimeisha agiza bidhaa nyingi kupitia kwenye website yenu nimeisha chukulia mzigo wangu kwenye yard ya Serekali Temeke naomba unisaidie
Ngoja kidogo nakupa bei mkuu
 
tovuti yenyewe hata aieleweki wala nini
Pole sana unaweza kutuambia umekwama wapi ili tuboreshe tovute,pia unawa kutoa oder yako kupita page hii bila kuingia kwenye tovutu
 
Back
Top Bottom