Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
hahaha aaahwapi sema na wewe umeweka chakwako hapo.................Nyie maboss ndo tatizo unaniletea gari nikutafutie Mteja bei kama ya showroom
Milango mitatu mil 6 hadi 8 inategemea na ubora wa Gari na hali ya muuzajiRav4 old model fupi nitapata kwa bei gani mkuu?
Milango mitatu mil 6 hadi 8 inategemea na ubora wa Gari na hali ya muuzaji
LANDCRUISER 4 SALE DARESSALAAM TANZANIA
2001 Land Cruiser LX, Coil Spring Mbele, 1HZ engine,
PRICE MILION 36 TZS
CALL
0718295182
0753254562
__
Sawa mzeeMkuu niangalizie gx 115 namba kuanzia c bajeti yangu 6m
Sawa mzee