BWANA WANGU
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 337
- 797
Asante anfield si unatuma 😁 , natania.Knowledge 45k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante anfield si unatuma 😁 , natania.Knowledge 45k
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante anfield si unatuma [emoji16] , natania.
Hii hapaNashindwa kutambua ni ipi maana hizi bottles huwa zinafanana mara nyingine.
Ipige picha kwa kuisimamisha labda naweza gundua kitu.
Nimeshindwa kuitambua
Huko kwenu pia natuma[emoji3059]Nkamu nami naomba pafyum tafadhali
Fanya namna mdogo wangu ninukie vizuriHuko kwenu pia natuma[emoji3059]
😊Fanya namna mdogo wangu ninukie vizuri
Tafuta perfume ya kiume unayoipendaNataka kunukia vzur wadada wageuke ,x22 , nipe maujanja
Nichagulie uniwekee na bajeti alaf nikwambie uniletee lini , ulete mwenyewe sio bodaTafuta perfume ya kiume unayoipenda
Ziko nyingi,inategemea unataka ipi.
Tumia Deodorant kuweka kwapa lako safi.
Unaweza kuwa na perfume lakini kwapani kukawa hovyo.
Ili uwe smart tumia vyote perfume na Deodorant.
Pia waweza kuchanganya perfumes mbili .
Perfumes nyingi ni common kwa watu, ili kuweka utofauti waweza combine perfumes mbili na ukatoa combo ambayo ni ya pekeyako,nzuri mno.
Nichagulie uniwekee na bajeti alaf nikwambie uniletee lini , ulete mwenyewe sio boda
Koh.. koh.... koh....😊
Ukikohoa tu mimi huyooo Marangu Coach 😂
Delivery nafanya mwenyewe.Nichagulie uniwekee na bajeti alaf nikwambie uniletee lini , ulete mwenyewe sio boda
Jumamos jioni baada ya ibada ya sabato uniletee Kibamba delinDelivery nafanya mwenyewe.
Perfume chukua aventos 25,000
Nyingine nzuri ni Mousuf 25,000
Deodorant za old spice 15,000(Unaweza chukua za Nivea za 5000 ila hizi zinakomaza kwapa na zinakomaza nguo)
[emoji23]Koh.. koh.... koh....
Sawa Mkuu.Jumamos jioni baada ya ibada ya sabato uniletee Kibamba delin