EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Approximation hadi kupaua achana na finishingHii ina vyumba vinne,viwili ni (master&self)View attachment 2306635
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Approximation hadi kupaua achana na finishingHii ina vyumba vinne,viwili ni (master&self)View attachment 2306635
Okay nimekupata mkuu80M sio ndogo boss wng,japo hayo ni makadirio tu inaweza kuzidi kidogo kutegemea na nature ya site
Katamu haka...ilannyie kwa nini wataalma hamtaki kuweka estimated costs za mjengo?
una full ramani yenye vipimo na je we ni mjenzi?Milion 38
Una wajenzi wako au we unasimamia yeyote maana hawa wakuokota wasije wakaharibu? upo mkoa ganiYes raman ninazoweka zina full vipimo...mm ni mchoraji lkn nafanya kazi pamoja na wajenzi.
Ntakutafuta tuyajenge soo saivi nipo mkoani, namba yako nshachukua ila naomba kufahamishwa ramani yenye mihuri na isiyo na mihuri tofauti yake nini?Nina wajenzi wang boss
Good na mimi sipo mbali sana along Morogoro RoadNi Dar es Salaam ofisi Mbezi njia ya Goba...
Yenye muhuri maana yake ni kuonesha kwamba raman imetoka ktk ofisi inayohusika na kutambulika kwa kazi za uchoraji raman za majengo na pia kunakuwa na sign(sahihi) ya architect..hii ni kwa ajili ya kwenda kuombea kibali cha ujenzi...inategemea unajenga mahala gan,lkn sio kwmba ikiwa na muhuri hutakiwi kuomba kibali,bali ikiwa na muhuri ndio njia moja wapo ya kukubaliwa kupewa kibali cha ujenzi na manispaa husikaNtakutafuta tuyajenge soo saivi nipo mkoani, namba yako nshachukua ila naomba kufahamishwa ramani yenye mihuri na isiyo na mihuri tofauti yake nini?
Je, kama ina mihuri silazimiki kuomba kibali cha ujenzi ama?