INAUZWA Jipatie ramani kali ya nyumba ya ghorofa moja

INAUZWA Jipatie ramani kali ya nyumba ya ghorofa moja

Yenye muhuri maana yake ni kuonesha kwamba raman imetoka ktk ofisi inayohusika na kutambulika kwa kazi za uchoraji raman za majengo na pia kunakuwa na sign(sahihi) ya architect..hii ni kwa ajili ya kwenda kuombea kibali cha ujenzi...inategemea unajenga mahala gan,lkn sio kwmba ikiwa na muhuri hutakiwi kuomba kibali,bali ikiwa na muhuri ndio njia moja wapo ya kukubaliwa kupewa kibali cha ujenzi na manispaa husika
Kibali kwa nyumba kama hiyo kinagharimu shilingi ngapi?
 
Good na mimi sipo mbali sana along Morogoro Road
unaweza kunitumia PM baadhi ya kazi zako ulizosimamia ujenzi kama mbili tatu sio mbaya au hata ukiweka hapa kwa faida ya wengine pia
FB_IMG_1656268860566.jpg
FB_IMG_1656268849813.jpg
FB_IMG_1656262379933.jpg
FB_IMG_1656260259155.jpg
 
Ina vyumba vi3 vya kulala, kimoja master
-Sebule
-Dining
-Jiko + store
-Choo
-Veranda mbele + nyuma

Kiwanja kuanzia mita 18 kwa 15

HESABU ZA MSINGI:
Totali - 1200
Cement - 40
Kokoto - 400,000/-
Nondo - 30
Mchanga - 240,000/-
Binding Wire - 5Kg
Misumari Nchi 3 kilo 10
Misumari nchi 4 kilo 5
Misumari nchi 2 kilo 2
Mbao 1 by 8 ni 10
Mbao 2 by 2 ni 8
Kamba za manila - 6
Rings pembe 3 ni 120
Rings pembe 4 ni 40
Ndoo - 8
Gypsum powdee - 5kg
Nylon sheet - 25m
Mbao za kukodi - 40

HESABU ZA KUTA:
Tofali - 2,200
Cement - 50
Nondo - 40
Misumari nchi 3 kilo 5
Misumari nchi 4 kilo 5
Misumari nchi 2 kilo 2
Rings zote - 200
Mbao 1 by 8 ni 10
Mbao 2 by 2 ni 10
Mirunda - 30

Mbao za sahani - 16
B/wire - 4Kg
Mbao za kukodi - 40

HESABU ZA PAA:
Bati - 120
Mbao 4 by 2 ndefu - 100
Mbao 2 by 2 ndefu - 80
Misumari pakti - 10
Kofia - 20
Valley - 9
Fascia board - 12
Kench wire - 5
Misumari nchi 4 kilo 10

0678418272
Whatsapp
FB_IMG_1659011590660.jpg
FB_IMG_1659011594500.jpg
FB_IMG_1659011597187.jpg
FB_IMG_1659011587426.jpg
 
Ina vyumba vi3 vya kulala, kimoja master
-Sebule
-Dining
-Jiko + store
-Choo
-Veranda mbele + nyuma

Kiwanja kuanzia mita 18 kwa 15

HESABU ZA MSINGI:
Totali - 1200
Cement - 40
Kokoto - 400,000/-
Nondo - 30
Mchanga - 240,000/-
Binding Wire - 5Kg
Misumari Nchi 3 kilo 10
Misumari nchi 4 kilo 5
Misumari nchi 2 kilo 2
Mbao 1 by 8 ni 10
Mbao 2 by 2 ni 8
Kamba za manila - 6
Rings pembe 3 ni 120
Rings pembe 4 ni 40
Ndoo - 8
Gypsum powdee - 5kg
Nylon sheet - 25m
Mbao za kukodi - 40

HESABU ZA KUTA:
Tofali - 2,200
Cement - 50
Nondo - 40
Misumari nchi 3 kilo 5
Misumari nchi 4 kilo 5
Misumari nchi 2 kilo 2
Rings zote - 200
Mbao 1 by 8 ni 10
Mbao 2 by 2 ni 10
Mirunda - 30

Mbao za sahani - 16
B/wire - 4Kg
Mbao za kukodi - 40

HESABU ZA PAA:
Bati - 120
Mbao 4 by 2 ndefu - 100
Mbao 2 by 2 ndefu - 80
Misumari pakti - 10
Kofia - 20
Valley - 9
Fascia board - 12
Kench wire - 5
Misumari nchi 4 kilo 10

0678418272
Whatsapp
FB_IMG_1659011587426.jpg
FB_IMG_1659011597187.jpg
FB_IMG_1659011590660.jpg
FB_IMG_1659011594500.jpg
 
RAMANI;
Ina vyumba vi3 vya kulala, kimoja master
-Sebule
-Dining
-Jiko + store
-Choo
-Veranda mbele + nyuma

HESABU ZA MSINGI:
Totali - 1150
Cement - 40
Nondo - 30

HESABU ZA KUTA:
Tofali - 2,200
Cement - 50

HESABU ZA PAA:
Bati - 100
Mbao 4 by 2 ndefu - 100
Mbao 2 by 2 ndefu - 80

Nione WhatsApp

0678418272


FB_IMG_1660037001166.jpg
FB_IMG_1660036997833.jpg
FB_IMG_1660037019276.jpg
 
RAMANI;
Ina vyumba vi3 vya kulala, kimoja master
-Sebule
-Dining
-Jiko + store
-Choo
-Veranda mbele + nyuma

HESABU ZA MSINGI:
Totali - 1000
Cement - 40
Nondo - 30

HESABU ZA KUTA:
Tofali - 2,200
Cement - 50

HESABU ZA PAA:
Bati - 100
Mbao 4 by 2 ndefu - 100
Mbao 2 by 2 ndefu - 80

Nione WhatsApp

0678418272
FB_IMG_1660037001166.jpg
FB_IMG_1660036997833.jpg
FB_IMG_1660037019276.jpg
 
Makadirio ya gharama kuu ni kiasi gani bro? Msisitizo kwenye neno makadirio.
 
Ungeweka na muonekano wa ndani pasipo hata vipimo, ingependeza sana.
 
Yenye muhuri maana yake ni kuonesha kwamba raman imetoka ktk ofisi inayohusika na kutambulika kwa kazi za uchoraji raman za majengo na pia kunakuwa na sign(sahihi) ya architect..hii ni kwa ajili ya kwenda kuombea kibali cha ujenzi...inategemea unajenga mahala gan,lkn sio kwmba ikiwa na muhuri hutakiwi kuomba kibali,bali ikiwa na muhuri ndio njia moja wapo ya kukubaliwa kupewa kibali cha ujenzi na manispaa husika
Je mtu anaweza kuombea kibali ramani X akajenga ramani Y? au niulize hivi:
Je, kubadili ramani baada ya kibali cha ujenzi kutoka, ni kosa?
 
Back
Top Bottom