Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mara Leo ana piss za kishua, kesho jirani ana sumbuaππ. I mean no malice to nobody Bantu LadyHapo sina mdogo, ana mambo makubwa dada yake nikasome. Ana mambo kumzidi umri wake πππππ
Bwana mdogo anambwembwe sana. Harakati zake ni nyingi sana, ananikumbusha Dokta Pimbi wa kwenye jarida la Sani π π πKijana mdogo ila mambo kibaooo utasema unga wa nganoπππ.. Mara maandazi, mara chapati, mara keki, mara sambusa, mkate haahahhhah
Ndo shda ya kujiandikia msg na halotel then unareply mwenywe na tgoMwanaume umekaa zako eti unamwandikia mwanamke kakupendea nini nikisema pipa na mfuniko zimekiutana ntakua nmekosea.
πππ Johnnie WalkerBwana mdogo anambwembwe sana. Harakati zake ni nyingi sana, ananikumbusha Dokta Pimbi wa kwenye jarida la Sani π π π
πππ nam nimeitikia witπππ Johnnie Walker
Mwanaume umekaa zako eti unamwandikia mwanamke kakupendea nini nikisema pipa na mfuniko zimekiutana ntakua nmekosea.
we jamaa umezinguaHellow african,
Leo morng nilijihimia sokoni kuna wageni wanakuja nyumbani na nipo alone kwahiyo nikadamka sokon wakati naenda njiani nikakutana na jirani yangu tukasalimia vizuri tu akauuliza unaenda wapi nikamwambia basi akasema anaomba ni mbebee nyanya za 500 na vitunguu vya jero pamoja na vocha akatoa pesa yake nikampa change yake.
Niliporudi nikapiga on akaja nikamwambia fungua huko nyuma chukua mfuko mweupe akafurahi tukaagana nikasepa zangu wakati narudi tena sokoni nilisahau vitu muhimu kwahiyi sikuchukua muda nikarudi wakati narudi sasa akanisimamisha tena.
Unaenda wapi nikamjibu akaanza nimeona karoti na hoho nying si ungenichotea mimi nikajua utani nikamwambia ungesema nishashusha mzigo basi naomba uninunulie dagaa wa kukaanga nikamwambia poa.
Nilikuwa naongea na simu nyingine akanipa cm kuwa niandike namba nikamwandia nikasepa nikiwa sehemu nimetulia sasa napata supu nashangaa simu inaita namba ngeni nikamuuliza nani akasema oh basi nimeghairi nibebe nyama nusu nikamwambia bajet yangu imebana basi utumbo nikamjibu poa.
Nikawa nimembebea naporudi nikapiga on kaja kufwata sasa nimefika home napumzika kidogo uku nashushia peps simu zimeezwa kupiga anachoongea cha maana sikioni.
Uthibitosho text izo bado anafosi niende jioni mimi msimamo nilio jiwekea siwezi tembea na watu wa mtaani upumbavu wangu nafanyia uko mbali kabisa.
Et unamjua pimbi wa gazet la sani? Au ulikua bado huja zaliwaππππππ nam nimeitikia wit
Labda atuonyeshe na chats za nyuma na jiran yake, kabla ya leoπππMtoa mada haamini comments anazoziona[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanampa spana za maana
Pole sana
Uyo jamaa itakuwa nilikuwa nasubiriwa dunianiEt unamjua pimbi wa gazet la sani? Au ulikua bado huja zaliwaπππ
Labda atuonyeshe na chats za nyuma na jiran yake, kabla ya leo[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kahisia kananiambia, jamaa alikuwa anatuma msg na simu ndogo, kisha ana jijibu na simu kubwa...Mtoa mada haamini comments anazoziona[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanampa spana za maana
Pole sana
MkuuHellow african,
Leo morng nilijihimia sokoni kuna wageni wanakuja nyumbani na nipo alone kwahiyo nikadamka sokon wakati naenda njiani nikakutana na jirani yangu tukasalimia vizuri tu akauuliza unaenda wapi nikamwambia basi akasema anaomba ni mbebee nyanya za 500 na vitunguu vya jero pamoja na vocha akatoa pesa yake nikampa change yake.
Niliporudi nikapiga on akaja nikamwambia fungua huko nyuma chukua mfuko mweupe akafurahi tukaagana nikasepa zangu wakati narudi tena sokoni nilisahau vitu muhimu kwahiyi sikuchukua muda nikarudi wakati narudi sasa akanisimamisha tena.
Unaenda wapi nikamjibu akaanza nimeona karoti na hoho nying si ungenichotea mimi nikajua utani nikamwambia ungesema nishashusha mzigo basi naomba uninunulie dagaa wa kukaanga nikamwambia poa.
Nilikuwa naongea na simu nyingine akanipa cm kuwa niandike namba nikamwandia nikasepa nikiwa sehemu nimetulia sasa napata supu nashangaa simu inaita namba ngeni nikamuuliza nani akasema oh basi nimeghairi nibebe nyama nusu nikamwambia bajet yangu imebana basi utumbo nikamjibu poa.
Nikawa nimembebea naporudi nikapiga on kaja kufwata sasa nimefika home napumzika kidogo uku nashushia peps simu zimeezwa kupiga anachoongea cha maana sikioni.
Uthibitosho text izo bado anafosi niende jioni mimi msimamo nilio jiwekea siwezi tembea na watu wa mtaani upumbavu wangu nafanyia uko mbali kabisa.
ya utosi?Kuna kahisia kananiambia, jamaa alikuwa anatuma msg na simu ndogo, kisha ana jijibu na simu kubwa...
Anyway, I hope sio kweli π π