Jirani anafosi nimle, mimi naona so

Au sio
 
WTF? wakati mwingine wanawake hawana makosa bali ni vijana wa kiume ndio wenye tatizo, kinachokuzuia kugonga na kuendelea na mambo yako au kupotezea ni kipi?? Hadi ulete hapa JF. Be a grown man. Stupid
[emoji1787][emoji1787] damn!.
 
Huyo jirani ni kiburudisho cha mtaa usile kavu.
 
*****! Mnapata wapi majirani wa hivi??

Mwezi ujao jiandae kulipa kodi mara mbili na kuwa unanunua kila kitu mara mbili mbili

NOTE: tafuta pesa kijana uache kuanika matatizo yako hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…