Z zwangandaba JF-Expert Member Joined Jan 31, 2023 Posts 747 Reaction score 1,404 Jan 14, 2024 #101 Lumbi9 said: Kwenye kiwanja hutakiwi kujenga mwisho kabisa usawa wa mawe ya mipaka, unashauriwa uingie ndani walau mita2, mtu akikufuata huko means amevuka kiwanja chako, wewe umejengaje mkuu Click to expand... Ukiacha meta 2 mwanzako anachukua hizo 2 halafu anakuja kuunga kwako
Lumbi9 said: Kwenye kiwanja hutakiwi kujenga mwisho kabisa usawa wa mawe ya mipaka, unashauriwa uingie ndani walau mita2, mtu akikufuata huko means amevuka kiwanja chako, wewe umejengaje mkuu Click to expand... Ukiacha meta 2 mwanzako anachukua hizo 2 halafu anakuja kuunga kwako
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Jan 14, 2024 #102 Pole sana mkuu