Jirani anataka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu

Jirani anataka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu

Kiwanja kimepimwa?
Kama kimepimwa je uliacha mita 1.5 kutoka kwenye jiwe la mpaka?
Kama uliacha hiyo mita 1.5 basi anakuingilia angalia sheria inasemaje. Iwapo viwanja havijapimwa pia je ulijenga fensi kwenye mpaka kabisa au ikoje?
Ivi hizi sheria zakijinga za mita 1.5 huwa ni wajinga gani huwa walipitiasha hiyo sheria.. huku nchi zilizoendelea hakuna mita 1.5 wala nini ni ukuta kwa ukuta, hizo mita ndio vichochoro vya waizi
 
Kama hamtopata solution;
Siku moja unachukua nyundo unaanza kutindua ukuta, akikuuliza unamjibu nina shida na tofali zangu nataka kujenga banda la kuku, nimeghairi sihitaji tena fensi!
 
Wakuu habari zenu,

Nipo kwenye changamoto na jirani yangu hapa anayetaka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu. Upande mmoja na cha kushangaza analazimisha na Ujenzi umeshafikia level ya fensi sasa kimbembe anataka aongeze kozi kadhaa za tofali kwenye fensi yangu ambayo ninataka iishie hpo ilipo na niweke zile electric wire au urembo wa fensi ninao utaka Mimi.

Hivyo ananiharibia plan za kutengeneza fensi ninayoitaka Mimi, mbya zaidi Niko mbali na nyumbani, kwani nyumba nimeijenga huko kanda ya ziwa na Mimi Niko hapa mjin Dar. Ninapomuambia asubiri nirudi ili nione anachotka kufanya anakuwa haelewi...

Kwa mazingira haya nashindwa kumuelewa kabisa kwani kama kiwanja anacho kikubwa kuliko Mimi. Hebu nishaurini maana ugomvi sipendi lakni naona ananichokoza to the maximum.
Agiza mamlaka ziende pale tena abomolewe kabisa, dawa ya hii kitu uwe na video clip uiweke hapa
 
Kiufupi unajirani mjinga pole sana maana huo ni mwanzo tu
 
Je kuhusu Fensi?
Fensi nayo uache mita mbili kila upande?
Mbona naonaga Fensi za watu (Mikocheni, Masaki) zimeungana
Wale wa masaki wanajielewa,,

Ukiweka fensi uswahilini bila kuacha hatua miter 2 utakuta jirani ameweka Banda la kuku kwnye ukuta wako.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Hivi kila mtu akiacha mita 1.5 toka kwenye mpaka ndio ajenge ukuta wa fence si mtaa utajaa vichochoro vya kufa mtu mkuu?
Hizo hatua ulizoacha zitasaidia wakati wa kurepair au kufanya usafi ukuta wako unakuwa ndani ya eneo lako na sio Kwa mtu.


Lazima ujengr ndani ya eneo lako ili iwe rahisi kuangalia eneo lako.
 
Nipo kwenye changamoto na jirani yangu hapa anayetaka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu. Upande mmoja na cha kushangaza analazimisha na Ujenzi umeshafikia level ya fensi sasa kimbembe anataka aongeze kozi kadhaa za tofali kwenye fensi yangu ambayo ninataka iishie hpo ilipo na niweke zile electric wire au urembo wa fensi ninao utaka Mimi.
Weka vigingi vya kupitisha fensi ya umeme juu ili avunje mkakutane mahakamani
 
Wakuu habari zenu,

Nipo kwenye changamoto na jirani yangu hapa anayetaka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu. Upande mmoja na cha kushangaza analazimisha na Ujenzi umeshafikia level ya fensi sasa kimbembe anataka aongeze kozi kadhaa za tofali kwenye fensi yangu ambayo ninataka iishie hpo ilipo na niweke zile electric wire au urembo wa fensi ninao utaka Mimi.

Hivyo ananiharibia plan za kutengeneza fensi ninayoitaka Mimi, mbya zaidi Niko mbali na nyumbani, kwani nyumba nimeijenga huko kanda ya ziwa na Mimi Niko hapa mjin Dar. Ninapomuambia asubiri nirudi ili nione anachotka kufanya anakuwa haelewi...

Kwa mazingira haya nashindwa kumuelewa kabisa kwani kama kiwanja anacho kikubwa kuliko Mimi. Hebu nishaurini maana ugomvi sipendi lakni naona ananichokoza to the maximum.
Mbona rahisi sana,
Ondoa uchungu na hasira mkuu.
Fanya kazi zako za maendeleo kama kawaida.
Siku ukifika kanda ya ziwa huko ondoa ukuta wako yeye abaki na kozi zake na lenta huko juu.
zitashikiliwa na nini hiyo haikuhusu.
Kesi za hivi nazipenda mmnoo,
 
Hivi kila mtu akiacha mita 1.5 toka kwenye mpaka ndio ajenge ukuta wa fence si mtaa utajaa vichochoro vya kufa mtu mkuu?
Njoo Zanzibar hapa stone town ujionee vichochoro vya mita 1.5. Yani ni hatari, kila jengo linanjia pande nne, mbele, nyuma, kushoto na kulia.
 
Mwache ajenge akimaliza fugia nguruwe hapo hapo ukutani. Watoto wa nguruwe ni 60000 kimoja.
 
Mkuu akimalz kujenga wew bomoa ukuta wako/[emoji4][emoji16][emoji16]
 
Muache ajenge alafu wewe toboa matundu kwenye ukuta wa fensi yako.
 
Kiwanja kimepimwa?
Kama kimepimwa je uliacha mita 1.5 kutoka kwenye jiwe la mpaka?
Kama uliacha hiyo mita 1.5 basi anakuingilia angalia sheria inasemaje. Iwapo viwanja havijapimwa pia je ulijenga fensi kwenye mpaka kabisa au ikoje?
Mambo ya kuacha mita 1.5 ni kwenye sqata. Fensi zinatakiwa kiumana ili kiepusha vichochoro.
 
Mbona rahisi sana,
Ondoa uchungu na hasira mkuu.
Fanya kazi zako za maendeleo kama kawaida.
Siku ukifika kanda ya ziwa huko ondoa ukuta wako yeye abaki na kozi zake na lenta huko juu.
zitashikiliwa na nini hiyo haikuhusu.
Kesi za hivi nazipenda mmnoo,
Haitosaidia, amuachie tu maisha yaendelee. Vita, kesi na uadui havina maana kwani maisha haya ni mafupi sana.
 
Kaka pole Sana, haya yalishanikuta jirani alikuta tayari nimeshamaliza nyumba yangu safi na ukuta safi pande zote nne. Akajenga wa kwake na upande mmoja akatumia wa kwangu bure kabisa, sasa uwanja wangu hupo chini na kwake ni juu, kwa kweli nilijenga kozi za tofari zaidi ya 9 akasema niongeze eti kwake pafupi, nikaongeza kozi 2. Bado akawa anaomba niongeze tena. Nikamwambia wewe ni mtoto wa kiume au vipi unamwambiaje mwanaume mwenzako akujengee ukuta bure kabisa [emoji3][emoji3]
Wewe ulitaka akurudishie gharama?
 
Ivi hizi sheria zakijinga za mita 1.5 huwa ni wajinga gani huwa walipitiasha hiyo sheria.. huku nchi zilizoendelea hakuna mita 1.5 wala nini ni ukuta kwa ukuta, hizo mita ndio vichochoro vya waizi
Nafasi unayotakiwa kuweka jengo lako toka mpaka wa kiwanja siyo fensi. Inazuia watu kujenga jengo kujaza uwanja mzima
 
Back
Top Bottom