Jirani: Kabla ya tukio la mauaji ya wanandoa, kulitokea mauzauza nyumbani kwao

Jirani: Kabla ya tukio la mauaji ya wanandoa, kulitokea mauzauza nyumbani kwao

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Ngonjera zazidi kuibuka sakata la mauaji ya wanandoa huko Mwanza.

Leo jirani yake na Marehemu Saidi na Marehemu Swalha amehojiwa na Azam News na kusema wiki moja kabla ya kutokea kwa mauaji hayo, kulitokea mauzauza nyumbani kwa wanandoa hao.

Njiwa aliyefungwa sanda alidondoka getini katika nyumba ya wanandoa hao na kumfanya marehemu Saidi azimie.

Ikabidi marehemu Swalha ambaye ni mke wa marehemu kwenda kumtafuta mganga na kumtibu mumewe. Baada ya hapo mauzauza yakaanza mpaka wawili hao walipokuja kufariki.

Hayo ni maneno ya jirani yao na marehemu hao.
 
Ngonjera zazidi kuibuka sakata la mauaji ya wanandoa huko Mwanza.

Leo jirani yake na Marehemu Saidi na Marehemu Swalha amehojiwa na Azam News na kusema wiki moja kabla ya kutokea kwa mauaji hayo, kulitokea mauzauza nyumbani kwa wanandoa hao.

Njiwa aliyefungwa sanda alidondoka getini katika nyumba ya wanandoa hao na kumfanya marehemu Saidi azimie.

Ikabidi marehemu Swalha ambaye ni mke wa marehemu kwenda kumtafuta mganga na kumtibu mumewe. Baada ya hapo mauzauza yakaanza mpaka wawili hao walipokuja kufariki.

Hayo ni maneno ya jirani yao na marehemu hao.
Kweli wewe Ni mchochezi hivi sisi tunajua chanzo Ni missed call 42 wewe unasema njiwa
 
Back
Top Bottom