Sophoghani
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 395
- 622
Njiwa kufungwa sanda du huyo njiwa ni mkubwa kiasi gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kitambaa cheupe kile cha sandaNjiwa kufungwa sanda du huyo njiwa ni mkubwa kiasi gani.
Matukio kama hayo yakitokea husemwa mengi sana, Japo mengi si ya kweli...Ngonjera zazidi kuibuka sakata la mauaji ya wanandoa huko Mwanza.
Leo jirani yake na Marehemu Saidi na Marehemu Swalha amehojiwa na Azam News na kusema wiki moja kabla ya kutokea kwa mauaji hayo, kulitokea mauzauza nyumbani kwa wanandoa hao.
Njiwa aliyefungwa sanda alidondoka getini katika nyumba ya wanandoa hao na kumfanya marehemu Saidi azimie.
Ikabidi marehemu Swalha ambaye ni mke wa marehemu kwenda kumtafuta mganga na kumtibu mumewe. Baada ya hapo mauzauza yakaanza mpaka wawili hao walipokuja kufariki.
Hayo ni maneno ya jirani yao na marehemu hao.
Maelezo ya mdogo wake Swalha,anaseema kiltambaa ,kilikuwa kimewekwa Umbo la sanda,na njiwa alimgonga Said ...lakini wajubi wa mtandaoni wanasema njiwa alifungwa Sanda!waweke hadharani namba za huyo mganga alieletwa na Swalha kupambana na njiwa + kumzindua kidume Said
Hiyo ndiyo MwanzaNgonjera zazidi kuibuka sakata la mauaji ya wanandoa huko Mwanza.
Leo jirani yake na Marehemu Saidi na Marehemu Swalha amehojiwa na Azam News na kusema wiki moja kabla ya kutokea kwa mauaji hayo, kulitokea mauzauza nyumbani kwa wanandoa hao.
Njiwa aliyefungwa sanda alidondoka getini katika nyumba ya wanandoa hao na kumfanya marehemu Saidi azimie.
Ikabidi marehemu Swalha ambaye ni mke wa marehemu kwenda kumtafuta mganga na kumtibu mumewe. Baada ya hapo mauzauza yakaanza mpaka wawili hao walipokuja kufariki.
Hayo ni maneno ya jirani yao na marehemu hao.
Hawa watu watamkasirisha Mungu kwa hizi chuki zao kwa njiwa,bundi na pakaNgonjera zazidi kuibuka sakata la mauaji ya wanandoa huko Mwanza.
Leo jirani yake na Marehemu Saidi na Marehemu Swalha amehojiwa na Azam News na kusema wiki moja kabla ya kutokea kwa mauaji hayo, kulitokea mauzauza nyumbani kwa wanandoa hao.
Njiwa aliyefungwa sanda alidondoka getini katika nyumba ya wanandoa hao na kumfanya marehemu Saidi azimie.
Ikabidi marehemu Swalha ambaye ni mke wa marehemu kwenda kumtafuta mganga na kumtibu mumewe. Baada ya hapo mauzauza yakaanza mpaka wawili hao walipokuja kufariki.
Hayo ni maneno ya jirani yao na marehemu hao.
Hakuna ki2 apo.dem ni mtoto wa mjini ni mpigaji amemtengenezea kipindi mshikaji ili ampige hela.waweke hadharani namba za huyo mganga alieletwa na Swalha kupambana na njiwa + kumzindua kidume Said
Naanza kufuga ndevu...Aisee! Huu msiba utadhania mmoja wao bado ni mzima.
Hahahaaa. Acha hiyo kitu binamu. Wi lavyu ujue. 😂Naanza kufuga ndevu...
Fake newsNgonjera zazidi kuibuka sakata la mauaji ya wanandoa huko Mwanza.
Leo jirani yake na Marehemu Saidi na Marehemu Swalha amehojiwa na Azam News na kusema wiki moja kabla ya kutokea kwa mauaji hayo, kulitokea mauzauza nyumbani kwa wanandoa hao.
Njiwa aliyefungwa sanda alidondoka getini katika nyumba ya wanandoa hao na kumfanya marehemu Saidi azimie.
Ikabidi marehemu Swalha ambaye ni mke wa marehemu kwenda kumtafuta mganga na kumtibu mumewe. Baada ya hapo mauzauza yakaanza mpaka wawili hao walipokuja kufariki.
Hayo ni maneno ya jirani yao na marehemu hao.
HahahaHahahaaa. Acha hiyo kitu binamu. Wi lavyu ujue. 😂