Hahahahaha kwanza sithubutuuuu Nina kishundu changu mwenyew kimechongoa kama msumari hayo magodoro ya nini mieHahahaaa. Bakiaga tu ulivyo shoo maana naona kama utapata tabu shooo.
Hayo mwachiage huyo jirani wa Hazard. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Analiwezea huyu dada akitembea anapishanisha miguu kama kim kardashian...zinatenge curve moja matata
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa haya maneno wacha huyo dada aumize shingo zenu kwa kweli.Analiwezea huyu dada akitembea anapishanisha miguu kama kim kardashian...zinatenge curve moja matata
Rudia banaaa. Kwa nini ikatae kwangu.Nimejaribu kama mara 4 ikanikatalia eti niwasiliane na uongozi wa jf
Ewaaaaaaaa. Hicho hicho mumy chatosha.Hahahahaha kwanza sithubutuuuu Nina kishundu changu mwenyew kimechongoa kama msumari hayo magodoro ya nini mie
Atakuwa ni mmoja ya wale wanaosemaga "zima taa honey" [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaaa. Umewaza mbali Mkuu ila itakuwa ana ujanja ujanja wa kufanya mwanaume asilijue hilo.
Japo nimejikuta namuhurumia kwa kweli.
Wanapata tabu sanaEwaaaaaaaa. Hicho hicho mumy chatosha.
Hahaaa. Kujitia joto la Mapaja tu kisa kuwa na mzigo lol. Ila kazi wanayo.
[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]Dada huyu anaependelea kutumia formation ya viungo watatu katikati( verasidika,aggy masogange na sanchoka) 4-3-3 kawanyima sana usingizi ma bazazi,mafisi na wake zetu hapa mtaani...akipita lazima ugeuke hata kwa kuiba iba,leo nimeamka nimekutana na wowowo lake kwenye kamba nikabaki nikisema aiseee kumbe kuvunjika kote shingo kwa miaka 3 ni kazi bure
View attachment 817617
Nimerefresh ikakubali,,, nani alikufundisha haya maujanja?Rudia banaaa. Kwa nini ikatae kwangu.
Umeonaeee. Yaani mbio Hazard kaja kutuhoji wana jf wakati anaewaumiza shingo anaye huko Mtaani.Tatizo siku hizi simu za kisasa zimetufanya tuwe wepesi kuchukua picha au clip ya tukio kuliko kulihoji kwa undani zaidi tukio husika.
Hapo angemuweza sana na angeona aibu sana.
Ila nampongeza Hazard cfc kutomuuliza maana pangenuka hapo mtaani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Loooh nitakuwa nalikausha na mashine kauka nikuvaeHahaha nisamehe jirani..umetutesa sana[emoji23] [emoji23]
Zesh mamboo [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaha kwanza sithubutuuuu Nina kishundu changu mwenyew kimechongoa kama msumari hayo magodoro ya nini mie
Hahahaaaa. Umeonaeeee.Atakuwa ni mmoja ya wale wanaosemaga "zima taa honey" [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwanaume ukitoka hapo unajisifia kwa masela kumbe umekula godoro
Shkamoo babuZesh mamboo [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuu kikipatikana chumba unistueKaribu mkuu...migoma ipo ila sidhani kama yote ni vigodoro[emoji23] [emoji23] [emoji23]
yan ni burudani kwakwel..na viatu vyake virefu [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa haya maneno wacha huyo dada aumize shingo zenu kwa kweli.
Sababu inaelekea unamuangalia hasaaaa. [emoji85]
Fahari ya macho kuona bestHahahaa. Nimecheka best hivyo lengo litakuwa shingo yako iumie au ndio unataka ukamchore dada wa watu.
Yaani urushe ndoano kisha ukutane na hayo mazaga. [emoji23] [emoji23]
Hahahah, [emoji23] [emoji23] ili uwatese majirani?Ndo yeye kanunua