Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huu ni ushauri mzuri weweeeeHahahaha kusafisha zizi tena! Huu ushauri hapana aisee.
Jirani yetu muembe wake nusu umeegemea upande wetu so msimu wa maembe ni full kujisevia tuKuna watu ni wakorofi na kuna watu hawana common sense,
We fikiria viwanja vya 20x20 mtu anapanda muembe tena Mpakani, yani kuna majirani tabu sana
Afisa mifugo Kata amefahamishwa kero yako? Jaribu kutoa taarifa kwenye mamlaka kama hakuna hatua inayochukuliwa basi tumia akiliHabari za leo?
Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.
Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.
Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.
Asanteni.
Ushauri huu ndo wa kiCCM haswaaHuo ukuta utengenezee namna siku udodonke usiku uuwe hao ng'ombe wake
Alafu asubuhi anza kumlaumu kwanini anafugia ng'ombe kwenye ukuta wako alafu mwambie ona sasa mifugo yako imedondosha ukuta na imekufa .
Mwisho mpe pole kwa yaliyotokea atakuwa kajifunza
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hii kero ya kupanda miti ya kudumu mpakan na mimi imenikumba lakini ukimuelewesha anakuwa mkali zaidi ya pilipili kichaa.Kuna watu ni wakorofi na kuna watu hawana common sense,
We fikiria viwanja vya 20x20 mtu anapanda muembe tena Mpakani, yani kuna majirani tabu sana
Tupo ndani ya jiji.Ishu ni kufuga ng'ombe au kuweka Banda Kwa kutumia ukuta wako?
Kama ishu ni ufugaji nenda Kwa afisa mifugo kama ni mjini kuna sehemu hawaruhusu kufuga mijini.
Huo ukuta wako umejenga mpakani kabisa au uliacha sehemu yako kidogo?
Ndio mkuu,ukuta nimejenga mimi.MANASHARE UKUTA SWALI KWANZA
Dah!! CCM wakuchukue unaziweza fitna kaka mkubwa 😂😂😂Huo ukuta utengenezee namna siku udodonke usiku uuwe hao ng'ombe wake
Alafu asubuhi anza kumlaumu kwanini anafugia ng'ombe kwenye ukuta wako alafu mwambie ona sasa mifugo yako imedondosha ukuta na imekufa .
Mwisho mpe pole kwa yaliyotokea atakuwa kajifunza
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Sasa ng'ombe wamekosea nini? Aside kuna watu mna roho mbaya.Dawa ni kutafuta nyasi kilo moja na sumu ya panya, lowesha hizo nyasi kwa sumu ya panya kwa muda wa saa 2½ kisha vizia usiku tupia vifurushi vya nyasi kwa upande wake.
Asubuhi utapata mrejesho.
Baada ya wiki hiyo kero itakuwa imeisha na utabaki na Amani tele.