Jirani mkorofi, anafugia ng'ombe kwenye ukuta wangu

Afisa mifugo Kata amefahamishwa kero yako? Jaribu kutoa taarifa kwenye mamlaka kama hakuna hatua inayochukuliwa basi tumia akili
 
Ushauri huu ndo wa kiCCM haswaa
 
Watu wana stress za maisha ni balaa.. mtu yuko town kiwanja kidogo lakini atalazimisha kufuga kuku, bata, ng'ombe na mifugo mingine. Watu kama siwezi kabisa kuwatembelea kwasababu ya hali ya uchafu kwenye mazingira yao. Lazima pawe pananuka balaa... miji isimamie sheria zake za kutofuga mijini.
 
Ishu ni kufuga ng'ombe au kuweka Banda Kwa kutumia ukuta wako?
Kama ishu ni ufugaji nenda Kwa afisa mifugo kama ni mjini kuna sehemu hawaruhusu kufuga mijini.
Huo ukuta wako umejenga mpakani kabisa au uliacha sehemu yako kidogo?
Tupo ndani ya jiji.
Issue ni harufu kali ya mavi ya ng'ombe pili ana haribu ukuta wangu wa fensi kwa mavi yake ya ng'ombe.
 
Jana kuna sehemu nimepita nikakuta kuna jamaa anafuga ng'ombe kaacha kinyesi mpaka kimefika usawa wa magoti asee nilichukizwa. Nikaamua kugonga hodi walau tuzungumze kwa bahati mbaya hakuwepo. Nikawa najiuliza au pengine hiyo hali ni afya kwa mifugo!!
 
Dah!! CCM wakuchukue unaziweza fitna kaka mkubwa 😂😂😂
 
Dawa ni kutafuta nyasi kilo moja na sumu ya panya, lowesha hizo nyasi kwa sumu ya panya kwa muda wa saa 2½ kisha vizia usiku tupia vifurushi vya nyasi kwa upande wake.

Asubuhi utapata mrejesho.

Baada ya wiki hiyo kero itakuwa imeisha na utabaki na Amani tele.
 
Sasa ng'ombe wamekosea nini? Aside kuna watu mna roho mbaya.
Wanyama hawana kosa. Mwenyekiti ng'ombe ndio washughulikiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…