Hahaha!! Hii Kali mnoo.ilikuajePole sana,bila shaka atakuwa mmeru au mchaga huyo. Yupo hapa jirani yangu alikuwa hivyo lakini kaishia kwenye mikono ya mhehe mimi mpaka huwa anatamani kunisalimia shkamo wakati kanizid miaka 32
Tafuta chatu mkubwa, anayeweza kummeza mbuzi,akila mbuzi wake wawili tu,atapata akili ya kuishi na jirani zake🏃♂️🏃♂️🏃♂️Habari za leo?
Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.
Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.
Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.
Asanteni.
Tatizo limeanzia kwenye ujenzi wa ukita inaonekana jamaa kajenga mpakani kabisaIshu ni kufuga ng'ombe au kuweka Banda Kwa kutumia ukuta wako?
Kama ishu ni ufugaji nenda Kwa afisa mifugo kama ni mjini kuna sehemu hawaruhusu kufuga mijini.
Huo ukuta wako umejenga mpakani kabisa au uliacha sehemu yako kidogo?
Alikuwa anamwaga kinyesi cha ngombe kwenye ukuta,ukimwambia anasema kwamba hicho kinyesi ukutani kwangu kinasogea chenyewe ila yeye huwa anamwaga kwenye shamba lake.Hahaha!! Hii Kali mnoo.ilikuaje
Ukisikia roho mbaya ndio hiyo.Mi nina jirani kama wako yeye kaamua kufuga nguruwe bado namfikiria kumtia hasara, kuna mwingine alikuwa anakuja kuchungia mbuzi wake kwenye kiwanja changu nikamwambia hakusikia, nlinunua debe la mahindi nikaliweka maeneo mbuzi wakaja kula mahindi yote, kiwanja changu kipp mtoni wakaenda kunywa maji, jioni akaja kuwachukua wameshiba balaa, usiku alikuta maiti ya mbuzi zaidi ya 10
Ha ha ha. ....broiler wanakunya mavi yananuka balaa[emoji1787]Mkuu na wewe fuga kuku broiler na nguruwe Kama watano.
Mwenyewe atakuja muyajenge upya.
To a ukuta wako, wewe ndie mkorofi kama umeamuwa kujenga fensi yeye yuko kwake na wewe uko kwako basi hupaswi kumuingilia.Ndio mkuu,ukuta nimejenga mimi.
Nilichojifunza kwa jirani akikuletea mpelekee na yeye mtaheshimiana tu. Ila ukiwa mnyonge imekula kwako.Habari za leo?
Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.
Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.
Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.
Asanteni.
Gharama yote ya nini hiyo?Hakuna shida cha kufanya mwite mwambie akikataa usigombane weka ukuta urefu wa mnara wa musu wa umeme harufu itakosa kwa kwenda itajazana kwake .imeisha
Kuongezs cozi 10 mita 15 haizidi laki 5.unamuachia balaa lakeGharama yote ya nini hiyo?
Ukiendekeza hii misemo utakuja kuchapiwa mke wako kwako. Mwanaume unapambana kitu chochote kisiingie kwenye himaya yako. Inatakiwa ajue anachofanya sio.Kaa na jirani yako muone mnatatua vipi suala Hilo... Ikishindikana nenda Kwa mamlaka husika. Ila usifanye Hila kupoteza uhai wa ng'0mbe wao hawana makosa.
Mwisho wa siku wote mtaacha ng'ombe na ukuta Hapa duniani.