BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Dawa ni kutafuta nyasi kilo moja na sumu ya panya, lowesha hizo nyasi kwa sumu ya panya kwa muda wa saa 2½ kisha vizia usiku tupia vifurushi vya nyasi kwa upande wake.
Asubuhi utapata mrejesho.
Baada ya wiki hiyo kero itakuwa imeisha na utabaki na Amani tele.
Unajizima data.Bomoa huo ukuta
kama haelew imwagie maji ya moto akija hamaki imekaukaHii kero ya kupanda miti ya kudumu mpakan na mimi imenikumba lakini ukimuelewesha anakuwa mkali zaidi ya pilipili kichaa.
Ukuta wako kivipi wakati mnashare?? Sio kwamba huo ni ukuta wenu?Tupo ndani ya jiji.
Issue ni harufu kali ya mavi ya ng'ombe pili ana haribu ukuta wangu wa fensi kwa mavi yake ya ng'ombe.
Mimi ndio nimejenga kwa gharama zangu 100%Ukuta wako kivipi wakati mnashare?? Sio kwamba huo ni ukuta wenu?
Ulitaka nijenge katikati ya kiwanja?Kwann ulijenga ukuta mpakani?????
Kama walivyosema wakuu humu, huo ukuta ni wa kwenu wote, kila mmoja ana haki nao. Kwenye jamii ya wastaarabu, kabla ya kujenga mngepiga hesabu na kujua unagharimu shilingi ngapi na mnge-share hizo gharama.Mimi ndio nimejenga kwa gharama zangu 100%
Zitatoka kwake kwa sheria au muktadha upi wakati hakuujenga yeye, na wala hajauharibu?? Yaani akisema kuwa yeye upande wake hauna ukuta, hivyo anachokiweka, anakiweka mahali wazi..huo ukuta wa jirani, umejengwa pasipo yeye kushirikishwa, mtambana wapi? Yaani mtamlazimishaje kulipa ukuta usio wake??Kama ukuta utaanguka ama kuharibika sehemu aliyojenga banda basi gharama za matengenezo ziatoka kwake.
Kosa nila mbuzi au mfuga mbuzi?Mi nina jirani kama wako yeye kaamua kufuga nguruwe bado namfikiria kumtia hasara, kuna mwingine alikuwa anakuja kuchungia mbuzi wake kwenye kiwanja changu nikamwambia hakusikia, nlinunua debe la mahindi nikaliweka maeneo mbuzi wakaja kula mahindi yote, kiwanja changu kipp mtoni wakaenda kunywa maji, jioni akaja kuwachukua wameshiba balaa, usiku alikuta maiti ya mbuzi zaidi ya 10
Na kama ukuta nimejenga upande wangu kutoka mpaka ulipo kama cm 40 bado atadai ni wake? (mm bado sijajenga uzio nataka nijue ili nisije kujichanganya huko baadae)Pole kwa kadhia ya jiranyako.
Kwanza huo ukuta ni WA kwako ama wa kwenu?
Ukuta ni unakuwa WA kwako kama umejenga Kwa kuacha nafasi walau mita 2 kutoka jiwe la mpaka Ili na yeye ajenge wa kwake Kwa kuacha umbali huohu kutoka kjiwe lenu la mpaka.
Ukuta unakuwa wa kwenu wote kama mmekubaliana msiache kichochoro bali mjenge kufuata mpaka wa jiwe. Hapa haijalishi mmechangia ama amejenga mmoja wenu. Ilimradi hakuna nafasi iliyoachwa basi baina ya jiwe la mpaka basi huo ukuta unakuwa WA kwenu wote na kila mtu ana haki ya kuutumia.
Kama utataka jirani mkorofi asitumie ukuta wako, vunja huo na jenga mwingine Kwa kufuata Sheria.
Isije kuwa unamwonea wivu huyo jirani yako Kwa sababu unaona anakupiga gepu Kwa kumiliki mang'ombe, maana majirani hampendagi kupitwa.
Ngombe wake wako upande wake na wanachafua ukuta huo upande wake Sasa wewe shida Nini? Kama ukuta utaanguka ama kuharibika sehemu aliyojenga banda basi gharama za matengenezo ziatoka kwake.
Jirani punguza wivu, relax, ongea na jirani yako nawe jifunze ufugaji kutoka kwake baada ya hapo hutajuta kupata jirani mfugaji bali atakuwa baraka kwako
Huwezi mjua maana ndiye wewe
Sasa kama jirani anakwambia sina pesa wala sina mpango wa kujenga ukuta na mm ningeacha kujenga ukuta?Kama walivyosema wakuu humu, huo ukuta ni wa kwenu wote, kila mmoja ana haki nao. Kwenye jamii ya wastaarabu, kabla ya kujenga mngepiga hesabu na kujua unagharimu shilingi ngapi na mnge-share hizo gharama.
Wastaarabu wengine, hata kama ulijenga wewe wanaweza kuja kukulipa kwa kuwa wanaona ukuta unawafaidisha na wao.
Kama mngetumia option ya kuandikishana kwanza kabla ya kujenga ukuta, mngeweka na masharti ya matumizi ya huo ukuta.
Pole mkuu.Hii kero ya kupanda miti ya kudumu mpakan na mimi imenikumba lakini ukimuelewesha anakuwa mkali zaidi ya pilipili kichaa.
Uchawi ni nini?Huu ni zaidi ya uchawi
Asante kiongoziPole mkuu.
Tupe sheria ipo yenye mwongozo huo?Ukuta kama upo mpakani ni wa kwenu wote, ila kama umejenga mita 1 kutoka mpakani haruhusiwi kutumia ukuta wako.