Jirani mkorofi, anafugia ng'ombe kwenye ukuta wangu

Jirani mkorofi, anafugia ng'ombe kwenye ukuta wangu

Dawa ni kutafuta nyasi kilo moja na sumu ya panya, lowesha hizo nyasi kwa sumu ya panya kwa muda wa saa 2½ kisha vizia usiku tupia vifurushi vya nyasi kwa upande wake.

Asubuhi utapata mrejesho.

Baada ya wiki hiyo kero itakuwa imeisha na utabaki na Amani tele.

Huu ni zaidi ya uchawi
 
Kwenye kujenga nunua eneo kubwa ili ukijenga fensi Bado kuwepo na eneo la shamba linalobaki nje ya nyumba Yako kuwaepuka majirani wenye visirani kama hawo,niliwai kujenga mahali majirani wote walikuwa wenyeji,wakaanza kuwa wanakuja kutupa utumbo nje kwangu Kila mara.niliuza Ile nyumba nikaapa sitajenga mahali Kuna wenyeji au waswahili. nitanunua eneo kubwa mbali na mji na hakika nitapata Kwa sababu napenda amani na utulivu.
 
Ila kuna watanzania wanapenda shari, wanapenda kupelekana kwa balozi, wanapenda kupelekana kwa Mwenyekiti, wanapenda kupelekana polisi

Angalia tu asije akasema ukuta na nyumba yote ni yake, waswahili wengine bwana! Ni heri ukawa na jirani mwarabu au mzungu hawatakudisturb
 
Mimi ndio nimejenga kwa gharama zangu 100%
Kama walivyosema wakuu humu, huo ukuta ni wa kwenu wote, kila mmoja ana haki nao. Kwenye jamii ya wastaarabu, kabla ya kujenga mngepiga hesabu na kujua unagharimu shilingi ngapi na mnge-share hizo gharama.

Wastaarabu wengine, hata kama ulijenga wewe wanaweza kuja kukulipa kwa kuwa wanaona ukuta unawafaidisha na wao.

Kama mngetumia option ya kuandikishana kwanza kabla ya kujenga ukuta, mngeweka na masharti ya matumizi ya huo ukuta.
 
Kama ukuta utaanguka ama kuharibika sehemu aliyojenga banda basi gharama za matengenezo ziatoka kwake.
Zitatoka kwake kwa sheria au muktadha upi wakati hakuujenga yeye, na wala hajauharibu?? Yaani akisema kuwa yeye upande wake hauna ukuta, hivyo anachokiweka, anakiweka mahali wazi..huo ukuta wa jirani, umejengwa pasipo yeye kushirikishwa, mtambana wapi? Yaani mtamlazimishaje kulipa ukuta usio wake??
 
Mi nina jirani kama wako yeye kaamua kufuga nguruwe bado namfikiria kumtia hasara, kuna mwingine alikuwa anakuja kuchungia mbuzi wake kwenye kiwanja changu nikamwambia hakusikia, nlinunua debe la mahindi nikaliweka maeneo mbuzi wakaja kula mahindi yote, kiwanja changu kipp mtoni wakaenda kunywa maji, jioni akaja kuwachukua wameshiba balaa, usiku alikuta maiti ya mbuzi zaidi ya 10
Kosa nila mbuzi au mfuga mbuzi?
 
Pole kwa kadhia ya jiranyako.
Kwanza huo ukuta ni WA kwako ama wa kwenu?

Ukuta ni unakuwa WA kwako kama umejenga Kwa kuacha nafasi walau mita 2 kutoka jiwe la mpaka Ili na yeye ajenge wa kwake Kwa kuacha umbali huohu kutoka kjiwe lenu la mpaka.

Ukuta unakuwa wa kwenu wote kama mmekubaliana msiache kichochoro bali mjenge kufuata mpaka wa jiwe. Hapa haijalishi mmechangia ama amejenga mmoja wenu. Ilimradi hakuna nafasi iliyoachwa basi baina ya jiwe la mpaka basi huo ukuta unakuwa WA kwenu wote na kila mtu ana haki ya kuutumia.

Kama utataka jirani mkorofi asitumie ukuta wako, vunja huo na jenga mwingine Kwa kufuata Sheria.

Isije kuwa unamwonea wivu huyo jirani yako Kwa sababu unaona anakupiga gepu Kwa kumiliki mang'ombe, maana majirani hampendagi kupitwa.

Ngombe wake wako upande wake na wanachafua ukuta huo upande wake Sasa wewe shida Nini? Kama ukuta utaanguka ama kuharibika sehemu aliyojenga banda basi gharama za matengenezo ziatoka kwake.

Jirani punguza wivu, relax, ongea na jirani yako nawe jifunze ufugaji kutoka kwake baada ya hapo hutajuta kupata jirani mfugaji bali atakuwa baraka kwako
Na kama ukuta nimejenga upande wangu kutoka mpaka ulipo kama cm 40 bado atadai ni wake? (mm bado sijajenga uzio nataka nijue ili nisije kujichanganya huko baadae)

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kama walivyosema wakuu humu, huo ukuta ni wa kwenu wote, kila mmoja ana haki nao. Kwenye jamii ya wastaarabu, kabla ya kujenga mngepiga hesabu na kujua unagharimu shilingi ngapi na mnge-share hizo gharama.

Wastaarabu wengine, hata kama ulijenga wewe wanaweza kuja kukulipa kwa kuwa wanaona ukuta unawafaidisha na wao.

Kama mngetumia option ya kuandikishana kwanza kabla ya kujenga ukuta, mngeweka na masharti ya matumizi ya huo ukuta.
Sasa kama jirani anakwambia sina pesa wala sina mpango wa kujenga ukuta na mm ningeacha kujenga ukuta?
Mkuu umeshawahi kujenga nyumba yenye fensi?
Yaani kujenga ukuta hadi kuandikishana na jirani sijawahi kuona tangu kuzaliwa kwangu..
 
Back
Top Bottom