Jirani yangu anafanya kazi gani?

Nani alikuambia kuwa majambazi sio wapole?
Kwahiyo unakuwa macho usiku wote ukimlia timing mpaka ukapata jibu kuwa hachomoki usiku.
Kuna majambazi wanapiga mshindo wa nguvu . Akipiga mmoja mmoja anakaa muda mwingi anakula kazi ya mikono yake.
Pia kuna kazi zina pesa lakini si za ujambazi.
Ni raia mwema huyo 😂😂😂🇹🇿🇹🇿
 
Wee jamaa ni mchawi
 
Kuishi maisha mazuri kunahitaji sacrifice .

Unaweza kuta anafanya mishe za mitandaoni ambazo kupata au kupoteza ni njee njee kitu ambacho hata leo akikushirikisha utagoma either kwa hofu ya kupoteza ulichonacho au unaweza kumuita tapeli.

Kumbuka hakuna pesa rahisi
 
Umejibu vema mno.
 
Mtafute mkuu Mshana Jr anaweza kukupa anuani ya chuo cha uchawi. Una vigezo vyote vya kupata bumu la kusomea kozi hiyo unayoipenda sana
 
Hawa ndo Watanzania sasa, kwa namna ulivyo, wewe ni Mswahili hasa, sahau kufanikiwa, endelea tu kuishi kwa sababu umeamka unapumua....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…