Jirani yangu anafanya kazi gani?

Jirani yangu anafanya kazi gani?

Wewe utakuwa mswahili wa kutupwa aisee. Yaani unashangaa kuona mtu anaishi bila ya kutoka asubuhi na kurudi jioni akiwa ameloa jasho ili aweke kitu tumboni? Hicho ni kitu cha kawaida sana. Watu waliokuwa initiated na exposure ya dunia wanachohitaji ni umeme, laptop na internet tu, ili waishi.

Hawa wapuuzi wanaolia maisha magumu siwaelewi kabisa. I mean, sure, you can be stupid, but not that stupid? Right? Badala ya kuwa mwananchi wa Tanzania, kuwa mwananchi wa ulimwengu. A citizen of the world. Jichanganye na ulimwengu, sio mitaani. Kiswahili kitakusaidia Tanzania, lakini English itakusaidia ulimwenguni. WaAsia ndio utakuta wanafanya hivi, utakuta wanaongea English safi utafikiri sio mchina au mkorea. Wapo initiated with the world. Ila huku ukiongea English utakuta wanasema unajiona msomi sana au unaringa. Hahaha! Its fuking pathetic. Labda maendeleo ya nchi zao zimefanya wananchi waamke. It doesn't matter. They swim and sour technology and reap the benefits. It's fuking awesome, and I truly admire that.

Watanzania wapo nyuma sana na maendeleo ya dunia na wanashindwa kutumia technology ipasavyo zaidi ya kujadili umbea na maisha ya watu kama hivi. Wakati kuna vijana wanabandua 300$ usd kila siku kama passive income. Wale kina mimi tuliozaliwa in shithole countries even though I don't regret it tunachuma kibishi 50$, 50$ a day. It doesn't matter zinatosha kuendesha maisha huku kwa mifisadi vichwa maji. Kama taifa we've got a long way to go.

Katika kitu nachukia ni mtu kufuatilia maisha yangu, mimi sikufuatilii kwanini wewe unifuatilie? Yaani naweza kukumaliza hivihivi. Alafu hizi tabia zimejaa uswahilini. Acha kufuatilia maisha ya watu mkuu.
 
Sio kwamba namchunguza, ila natamani namimi niishi life style kama yake, mana wengine tunachapika na maisha huenda kuna watu wana shortcut.

Ni miaka miwili tangu amalize nyumba yake na kuhamia,
1. Amejenga ndani ya miezi miwili au mitatu.

2. Tangu ahamie, muda wote yuko ndani, mara kadhaa hutoka au husafiri na ananiaga ila hakai hata wiki anarudi.

3. Anaagiza mahitaji kwa boda au mara nyingine anatoka, (hii sio ajabu sana).

4. Kuna mdada/ wadada wanakuja ila hawakai sana wanaondoka, jamaa yuko mwenyewe

5. Hana kufulia, au aje aombe kitu, mimi ndo niliwahi kwama nikamfata aniazime kiasi cha pesa.

6. Kusema ni jambazi anatoka usiku hapana, mana hata usiku yupo, na ni mpole sana hana shida na mtu.

Je, anaishije?
Anapiga online business, bando lake tu
 
Sio kwamba namchunguza, ila natamani namimi niishi life style kama yake, mana wengine tunachapika na maisha huenda kuna watu wana shortcut.

Ni miaka miwili tangu amalize nyumba yake na kuhamia,
1. Amejenga ndani ya miezi miwili au mitatu.

2. Tangu ahamie, muda wote yuko ndani, mara kadhaa hutoka au husafiri na ananiaga ila hakai hata wiki anarudi.

3. Anaagiza mahitaji kwa boda au mara nyingine anatoka, (hii sio ajabu sana).

4. Kuna mdada/ wadada wanakuja ila hawakai sana wanaondoka, jamaa yuko mwenyewe

5. Hana kufulia, au aje aombe kitu, mimi ndo niliwahi kwama nikamfata aniazime kiasi cha pesa.

6. Kusema ni jambazi anatoka usiku hapana, mana hata usiku yupo, na ni mpole sana hana shida na mtu.

Je, anaishije?
Jirani Yako unaishi nae wewe hafu unakuja kutuuliza sisi....! Umetudharau...!?
 
Umaskin ni shida Sana😂 mpak unajiuliza watu wanaishie lkn angekua mwenzie amejenga Villa na njee Kuna Bentley au Porsche asinge jiuliza. Hata aone Lamborghini iko parking


Wew Alie kuambia ukasome Ualimu Nan?
 
Sio kwamba namchunguza, ila natamani namimi niishi life style kama yake, mana wengine tunachapika na maisha huenda kuna watu wana shortcut.

Ni miaka miwili tangu amalize nyumba yake na kuhamia,
1. Amejenga ndani ya miezi miwili au mitatu.

2. Tangu ahamie, muda wote yuko ndani, mara kadhaa hutoka au husafiri na ananiaga ila hakai hata wiki anarudi.

3. Anaagiza mahitaji kwa boda au mara nyingine anatoka, (hii sio ajabu sana).

4. Kuna mdada/ wadada wanakuja ila hawakai sana wanaondoka, jamaa yuko mwenyewe

5. Hana kufulia, au aje aombe kitu, mimi ndo niliwahi kwama nikamfata aniazime kiasi cha pesa.

6. Kusema ni jambazi anatoka usiku hapana, mana hata usiku yupo, na ni mpole sana hana shida na mtu.

Je, anaishije?
Anavidole gumba vyote au??
 
Sio kwamba namchunguza, ila natamani namimi niishi life style kama yake, mana wengine tunachapika na maisha huenda kuna watu wana shortcut.

Ni miaka miwili tangu amalize nyumba yake na kuhamia,
1. Amejenga ndani ya miezi miwili au mitatu.

2. Tangu ahamie, muda wote yuko ndani, mara kadhaa hutoka au husafiri na ananiaga ila hakai hata wiki anarudi.

3. Anaagiza mahitaji kwa boda au mara nyingine anatoka, (hii sio ajabu sana).

4. Kuna mdada/ wadada wanakuja ila hawakai sana wanaondoka, jamaa yuko mwenyewe

5. Hana kufulia, au aje aombe kitu, mimi ndo niliwahi kwama nikamfata aniazime kiasi cha pesa.

6. Kusema ni jambazi anatoka usiku hapana, mana hata usiku yupo, na ni mpole sana hana shida na mtu.

Je, anaishije?
I balaaaa nasemajee ibaaaa
 
ogopaa kukopi maisha ya watu

Wale.mashogaa wa kampuni kubwa unazojua sorry kama uwajuiii wengine wamekungutwa na wazungu walioanzjsha ama kuja kufunga mitambooo yaoo wakapewa na magari viwanja. Sisimi kwa ubaayaaa unapoelekeaa kidogooo sikoooo
 
Sio kwamba namchunguza, ila natamani namimi niishi life style kama yake, mana wengine tunachapika na maisha huenda kuna watu wana shortcut.

Ni miaka miwili tangu amalize nyumba yake na kuhamia,
1. Amejenga ndani ya miezi miwili au mitatu.

2. Tangu ahamie, muda wote yuko ndani, mara kadhaa hutoka au husafiri na ananiaga ila hakai hata wiki anarudi.

3. Anaagiza mahitaji kwa boda au mara nyingine anatoka, (hii sio ajabu sana).

4. Kuna mdada/ wadada wanakuja ila hawakai sana wanaondoka, jamaa yuko mwenyewe

5. Hana kufulia, au aje aombe kitu, mimi ndo niliwahi kwama nikamfata aniazime kiasi cha pesa.

6. Kusema ni jambazi anatoka usiku hapana, mana hata usiku yupo, na ni mpole sana hana shida na mtu.

Je, anaishije?
huyo anafanya kazi kweny migodi mikubwa...
 
Mbona hata sisi tunaishi maisha hayo mzee

Mtaani wananiona tu na mara nyingi nipo ndani lakini maisha yanasonga na kitaa kumeshaisha kabisaa
 
Unamchunguza mtu. Muulize tu.

Hapa utapata majibu mengi ya kukisia.

Watu wengine hawafanyi kazi ili wapate pesa, pesa zinawafanyia kazi wao.

Kuna watu wanafanya kazi mitandaoni siku hizi.

Kuna watu wana mali za urithi.
Jamaa hajasema anamchunguza wala kufatilia maisha yake anataka tu kutupa uzoefu wa namna wengine wanavyoishi. Maana kiukweli wengi tunachapika usiku na mcha a ni hatari.
 
Jirani yako ana mali zake alizowekeza zamani ndio zinamtunza.

Kama ni kijana ana urithi wa kutosha.

Nina jirani kama huyo. Ni dogo hajaoa bado anaishi kisela.

Hapa dar mama yake kamuachia urithi wa appartments kama 10 hivi. Ubungo, na chang'ombe.

Dogo alizaliwa peke yake na sababu alikuwa anasoma udsm akaamua aje kupanga karibu na chuo baada ya mama yake kufariki. Nyumba ya mama yake goba na appartment alizoachiwa ubungo na chang'ombe akazipangisha zote. Kwa mwezi tu average kodi anakusanya kama milioni 4.

Yeye dogo akaenda kupanga appartment kali karibu na chuo udsm.

Unaona kabisa kazi hafanyi ila anakula bata tu na kubadili magari. Huku majirani zake tunaoamka alfajiri kuwai kazini tunamuonea wivu
Hayo ndo maisha nataka wanangu wayaishi
 
Back
Top Bottom