Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Wewe utakuwa mswahili wa kutupwa aisee. Yaani unashangaa kuona mtu anaishi bila ya kutoka asubuhi na kurudi jioni akiwa ameloa jasho ili aweke kitu tumboni? Hicho ni kitu cha kawaida sana. Watu waliokuwa initiated na exposure ya dunia wanachohitaji ni umeme, laptop na internet tu, ili waishi.
Hawa wapuuzi wanaolia maisha magumu siwaelewi kabisa. I mean, sure, you can be stupid, but not that stupid? Right? Badala ya kuwa mwananchi wa Tanzania, kuwa mwananchi wa ulimwengu. A citizen of the world. Jichanganye na ulimwengu, sio mitaani. Kiswahili kitakusaidia Tanzania, lakini English itakusaidia ulimwenguni. WaAsia ndio utakuta wanafanya hivi, utakuta wanaongea English safi utafikiri sio mchina au mkorea. Wapo initiated with the world. Ila huku ukiongea English utakuta wanasema unajiona msomi sana au unaringa. Hahaha! Its fuking pathetic. Labda maendeleo ya nchi zao zimefanya wananchi waamke. It doesn't matter. They swim and sour technology and reap the benefits. It's fuking awesome, and I truly admire that.
Watanzania wapo nyuma sana na maendeleo ya dunia na wanashindwa kutumia technology ipasavyo zaidi ya kujadili umbea na maisha ya watu kama hivi. Wakati kuna vijana wanabandua 300$ usd kila siku kama passive income. Wale kina mimi tuliozaliwa in shithole countries even though I don't regret it tunachuma kibishi 50$, 50$ a day. It doesn't matter zinatosha kuendesha maisha huku kwa mifisadi vichwa maji. Kama taifa we've got a long way to go.
Katika kitu nachukia ni mtu kufuatilia maisha yangu, mimi sikufuatilii kwanini wewe unifuatilie? Yaani naweza kukumaliza hivihivi. Alafu hizi tabia zimejaa uswahilini. Acha kufuatilia maisha ya watu mkuu.
Hawa wapuuzi wanaolia maisha magumu siwaelewi kabisa. I mean, sure, you can be stupid, but not that stupid? Right? Badala ya kuwa mwananchi wa Tanzania, kuwa mwananchi wa ulimwengu. A citizen of the world. Jichanganye na ulimwengu, sio mitaani. Kiswahili kitakusaidia Tanzania, lakini English itakusaidia ulimwenguni. WaAsia ndio utakuta wanafanya hivi, utakuta wanaongea English safi utafikiri sio mchina au mkorea. Wapo initiated with the world. Ila huku ukiongea English utakuta wanasema unajiona msomi sana au unaringa. Hahaha! Its fuking pathetic. Labda maendeleo ya nchi zao zimefanya wananchi waamke. It doesn't matter. They swim and sour technology and reap the benefits. It's fuking awesome, and I truly admire that.
Watanzania wapo nyuma sana na maendeleo ya dunia na wanashindwa kutumia technology ipasavyo zaidi ya kujadili umbea na maisha ya watu kama hivi. Wakati kuna vijana wanabandua 300$ usd kila siku kama passive income. Wale kina mimi tuliozaliwa in shithole countries even though I don't regret it tunachuma kibishi 50$, 50$ a day. It doesn't matter zinatosha kuendesha maisha huku kwa mifisadi vichwa maji. Kama taifa we've got a long way to go.
Katika kitu nachukia ni mtu kufuatilia maisha yangu, mimi sikufuatilii kwanini wewe unifuatilie? Yaani naweza kukumaliza hivihivi. Alafu hizi tabia zimejaa uswahilini. Acha kufuatilia maisha ya watu mkuu.