Jirani yangu anafanya kazi gani?

Umeongea jambo zito sana.Hakuna pesa rahisi na haitokuja kutokea pesa ikawa rahisi.Mkuu much respect.
 
Digital Economy
 
Wakuu nitawaambia kitu huyu jamaa mnamshambulia bure tu...
Mfano mzuri ni mimi...
Sina hela nyingi hapana...ila kuna lifestyle naishi naona kabisa inawakera majirani na watu wote wanaonizunguka...ratiba
Saa tano asubuhi hadi saa sita natoka home( na mguuu)
Saa nane naenda kijiweni ni baa flani hv napiga wali nyama 2500
Nakunywa maji ya hill 1000 na soda water
Saa tisa maji tena
Saa kumi maji tu
Bado nipo kijiweni ila natoka sana kuongea na simu
Saa kumi na moja naanza bia...mpaka saa nne usiku
Na washkaji siku moja moja wanapata....
Kwahiyo in average bia tu huwa natumia si chini ya 25k per day...
Sasa huku bar hawaulizi sana ila kila siku ikifika saa 12 na nusu lazima niende tigopesa ambayo ukiwa hapo bar unaiona..halafu narudi bar....

Nyumbani majirani kinachowachanganya nina watoto watatu wanasoma ada ni 3m tu per kila mtoto per year
Na home nina wawili wadogo kama 4 and 3yrs
Wanakula,wanavaa wanasoma na mengineyo wakati wengine wanahustle sana ila hata ada ya mtoto naona kabisa inawazingua...
Ambacho hawajui nina vibiashara ambavyo viko active na navifatilia kwa karibu...na nauza kila siku sio hela nyingi ila sikosi gross profit ya 70-100 per day...

na kuna siku kila baada ya two weeks sionekani saana kumbe nakua nafanya stock na kuagiza mizigo..kiufupi mm ni mmoja ya watu wavivu na natumia sana ila..

Nachomshauri huyo jamaa hapa mjini..ukiweka racket yako vizuri...unakula hela hata kama ni 20k daily na hakuna atakaejua just shut your mouth tu!
 
We ni tajiri
 
We ni tajiri
Hapana mkuu sina gari sema kuna siri flani za biashara ukizijua hela itakusumbua kidogo sana mi napata ya kula tu...kwa mfano ukiweza kuwa na biashara ya peke yako au soko la peke yako au ukatatua changamoto ambazo watu wengi zinawasumbua hutalala njaa

Mfano: fungua kampuni ya kukata tu ukoka na majani nyumbani kwa watu kama hujawa tajiri....
Njoo inbox nikupe nyingine bure
 
Atakuwa ni amata huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…