Jirani yangu anafanya kazi gani?

Mkuu umeogea kama mtu mwenye uzoefu kwenye Maisha.

Mimi nimekuelewa.
 
ogopaa kukopi maisha ya watu

Wale.mashogaa wa kampuni kubwa unazojua sorry kama uwajuiii wengine wamekungutwa na wazungu walioanzjsha ama kuja kufunga mitambooo yaoo wakapewa na magari viwanja. Sisimi kwa ubaayaaa unapoelekeaa kidogooo sikoooo
Kwanini uwaze mambo machafu tu.
 
Mkuu unaingizaje hizo 50$ per day
 
Too much explanation........Hence Bla bla
 
Ukifuata maisha ya Mtu utaishia kuumiza roho, juzi Kuna tukio lilitokea hapa Mtaani kwangu mpaka nikalianzishia Uzi.
Sasa si ungeweka link ya huo uzi ulionzisha kuhusiana na hilo tukio, vyengine hukua na haja ya kusema hivyo.
 
Ukifuata maisha ya Mtu utaishia kuumiza roho, juzi Kuna tukio lilitokea hapa Mtaani kwangu mpaka nikalianzishia Uzi.

Pambania maisha ya ndoto yako Mkuu ukiangalia maisha ya Mtu mwengine utachelewa kufanya mambo yako
Tupe link tujisomee udaku mzee weekend hii
 
Jamaa hajasema anamchunguza wala kufatilia maisha yake anataka tu kutupa uzoefu wa namna wengine wanavyoishi. Maana kiukweli wengi tunachapika usiku na mcha a ni hatari.
Ndiyo anamchunguza na kufuatilia maisha yake.

Asingemchunguza wala kumfuatilia maisha yake asingejali.
 
Maisha ya mtu ni siri yake mwenyewe, laiti kama ungejua chanzo cha mapato yake sidhani kama ungeyatamani maisha yake, usione watu wanaendesha magari makali wana siri kubwa sana kikubwa kuridhika na ulichonacho.
 
I'm an Application Developer, Game Developer, UI Designer, 3D Modeling expert, Web Developer. I also mastered all the necessary applications to accomplish such things.

Simple stuff.
Najifinzaje mkuu?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…