Kiuharisia ❌Me nimekuelewa sana kaka.... Family inahitaji privacy!!!! Ukiona mtu baada ya kusoma uzi kaja juu, kwamba unaroho ya kimaskini, jua vice versa is true🤝
Kiuharisia, mwehu huwa haoni wehu wake..... na ignorant always think they are too smart 🚶🚶
Usibabaishwe na comments za wakazi wa Tandale kwa tumbo, hofu yako inaingia akilini ndugu
Usalama wa familia Ni wajibu wangu kuulindaaWe endelea kupanda maharage acha kusumbua jirani........
Naona unaongea ilimradi tu kwa hiyo ujui adhari za miti nyuma ya nyumbaKwani kuna tatizo gani?
Sawaaa jamaaa kabana Sana jengo lake it almost mita mojaNyumba zimetenganishwa na ukuta umesema, iweje zipishane kwa mita moja?
Wewe ni muongo tu.
Pesa yako tu. Kuna mkubwa mmoja jirani yake palinunuliwa zikapandishwa apartments za ghorofa tatu,yeye ana ghorofa kali tu. Privacy yote ikapotea.Dah ila jamaa kiboko ety ukuta uvuke ghorofa 😂
Acha unafiki wewe nchi imekushindaa kwenda ukoAtakuwa anakuona ukiwa unawanga usiku. Huyo jirani ni adui wa hiyo fani yako ya uchawi.
😆😆😆😆 Makabichiactivity zenyewe za kuficha ndio hicho kilimo cha kunde au kuna kingine mkuu😂😂😂
Baadae hao wanaolimaga kwa dizaini hiyo wanakuja kung'ang'ania kuwa hayo maeneo ni yao,kuwa nao makini sanaHpn Ni mtu simjui kavamia kaotesha mboga zake na hi Ni kawaida
Wee mjinga Kweli endele kukari nyumba za watu kwamb mm nilikuwa nalazimisha kuchungulia watu au umetokea automatically nikawa na over view activities za jirani ake Hadi mm kuhisi kumkera snaHuyo jirani wa kaka yako uliyesema alikuwa na nyumba nzuri, mkewe na watoto wake walikuwa wanaogea nje?
Au choo cha nje kisichoezekwa?
Kama ni choo cha ndani, madirisha ya chooni ni madogo sana.... huwezi kuchungulia na kuona ndani labda upanie sana.
Narudia kusema, WEWE ni MUONGO mmoja.... upo hapa kujichekesha tu.
Mkuu mbona unamuwazia in a negative way tu??Bora wee Ni 10 Mt mm Ni mita moja ndio tunapishana maji yote yatadondoka kwangu mm na achilia mbali ku na access ya ku over view activities zangu zinazendelea nnje na ndani na sebelenj
Kama Nabii Lut aliokosea kuoa, akaoa mwanamke asiye na hof ya Mungu, nabii Adam kaambiwa usile tunda utakufa ila mwsho kafanya mistake kala (hao wote manabii wa mungu walikosea.... sasa mm Mwanyongo wa Mabwepande kukosea kdg tu unashangaa nnKiuharisia ❌
Kiuhalisia ✅
R I P Lowassa
Nenda kamlogeWakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.
Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.
Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.
Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.
Am stressed u know.
View attachment 2933773
😂😂😂😂😂Ofocz ila sipataki Huko nataka maeneo yasio kuwa na magorofa
Sahih sana hata mm sipendi kabsa Hilo zoezi ingawa ardhi Ina rutuba Sana guni tatu za maharage ukozi hapo kwanguBaadae hao wanaolimaga kwa dizaini hiyo wanakuja kung'ang'ania kuwa hayo maeneo ni yao,kuwa nao makini sana
ila usiuze Mkuu.Pale ndio sehemu potential ya kuishi tulivu sna
Wala hainiumi mm Ni jinsi alivyoliseti Hilo jengoJenga na wewe la kwako miende Sawa,kama huwezi kujenga na kina kuuma tangaza bei
Kbsaa nitasubiri a Hadi niweze kujenga na mm walau flow moja na mmFanya chochote
ila usiuze Mkuu.
No am not thinking so mm Sina mammb hayo Ni usamalama wangu na familia IPO htarini no kwajj si jamaa alivyo liseti jengo lakeNenda kamloge