Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Sina wivu mkuu ni jinsi alcyo seti ile balcony yake kuitazamisha kwangu wakt kulikuwa na direction ya kuset kwingine na jengo lake kukaa vizuri tu
hata mie nao wivu huna ila uchungu wa direction ya gorofa la jirani kuelekea kwako , actually inatia hofu na unyonge pia

vip ww ukibadilisha direction ya jengo lako ni ngumu pia kwa sasa 🐒
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.

Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Kwanini unakuwa na mashaka kama vile unaoga nje. ?? Ina maana nyumba yako unayojenga hutaweka Bati na mapazia hadi kuhofia kuwa atakuwa anaona kila kitu kinachoendelea nyumbani kwako???!! Hawa ndiyo wachawi tunaowaongeleaga ambao hawahitajiki kabisa kwenye Jamii.. Acha kuwa na roho ndogo
 
hata mie nao wivu huna ila uchungu wa direction ya gorofa la jirani kuelekea kwako , actually inatia hofu na unyonge pia

vip ww ukibadilisha direction ya jengo lako ni ngumu pia kwa sasa [emoji205]
Kwa mujibu wa mipango mji haiwezekani kbsa na hata yeye amekosea ujenzi wake ile balcony haikupazwa kelekezwa kwangu kwa mujibu wa ramani na ujemzi ukahaje

Dah sijui nifanyaje yaan mnk huyu jamaa Ana nguvu Ana nikisema. Nimpeleke ofc za mpngo miji mm nitapoteza muda tu
 
Back
Top Bottom