YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Ni wapi Kurani au Biblia imeandika mke awe anapigwa na mumewe kwa sababu zozote zile?Mkuu umesikia ni wapi inaandikwa Biblia na Quran nyingine au hata kutolewa tolee jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapi Kurani au Biblia imeandika mke awe anapigwa na mumewe kwa sababu zozote zile?Mkuu umesikia ni wapi inaandikwa Biblia na Quran nyingine au hata kutolewa tolee jipya
Mwanamke ambaye hajitambui kipigo kinamhusuYaani Miaka hii bado kuna mwanaume anapiga mke
Kweli wanaume wapumbavu hawaishi duniani bado wapo
Huyo naye ni mmojawapo huyo aliyepiga mke
Na hayo mapori yawe na wanyama wenzie kama majoka, simba na chui ili akapigane nao 🤣🤣🤣🤣🤣Wewe mdomo wa kujibu huna hadi upigaji nke
Hilo lianaume pigs mke liambie pumbavu kabisa linaleta mambo ya kipumbavu kwenye dunia ya sasa
Akili halina bwege hilo.Kama lliko mjini halistahili kuishi mjini linaitakiwa likaishi kijijini tena sio kwenye watu likaishi maporini huko na ngedere
Kama unamkanya hakusikii just let her go....anaekupenda atakutii simply because wanawake tumeumbwa kutii ili mtupendeIts not violence but disclipinary moves. Mwanamke hana adabu unakanya hasiki at the end you whip her ass. She restores her mind!
Mkuu kwanza sijasema hivyo vitabu vitakatifu vimesema hivyo; pili hivyo vitabu tumevikuta kama tulivyokuta destuuri ya wanaume kupiga wake zao; tatu, kama tukianza kubadili tulivyo vikuta iko siku tutabadiri na hivyo vitabu.Ni wapi Kurani au Biblia imeandika mke awe anapigwa na mumewe kwa sababu zozote zile?
Sasa wakati huu na uliopita we hujui huu ndo kipigo kinastahili? issue ni kwamba mwamba kampiga kipigo kibaya... me nikikulamba kofi moja ukaleta mdomo sikupigi tena nakutimua.Yaani Miaka hii bado kuna mwanaume anapiga mke
Kweli wanaume wapumbavu hawaishi duniani bado wapo
Huyo naye ni mmojawapo huyo aliyepiga mke
Wale waliokotana tu nahisi bar.sasa mjomba akawa Ana taka mzigo bibie hataki ndo varangati likaanza.Ulifanya vizuri
Hiyo mikele ya kupiga mke ni public nuisance anakosesha watu wengine usingizi wao au utulivu wao
Ingekuwa mimi ni jirani yangu huyo siku hiyo ningemtokea na shoka kabisa .Wewe una huruma sana kumtokea na panga ni ushahidi kuwa una huruma
Tumekutana mabwege wawili.We ndo hamnazo sasa, Mpigwaji mwenyewe anadai habanduki ko haya ndo maisha yao ukiingilia utasodolewa tu hapo badae. Fanya yanayokuhusu. Mleta mada kaona bora alete elimu huku kuliko kutafuta balaa kule
Kwa hyo ni ruksa mwanamke kuwa na mdomo ila mwanaume kutembeza kichapo c haki??tutawapasua sanaa msipochunga midomo yenuWewe mdomo wa kujibu huna hadi upigaji nke
Hilo lianaume pigs mke liambie pumbavu kabisa linaleta mambo ya kipumbavu kwenye dunia ya sasa
Akili halina bwege hilo.Kama lliko mjini halistahili kuishi mjini linaitakiwa likaishi kijijini tena sio kwenye watu likaishi maporini huko na ngedere
Umeoa??Yaani Miaka hii bado kuna mwanaume anapiga mke
Kweli wanaume wapumbavu hawaishi duniani bado wapo
Huyo naye ni mmojawapo huyo aliyepiga mke
Mwisho lini waliacha kupigwa?Acha kujidai kazee kapuuzi.Yaani Miaka hii bado kuna mwanaume anapiga mke
Kweli wanaume wapumbavu hawaishi duniani bado wapo
Huyo naye ni mmojawapo huyo aliyepiga mke
Ivi wewe ulishawah dharauliwa na mwanamke kweli?Yaani Miaka hii bado kuna mwanaume anapiga mke
Kweli wanaume wapumbavu hawaishi duniani bado wapo
Huyo naye ni mmojawapo huyo aliyepiga mke
Si umeambiwa mume ni Cha pombe a.k.a mlevi mbwaYaani Miaka hii bado kuna mwanaume anapiga mke
Kweli wanaume wapumbavu hawaishi duniani bado wapo
Huyo naye ni mmojawapo huyo aliyepiga mke
NdoigeHapa ninapopanga, jirani yangu usiku wa kuamkia leo katembezewa kichapo kikali sana. Huyu Mwanamke ni mzuri tu, lakini tatizo lake mdomo tu. Tatizo lake ameshindwa kufahamu kuwa, mume wake ni chapombe. Huyu mume wake ni muungwana sana, lakini akilewa ukaanza msumbua lazima atembeze Mandonga.
Nilichogundua, maisha ni magumu sana hapa Tanzania. Huyu mwanamke pamoja na kichapo alichopewa usiku wa kuamkia leo kagoma kuondoka kwa mmewe. Jana kafukuzwa, lakini kakataa kuondoka kasema aende wapi wakati hana baba wala mama.
Hitimisho, wanaume tupugnguze vichapo, ni hatari unaweza kusabisha mauaji. Pia wanawake punguzeni mdomo, ukiona mtu ameshalewa kaa kimya tu. La sivyo mtaishia kula vichapo vikali sana.
Kubwa kuzidi yote ni kuhakikisha mnakaa katika hofu ya Mungu.
Kwa shombo hizi nyie ndo wanawake mnaolishwaga kichapo. Kesi sio yako unaichongea mdomo akati alopigwa karidhika katulia kwa mume.Wewe mdomo wa kujibu huna hadi upigaji nke
Hilo lianaume pigs mke liambie pumbavu kabisa linaleta mambo ya kipumbavu kwenye dunia ya sasa
Akili halina bwege hilo.Kama lliko mjini halistahili kuishi mjini linaitakiwa likaishi kijijini tena sio kwenye watu likaishi maporini huko na ngedere