Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
[emoji16][emoji16][emoji16]
Wanazingua
Mpe bit huyo tena morng
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]
Wanazingua
Inabid tumfuate na majirani zangu wengine hapa ili tukampe ukweri wakeMpe bit huyo tena morng
😂😂😂😂Mshana Jr Kuna kazi huku usiku hatulali
Inabid tumfuate na majirani zangu wengine hapa ili tukampe ukweri wake
Hali ni ileile mkuuLeo hali ipoje hapo. Nyumbani
Inabid tufanye ivoNunua. Hiyo nyumba yake
Bila shaka huyo ni mrokole mtafutie ushahidi mpeleke kwa serikali ya mtaa akishindikana kwa mtendaji kisha kusanya ushahidi huo mpeleke mahakamani kamdai fidiaNi mwaka na miez 2 tokea nimeanza kuishi maeneo haya mwazoni tulikuwa tunaishi vizuri, sababu Mimi napenda maeneo yanayotulia makelele sipendagi kabisa.
Miezi 2 nyuma Jirani yangu aliuza nyumba, yake mtu alionunua Ile nyumba hatumfahamu shida imeanza wiki ya pili sasa usiku hatulali, ni makelele tu Mara ngoma zinapiga usiku majira ya saa 7 au 8 na nyimbo zinaimbwa muda huo, usiku unasikia vishindo vya mtu anakimbia anazunguka nyumba eti anakimbizana na wachawi, Usiku umelala ghafla unasikia vilio Kama watu wanalia hivi sijui ndo wateja wake ni shida.
Baada ya kuulizia Ile nyumba anaishi nani tunasikia ni Mganga wa kienyeji shughuli zake anafanyia pale kwa sasa
Tumeongea na balozi akaongee naye kuhusu tabia yake ya kutupigia makelele usiku tunaona kimya balozi sijui anamuogopa mpaka watoto usiku wanaogopa.
Kama mganga kweli si akaishi milimani uko?
Naomba kuwasilishaa
Jumatatu tunampeleka serikali za mitaaBila shaka huyo ni mrokole mtafutie ushahidi mpeleke kwa serikali ya mtaa akishindikana kwa mtendaji kisha kusanya ushahidi huo mpeleke mahakamani kamdai fidia
Mganga wa mchongoHakuna Mganga hapo mkuu waganga wanakaa mjini na bando za voda anaweka na kuliwa zile za 75% na analalamika...
Sasa ukae vizuri asije akakuhamisha hapo mtaani. Na sumu kubwa ya waganga pawe na watu wanaosali kwa Mungu wa Kweli na kutaja taja lile Jina Lipitalo Majina Yote, YESU KRISTO. Hatachukua raundi, atasepa.Ni mwaka na miezi 2 tokea nimeanza kuishi maeneo haya mwazoni tulikuwa tunaishi vizuri, sababu Mimi napenda maeneo yanayotulia makelele sipendagi kabisa.
Miezi 2 nyuma Jirani yangu aliuza nyumba, yake mtu alionunua Ile nyumba hatumfahamu shida imeanza wiki ya pili sasa usiku hatulali, ni makelele tu Mara ngoma zinapiga usiku majira ya saa 7 au 8 na nyimbo zinaimbwa muda huo, usiku unasikia vishindo vya mtu anakimbia anazunguka nyumba eti anakimbizana na wachawi. Usiku umelala ghafla unasikia vilio Kama watu wanalia hivi sijui ndo wateja wake ni shida.
Baada ya kuulizia Ile nyumba anaishi nani tunasikia ni Mganga wa kienyeji shughuli zake anafanyia pale kwa sasa.
Tumeongea na balozi akaongee naye kuhusu tabia yake ya kutupigia makelele usiku tunaona kimya balozi sijui anamuogopa mpaka watoto usiku wanaogopa.
Kama mganga kweli si akaishi milimani uko?
Naomba kuwasilishaa