Jirani yangu

Kinachokusumbua ni ushamba na ww ndio unamtaka pole sana maana skuhizi vijana wanaojielewa hawana muda na madem wabovu
Hakuna mtu anamuda naye mwanaume unamwendea mwanamke Kwa waganga hiyo ni sawa ?? Eti nitengeneze anifuate kweli maisha haya , mie nakujibu short tu , sinaga time na neighbors na mambo Mengi , Wala muda wakuwaza wanaume nipo busy
 

Hawa ndo wanawake, basi tu ni dhambi ku support kataa ndoa family
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…