Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sa kwanini wakati alivoandika anaonyesha kabisa kwamba anampenda....Achana nae huyo...mwambie apambane na hali yake
Hajasema mbona,kasema anapendeza ila mkalisa kwanini wakati alivoandika anaonyesha kabisa kwamba anampenda....
angekua hampendi asingekua anafuatilia hiyo mienendo yake midogo midogo kama kutokumsalimia....Hajasema mbona,kasema anapendeza ila mkali
Ngumu aisee kama hasemi basiKama na wewe unamuhitaji jitahidi ujitongozeshe kwake ili aingie kwenye 18 zako, mzidi kuyajenga zaidi.
itakua mmiliki ni mmoja 😅😅😎Au mwenzangu unaonaje
Eti unakuta mtu hakusalimii tena nikiwa na mwanaume hadi kutaka kunipiga anataka kunipigaangekua hampendi asingekua anafuatilia hiyo mienendo yake midogo midogo kama kutokumsalimia....
je, unampenda??Eti unakuta mtu hamsalimii nikiwa na mwanaume hadi kutaka kunipiga anataka kunipiga
Hakuna mtu anamuda naye mwanaume unamwendea mwanamke Kwa waganga hiyo ni sawa ?? Eti nitengeneze anifuate kweli maisha haya , mie nakujibu short tu , sinaga time na neighbors na mambo Mengi , Wala muda wakuwaza wanaume nipo busyKinachokusumbua ni ushamba na ww ndio unamtaka pole sana maana skuhizi vijana wanaojielewa hawana muda na madem wabovu
Anavutia kiasi chakeje, unampenda??
jipatie unachokitaka tunaishi mara moja tu 😂Anavutia kiasi chake
Najitajidi kukipata mwanaume Fulani hivi good goodjipatie unachokitaka tunaishi mara moja tu 😂
Na mm nmehis hivyoitakua mmiliki ni mmoja 😅😅😎
mada zake ni zilezile😅😅Na mm nmehis hivyo
Acheni Hila ishini kisela kila mtu anauhuru TzNa mm nmehis hivyo
Sawa ila weka mada tofauti wanaotaka wasome sio lazima umpangie mtu aishi utakavyoomada zake ni zilezile😅😅
Kweli Tena asizoee wanawake za watuAchana nae huyo...mwambie apambane na hali yake
🙄🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣Sawa ila weka mada tofauti wanaotaka wasome sio lazima umpangie mtu aishi utakavyoo
Mimi naishi na familia yangu tumepanga, basi bhana jirani yetu ni handsome sana ila mkorofi na mchungu but anapendeza sana .
Siku Moja alinikuta na mwanaume best yangu akawa Hana amani amezoea kunisalimia ila hiyo siku hajanisalimia sijui nikwanini Huwa hapendi nikiongea na wanaume ila haongei kitu Huwa na mshangaaga sana nini shida ??
Kiukweli sijui Nini shida ??
Maisha ni kuongea kuwa na uhuru ila Hana uhuru ni mkimya sana . Alikuwa anapaki mahali pengine ila Kwa Sasa anapaki karibu na kwetu ila haongei yupo kimya tu .
Haongei anataka Nini . Sasa anakuwa mubaya maana hataki niwe na wanaume na Wala haongei chochote kuwa ananipenda Wala ila dalili anazionyesha na anaharibu mahusiano yangu maana huenda mahali kuhakikisha Sina mahusiano na yeyote nifanyaje??
Juzi kaja na kifua wazi karibu na dirisha letu akijifanya yupo busy kikazi anaongea na simu hii Nini??
Na siwezi kumpenda mana kaoa tayari ila mke ndio haishi naye yupo huku kikazi.