Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Your hype is high this evening lol 😅😅😅Mme wangu yuko mlangoni na panga afu kalinoa kotekote shauri yako 😂😂😂
Nimesha sikirinishoti tayari 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ngoja nifute
Kunguru wa Mkoani Wewe unaogopa Ban Nini ? 🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Tuyajenge kwani uliambiwa yamebomoka 😂😂😂Leo una mume jirani wakati najua upo Single lkn sio kivile, hebu fungua kidogo mlango, tuyajenge.😅😅
😂😂😂 Mnanianzaga wenyewe nikiwa nimetuliaYour hype is high this evening lol 😅😅😅
Umbea tyuuu.!! 😂😂😂Nimesha sikirinishoti tayari 🤣🤣🤣
Mi ban kawaida kwangu sema ss hivi sijisikii kugombana, niko mwezi wa kwaresima 😂😂😂Kunguru wa Mkoani Wewe unaogopa Ban Nini ? 🤣🤣🤣🤣
Watoto wakizimkazi hao hawana mbavu kubwa, mfuko wao wakawaida, halafu PAYE zetu ndio wanazikopa sana. Jirani kwahio wewe upo taken lakini sio kivile.😅😅Tuyajenge kwani uliambiwa yamebomoka 😂😂😂
Mi niwe single na watoto wa kizimkazi wakiojaa..?? Hebu jirani kuwa serious
Umbea ni kazi za watu hapa mjini mpaka wameanzisha na Shirika kabisa 😅Umbea tyuuu.!! 😂😂😂
Una fast ?Mi ban kawaida kwangu sema ss hivi sijisikii kugombana, niko mwezi wa kwaresima 😂😂😂
Jirani uliaga unaenda kulala haya usiku mwema.!!Watoto wakizimkazi hao hawana mbavu kubwa, mfuko wao wakawaida, halafu PAYE zetu ndio wanazikopa sana. Jirani kwahio wewe upo taken lakini sio kivile.😅😅
Huo muziki ni mzito mnoo 😤😤😤🤣🤣🤣🤣 Zappa
Kupigwa BAN ni ushamba sio Ujanja bhana . 😄😄😄Mi ban kawaida kwangu sema ss hivi sijisikii kugombana, niko mwezi wa kwaresima 😂😂😂
Hakuna umri sahihi wa kuoa au kuolewa, ukimpata mtu sahihi iwe ni una miaka 18 au 42 we oa tuSio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.
Maisha ni kama kamari kuna kupata na kukosa usiogope kuoa kwa sababu uchumi haupo sawa.
kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia.
Bro kama ukipata soulmate wako usichelewe. Anza nae maisha hata kama mtakua mnaishi kwa room moja muanzie hapo mkue pamoja.
Mleta Uzi nadharia zake ni za kwenye Sinema huyo nimem quote hapo juu nimempa nondo za nguvu nadhani anazitafakari Sasa hiviHakuna umri sahihi wa kuoa au kuolewa, ukimpata mtu sahihi iwe ni una miaka 18 au 42 we oa tu
Maana ukipata wife material au husband material ni ngumu kupata tena, hivyo ishi nae huyo huyo