Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

Kwa nini mkuu, hutaki nikae kwetu unataka nikae wapi?. Kama Sina mke au mtoto kunahaja yakupanga au nijenge nyumba nyingine nahuku Sina kazi, hizo pesa nazitoa wapi?. Ngoja niendelee kujitafuta labda nikifikisha miaka 50/60 naweza nikaenda kupanga.

Lamomy nakuomba nihifadhi jirani, sintopanga nyumba nyingine zaidi yahapo kwako.
Sifa ya mwanaume ni kupambana jizime data usichague kazi pambana kijana maisha mazuri hayakufati yanatafutwa.
 
D

Dunia ilipo kwa Sasa ukiwa na furaha tu na maisha yako inatosha. Haya Mambo ya kuoa na kuolewa si lazima Sana. Tafuta furaha. Yaani umnunue mtu aje kukupa furaha? Happiness isn't guaranteed in marriage.! Tafuta watoto kwa idadi unayotaka huko nje then furahia maisha yako bila kero za mtu mwingine. Kwanini uwe committed kwa mke au mme? Faida Ni Nini hasa? Ukihitaji, unakwenda unatafuta mmoja mzuri unamaliza unarudi kwako maisha yanaendelea.
Shida unastuka maji shingoni tiyari. Ndomana mdau juu hapo kasema angerudishwa 5 years back asingerudia kuoa tena. Lakini kuzaa na wanawake wengi nayo italeta shida baadae, tatzo juu ya tatzo mkuu
 
Jirani uliaga unaenda kulala haya usiku mwema.!!
Watoto wa kizimkazi ni wote wanaoishi tz hii, ww umeelewa vibaya jirani 😂😂😂
Jiran utanikuta mlango kwako asubuhi maana umegoma kugungua.😅
 
Back
Top Bottom