ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Hii sio hiyo aliyoizungumzia mtoa mada.Vipi na huu? Nasikia pia ni dawa nzuri sana [emoji116] View attachment 1726002
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sio hiyo aliyoizungumzia mtoa mada.Vipi na huu? Nasikia pia ni dawa nzuri sana [emoji116] View attachment 1726002
Jina linajulikana mkuu, huu mmea unaitwa MZUGWA kwa kule Tanga (inawezekana maeneo mengine yanatumia jina lingine), ni dawa nzuri ya malaria pia.Wakuu habari za leo ! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki..
Ni mti,ukuaji wake si Wa kutambaaUkitafuna unakuwa kama na harufu flani hivi? Na je ni jani linalotambaa kwa muoto wake au linaluwa kama na vimiti
Unaiandaaje ili atumie?Hii ni dawa sana kwa wadada wanapata maumivu Kipindi Cha hedhi
Ili kumaliza tatizo unajisugua kwa muda gani? au ni dawa ya kila sikuHii pia ni dawa ya kikwapa kwa wale wenye shida. Unachuma jani na kujisugua nalo wakati wa kuoga.
Huu mmea ni tofauti na kashwagara uliovuma sana mwanzoni mwa 2000 kwa ajili ya mchanganyikowa kujifukiza??Wakuu habari za leo ! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki.
Nimekaa na kufikiri ni jinsi gani wazee wetu walikuwa wataalamu Wa tiba asilia lakini walikuwa wagumu sana kufundisha watu wakaribu yao ,matokeo yake walikufa na maarifa yao,kwa Leo Mimi sitaki kufanana na hao wahenga...
Wengine tunaita patakuvaMpatakufa..
Ni bonge moja ya dawa km unasumbuliwa na mafua chuma jani litafune kisha weka puani kama unanusa katika tundu zote..
Tafadhali weka picha mkuu maa ile ya mwanzo Kama ni ua la kutambaaHuu sisi tunaita MPATAKUVA muulize mzanzibar hasa Mpemba atakwambia mbali na hilo lakutibia u.t.i pia ni dawa ya tumbo mzuri sana kabisa ukihisi unatafunwa ni tumbo ikiwa lá kuhara au lolote unalojuwa wewe isipokuwa lá njaa basi chuma na kuchemsha majani yake epua badaaye kunywa au baada ya kuchuma osha majani na uyatwange chukua weka kikombeni na maji kisha unywe maji yake.. Mimi ninao na umekuwa vizuri kabisa.
Ndio Kashwagara yenyeweHuu mmea ni tofauti na kashwagara uliovuma sana mwanzoni mwa 2000 kwa ajili ya mchanganyikowa kujifukiza??
Mkuu hilii ualinatambaa auWakuu habari za leo ! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki....
Huo unaitwa MPATAKUVANdio mkuu, majani yake ni mazito kidogo
Ni kweli mkuu, inatibu tumbo kupita maelezonilisikia ni dawa ya tumbo sana sana
Sio kivumbasi bali ni mpatakuva, kwetu tunaita kwa jina hiloHii ni kivumbasi lakini yenye majani mapana ni tofauti na kivumbasi lenye majani madogo madogo
Safi mkuu ingawa sisi kwetu tunatamka mpatakuvaMpatakufa..
Ni bonge moja ya dawa km unasumbuliwa na mafua chuma jani litafune kisha weka puani kama unanusa katika tundu zote.
Ni chungu kiasi ila kwa mafua na kuumwa tumbo hii dawa ndio kiboko yake.