Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Sifa kubwa ya majani hayo ni dawa ya tumbo home yapo sana ni dawa nzuri ya tumbo ukitafuna na kufyonza maji yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uvaa Ikigoma see😁😁😁😁😁😁Twanze kwi londolaHuo mmea unaitwa "Umulavumba" kwa Kiha .... Tangu utoto nilikuwa nausikia kwa waliotutangulia, siku za hivi karibuni niliamua kuupanda na kujaribu uwezo wake katika tiba, ukisha yatafuna hayo majani ni machungu kuliko kawaida, ndani ya dakika moja utalazimika kuyatema kwani yanawasha na kuunguza kuliko hata pili pili.... Kinachofuata hapo ni kamasi na udenda ukitoka wangu wangu.
Huo mmea kwa vitu kama mafua, kikohozi, vidonda mdomoni ni kanchinya.... breki za nyuma!😎 Nina mpango wa kuupeleka kwa mkemia mkuu ili waufanyie mchakato ili kujua umejengwa na nini.... Inawezekana kabisa hata jamaa yetu UVICO anaweza kudhibitiwa na mmea huu.
Hii ni dawa safi sana,kwetu tunauita mkingili(ikingili) ukiacha magonjwa madogomadogo mengi ambayo mmea huu huweza kutibu kwa mafanikio makubwa nilipata jingine kwa rafiki yangu muhindi,yeye kwake ameyapanda kila sehemu kuzunguka ua wake.
Nikamuuliza kwa nini ameyaweka mengi kuliko maua mengine mazuri? Yeye akanijibu kuwa kwanza ni tiba ya magonjwa mbalimbali,lakini zaidi huwa anayatumia kiimani zaidi, anasema ukiwa na mimea hiyo nyumbani kwako basi watu wenye macho mabaya(ya husda) ambayo huleta madhara kwa watu na vitu hudhibitiwa barabara.
Anasema hata kama mchawi akija kwako kwa lengo baya basi mmea huu humfanya ashindwe kutimiza lengo lake,wachina pia wanauheshimu sana mmea huu kwa sababu kama hizo hizo, wao pia hudai kuwa mmea huu ukiupanda nyumbani huleta bahati njema, wahindi wa jamii ya ki hindu huchuma majani yake na kuyafunga pamoja na majani ya mwembe na kuyatundika mlangoni kama kinga dhidi ya wote wanaoingia ndani ya nyumba zao, hasa siku za sherehe au shughuli zinazokutanisha watu wengi,asante
Ikingili kitu ya Madagascar.Wakuu kuna mtu ni mwenyeji wa Marangu Kilimanjaro anafahamu jina la huo mmea kwa huku wanaitaje?
Kwa wahaya huu mmea Ni dawa nzuri ya tumbo. Ukichanganya na majani ya (gooseberry) kule inaitwa kituntunwa, unatibu tumbo, malaria, manjano, typhoid n.kNilitaka kuandika hili. Niliona wahaya wanatumia kwa kazi hiyo nasikia ni very effective
Si kweli mkuu huu si mfumbasi,Ndio Kashwagara yenyewe
Hapana halitambai mkuuMkuu hilii ualinatambaa au
Stay blessedUnaitwa mzungwa ni dawa ya PID kwa kina dada ni dawa pia ya uzazi kwa wanao tafuta mtoto pia ni dawa ya madonda ya tumbo na mengine mengi tu
Kwa wale wenye PID unachuma majani yake unayatwagwa maan ukiyachesha unaimaliza dawa nguvu,hvo unachuma majani unayatwagwa na kuyaroweka ndan ya masaa 12 then unatumia kikombe cha chai asubuhi na jion
Na kwa wale wenye kutafuta mtoto wanatumia wakat wa priod kuanzia siku unayo ingia adi unapo toka
Matumiz ni kutwa mara 3 kikombe cha chai unaweza kuyasaga kwa blenda na kutengeneza juice
Ukitumia miezi 3 kama hakuna shida nyingine kwa kizazi basi inshallah utafanikiwa,
inakomaza mayai na inabalance hormon
Hakikisha kushiriki na mwenza wko wakat wa sku za hatari[emoji120][emoji120]
Ikingili kitu ya Madagascar.
Sio kwamba umeufananisha? Mravumba mbona kama sio huo? Mravumba ule hata marelia au shida ya tumbo kwa mtoto au mtu mzima inabaki historia. Ukizidisha dozi unaweza kwenda na majiHuo mmea unaitwa "Umulavumba" kwa Kiha .... Tangu utoto nilikuwa nausikia kwa waliotutangulia, siku za hivi karibuni niliamua kuupanda na kujaribu uwezo wake katika tiba, ukisha yatafuna hayo majani ni machungu kuliko kawaida, ndani ya dakika moja utalazimika kuyatema kwani yanawasha na kuunguza kuliko hata pili pili.... Kinachofuata hapo ni kamasi na udenda ukitoka wangu wangu.
Huo mmea kwa vitu kama mafua, kikohozi, vidonda mdomoni ni kanchinya.... breki za nyuma!😎 Nina mpango wa kuupeleka kwa mkemia mkuu ili waufanyie mchakato ili kujua umejengwa na nini.... Inawezekana kabisa hata jamaa yetu UVICO anaweza kudhibitiwa na mmea huu.
Huu pia malaria inatibika mkuuSio kwamba umeufananisha? Mravumba mbona kama sio huo? Mravumba ule hata marelia au shida ya tumbo kwa mtoto au mtu mzima inabaki historia. Ukizidisha dozi unaweza kwenda na maji
Je unawasha?Huu pia malaria inatibika mkuu
Inawezekana kuwa nimeufananisha, lakini nimepata maoni ya watu wawili wanaoufahamu Mlavumba na kuona mlingano, ila nimeweka picha halisi ya Mlavumba kwenye uzi huu.Sio kwamba umeufananisha? Mravumba mbona kama sio huo? Mravumba ule hata marelia au shida ya tumbo kwa mtoto au mtu mzima inabaki historia. Ukizidisha dozi unaweza kwenda na maji
Huu ndiyo ule wa madagaskar,tuliambiwa ni tiba ya kovido19!!Vipi na huu? Nasikia pia ni dawa nzuri sana [emoji116] View attachment 1726002
Ha ha .. Nintyo nyene muga.….!😀😀U
Wewe uvaa Ikigoma see😁😁😁😁😁😁Twanze kwi londola
Hebu ipandishe hapa hiyo picha. Maana mlavumba majani yake yamekoleza tofauti na hayo aliyoleta mtoa madaInawezekana kuwa nimeufananisha, lakini nimepata maoni ya watu wawili wanaoufahamu Mlavumba na kuona mlingano, ila nimeweka picha halisi ya Mlavumba kwenye uzi huu.
Siyo jani, ni mmea mti. Ukiuchomeka chini ni lazima utaota tu, unatengeneza majani mapana ambayo ukiyafikicha yanatoa ute unaonata wenye harufu fulani mahususi. Nitaweka picha hapa karibuni.View attachment 1726107Mr Q ione hii.
Hebu ipandishe hapa hiyo picha. Maana mlavumba majani yake yamekoleza tofauti na hayo aliyoleta mtoa mada
Tulashashe i jamii forumsHa ha .. Nintyo nyene muga.….!😀😀