Jitibu U.T.I kwa mmea huu kwa matokeo yenye ufanisi zaidi

Vipi na huu? Nasikia pia ni dawa nzuri sana [emoji116] View attachment 1726002
Huku uchagani wazee wanachemshiaga majani yake kwenye nyama wakati wakichemsha nyama
Pia huu mmea unatumiwa sana kutibu kifua, na tumbo na hivi karibuni ulisemekana pia unauwezo wakutibu corona ukisaidiwa na mimea kama limao, parachichi, opera na mwembe
 

Mkuu tupo mrejesho wa hizo dawa zote
 
mimea huitwa majina tofauti kulingana na sehemu hivyo ndio maana tunatumia sana majina ya kisayansi "common name" hivyo yawezekana mtu akaujua kwa jina tofauti.
 
Ahsante sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…