Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako

Nimerogwa maana nimeshaona mtoto wa Mama yangu mdogo niliyekuwa namuhisi muda mrefu. Nitajikomboaje bila kwenda kwa Mshana Jr au mwenyewe Hizbu Sharifu?
 
Hamna kitu
 
True maendeleo upunguza hizi mambo
Umepigwa kweupe mkuu!.Huko unyamwezini mambo zao za maana wanazifanya kwa mambo hizihizi lakini kwa majina tofauti kama vile SANAA ZA GIZA n.k.
 
Kuna kasherehe ka kishirikina ulifanyiwa ukiwa mtoto nyumbani kwenu....
 
Yani Apo maana yake ulihongwa na mkuu wa wachawi...subiri akujie usiku muende date
 

Umenyweshwa uchawi ndugu
 
Mimi nimeota npo na dem kitandani tumejiwekea enclosure, kam maish ya udom yalivyo, yule dem nkamchezea san ila akagoma kabsa kusex. Nje ya kile kitanda kulikuw na watu wengi wanafunz na wao, baada ya kutoka pale kitandani jamaa yang mmoj akaniita pemben huku analia akanambia anamuhis huyo dem nliekuw nmelala nae ameathirika. Na ndoto ikaishia hapo, sjui ina maana gan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…